Huu ndio uchizi sasaRonaldo ataondoka lkn mpeni heshima yake.... laiti angeenda Manchester city na kuwapa UCL leo mgemuita msaliti na mgeanza kulaumu kwann hatukumsajili
Lkn sio useless km ambavyo United fan tunavoaminioHuu ndio uchizi sasa
Itokee timu ipambane alafu useme cr7 kawapa UCL!!!
Mbona hiyo UCL hajawapa nyie??
Ushindi wa UCL ni effort ya timu nzima.
| 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄: Cristiano Ronaldo

Cristiano won’t be part of the start of the tour as he’s now “still dealing with family issues”.
Manchester United accepted this situation as Cristiano has additional time off to deal with personal issues.
His agent Jorge Mendes is still working to find a proposal in order to leave Manchester United this summer.
Man Utd insist they want to keep Cristiano for next season but aware of his disappointment.
Family issues??Kwa hii tarifa ya Fabrizio romano naona rasmi jamaa anaondoka huyu maana naona haondoki na timu kesho kwenda kwenye tour huko Bangkok.
| 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄: Cristiano Ronaldo
Cristiano Ronaldo will not travel with Manchester United to Bangkok for the start of the pre-season tour
Cristiano won’t be part of the start of the tour as he’s now “still dealing with family issues”.
Manchester United accepted this situation as Cristiano has additional time off to deal with personal issues.
His agent Jorge Mendes is still working to find a proposal in order to leave Manchester United this summer.
Man Utd insist they want to keep Cristiano for next season but aware of his disappointment.
Where do you see Cristiano playing next year?View attachment 2283866
Haya subiria.Family issues??
Tusubirie tu offer yoyote huyu jamaa aondoke.
Jamaa anadeeeka kizaaani,mbinafsi sana akwendeeeeFamily issues??
Tusubirie tu offer yoyote huyu jamaa aondoke.
Njaa mbaya Sana. Umaskini wa akili mbaya sanaumeiona ile taarifa iliovujishwa na gazeti la MARCA kuhusu mkataba wa frenkie de jong. Barcelona ni washenzi sanaJaJ
Hata akibaki atasugua benchi na tutamtaka akaicheki familia yake maana hatutamtumia. We need devoted players.tutamtumia alitaka Kwa option ya sio starterKwangu naona tuna faida Cr7 akiondoka kuliko akibaki maana tupo kujenga kikosi tunaitaji wachezaji wenye hawana majina.
sikubaliani na description ya style ya uchezaji tuliyoanza nayo 2021/22, correct description ni kwamba tulianza kucheza kwa kumuangalia Ronaldo yuko wapi apelekewe mpira afunge.Mambo mengi hapa hayana uhalisia kama ulivyo andika maana Ronaldo kama mchezaji hajawah kufanya press kusema vitu ulivyo andika hapo ila magazeti yanaandika ili yauze labda ungesema tulibadili namna ya kucheza kutokana na ujio wake mfano msimu wa 2020/21 tulikuwa tuna defence tukiwa nusu ya uwanja upande wetu na kushambulia kwa counter na ilitusaidia kuficha mapungufu ya wachezaji kama maguaya na full back zetu
Lakn 2021/22 tulibadili tukaanza kucheza mifumo ya kukabia juu pressing sasa hapo ndio tatizo lilipokuja tena kwenye kudefence game nyingi defence yatu ilikuwa mbovu inachoma plus hatukuwa na midfielder wazuri kucheza mfumo huo wa kukukabia juu...na tulianza kucheza hvyo toka msimu umeanza sosha alianza mwenyew nafikiri ni baada ya kupata wachezaj kama varane, Ronaldo, Sancho hawa watu nafikiri ndio waliompa matumain sosha kubadili mfumo wake na sio kusingizia matatizo ya wachezaji wengine kwa Ronaldo
TIMU NI MBOVU IN FACT
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini timu za ulaya haziji Africa kufanya pre season.Chama linaenda Bangkok leo..
Na uzi mpya utaachiwa leo..
I think ni mauzo mzee,miundombinu sidhani kama ni sababu..hata hao kina Egypt na SA bado kwenye uwezo wa kujaza uwanja kwa bei ya ticket zetu..Kwanini timu za ulaya haziji Africa kufanya pre season.
Nini tatizo Ukata, au miundombinu mbona South Africa, Algeria, Egypt zipo vizuri, hakuna cha ukata timu zikija zinajaza kweli na mzuka juu tena kuliko huko Asia.
Mauzo ya jezi sio? Basi uchumi uimarishwe na promo juu. Ikiwezekana wizara ya utalii idhamini timu hata mbili midi table ligi ikiisha waje kupiga pre season.I think ni mauzo mzee,miundombinu sidhani kama ni sababu..hata hao kina Egypt na SA bado kwenye uwezo wa kujaza uwanja kwa bei ya ticket zetu..