Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nadhani mapungufu nayoyaona kwenye mitazamo yeni ni fikra zilizojikita kwenye dhana kwamba mpira ni wachezaji 11/22 ukiondoa red cards na dakika tisini ukiondoa muda wa nyongeza.

dhana hii ndio ileile inayoangalia timu yenye mabeki, mid fielders na strickers, ambayo sio ya msingi kiivyo.

mpira is alot of things, na Ronaldo amechangia alot of negative things kwenye timu msimu uliopita, hivyo aondoke zake.
1. Hata sasa, Ronaldo ni nani mpaka ahoji situation ya timu kusajiri? hivi hao wachezaji waliopo ambao wanacheza nafasi ambazo inasemekana inabidi waje wachezaji wengine wanamchukuliaje Ronaldo? kama mwenzao? Yaani hataki kucheza na wachezaji waliopo?

2. Ronaldo alipofika alitengeneza kakundi ka waongea kispanish kwenye timu?

3. Hako ka kundi kakaanzisha Propaganda za Ronaldo awe Captain? hivi mnaelewa madhara ya upuuzi wa namna hii? kwa timu nzima?

4. Uwanjani, from day one, akawa analazimisha lazima yeye ndio apige mipira golini, huu upuuzi ndio yule dogo mjelajela aliukataa wakakosana akaanza kumsemea dogo mbovu? mshenzi yule mipira yenyewe akipewa anapiga maboko, dakika 70 za mchezo kazi kujiangusha angusha na kulalamia wachezaji, marefa mpaka mashabiki.

5. eti top scorer, alifunga magoli 24 TUUUU, ANTONY MARTIAL MSIMU WA 20/21 ALIFUNGA MAGOLI 23 PIA. So huyo ronaldo hakuna jipya kwenye ufungaji alioleta pale uwanjani zaidi ya kulazimisha kuzuia watu wengine wote wasifunge.

kwa uchache, niko safari nikitulia ntarudia hapa kumtukana vibaya sana boya s

Nadhani mapungufu nayoyaona kwenye mitazamo yeni ni fikra zilizojikita kwenye dhana kwamba mpira ni wachezaji 11/22 ukiondoa red cards na dakika tisini ukiondoa muda wa nyongeza.

dhana hii ndio ileile inayoangalia timu yenye mabeki, mid fielders na strickers, ambayo sio ya msingi kiivyo.

mpira is alot of things, na Ronaldo amechangia alot of negative things kwenye timu msimu uliopita, hivyo aondoke zake.
1. Hata sasa, Ronaldo ni nani mpaka ahoji situation ya timu kusajiri? hivi hao wachezaji waliopo ambao wanacheza nafasi ambazo inasemekana inabidi waje wachezaji wengine wanamchukuliaje Ronaldo? kama mwenzao? Yaani hataki kucheza na wachezaji waliopo?

2. Ronaldo alipofika alitengeneza kakundi ka waongea kispanish kwenye timu?

3. Hako ka kundi kakaanzisha Propaganda za Ronaldo awe Captain? hivi mnaelewa madhara ya upuuzi wa namna hii? kwa timu nzima?

4. Uwanjani, from day one, akawa analazimisha lazima yeye ndio apige mipira golini, huu upuuzi ndio yule dogo mjelajela aliukataa wakakosana akaanza kumsemea dogo mbovu? mshenzi yule mipira yenyewe akipewa anapiga maboko, dakika 70 za mchezo kazi kujiangusha angusha na kulalamia wachezaji, marefa mpaka mashabiki.

5. eti top scorer, alifunga magoli 24 TUUUU, ANTONY MARTIAL MSIMU WA 20/21 ALIFUNGA MAGOLI 23 PIA. So huyo ronaldo hakuna jipya kwenye ufungaji alioleta pale uwanjani zaidi ya kulazimisha kuzuia watu wengine wote wasifunge.

kwa uchache, niko safari nikitulia ntarudia hapa kumtukana vibaya sana boya yule.
100%
 
Mkuu hivi unamjua vizuri ericksen wewe au kwakuwa alikuwa anachezea timu za kawaida nawewe una muona wa kawaida.

Jaama ni fundi balah kule inter milan alipambana hadi walipata ubingwa mzee sio wa mchezo mchezo uyo mwamba

Tatizo watu mnapenda kusikia majina makubwa makubwa tu mm kwangu naona ericksen ni mkali kuliko hata uyo de jong wenu.
Upo sahihi Sana ,wanamchukulia poa Sana Ericksen , wakamuangalie aliporud hapo Brantford alivyokiwasha ,

Mm ukiniwekea FDJ na Ericksen nabeba Ericksen , jamaa linajua ,sema aliporud epl weng hamkumzingatia , kawaulize Chelsea ile mech wanakufa 4 alichowafanya ,

Na kwa eick ten hag anavyoruhusu timu zake kucheza , bassi Ericksen atakuwa hatari Sana,
 
IMG_20220704_120232_470.jpg
 
Upo sahihi Sana ,wanamchukulia poa Sana Ericksen , wakamuangalie aliporud hapo Brantford alivyokiwasha ,

Mm ukiniwekea FDJ na Ericksen nabeba Ericksen , jamaa linajua ,sema aliporud epl weng hamkumzingatia , kawaulize Chelsea ile mech wanakufa 4 alichowafanya ,

Na kwa eick ten hag anavyoruhusu timu zake kucheza , bassi Ericksen atakuwa hatari Sana,
Fdj na Eriksen ni wachezaji tofauti kila mmoja na position yake. Eriksen position yake kubwa ni kiungo mshambuliaji pia anacheza pembeni na kati. Akija Man U ujue mpinzani wake mkubwa ni Bruno watakuwa na role moja kupiga pasi za mwisho. Mda mwingi ataspend akiwa half ya pili tunaposhambulia

Fdj yeye anatengeneza nafasi za kushambulia ila anatengeneza akiwa Nyuma, kazi ya De jong ni kumtafuta Sancho, Bruno, Rashford etc anapiga sana pasi ndefu na anakaa Nyuma kushinda hata kina Mc tominay na fred, most of time akija Atakua yupo na Varane na Maguire.

Hii video ukiangalia utamuelewa FDJ vizuri.
 
Fdj na Eriksen ni wachezaji tofauti kila mmoja na position yake. Eriksen position yake kubwa ni kiungo mshambuliaji pia anacheza pembeni na kati. Akija Man U ujue mpinzani wake mkubwa ni Bruno watakuwa na role moja kupiga pasi za mwisho. Mda mwingi ataspend akiwa half ya pili tunaposhambulia

Fdj yeye anatengeneza nafasi za kushambulia ila anatengeneza akiwa Nyuma, kazi ya De jong ni kumtafuta Sancho, Bruno, Rashford etc anapiga sana pasi ndefu na anakaa Nyuma kushinda hata kina Mc tominay na fred, most of time akija Atakua yupo na Varane na Maguire.

Hii video ukiangalia utamuelewa FDJ vizuri.
View attachment 2283646
FDJ au mchezaji wa kaliba yake ni muhimu sana kwa MUFC.
 
Ni Man Utd pekee iliyoanza pre season?

Au kuna timu nyingine ya EPL nayo imeanza?
 
Ronaldo ataondoka lkn mpeni heshima yake.... laiti angeenda Manchester city na kuwapa UCL leo mgemuita msaliti na mgeanza kulaumu kwann hatukumsajili
Huu ndio uchizi sasa
Itokee timu ipambane alafu useme cr7 kawapa UCL!!!

Mbona hiyo UCL hajawapa nyie??

Ushindi wa UCL ni effort ya timu nzima.
 
Kwa hii tarifa ya Fabrizio romano naona rasmi jamaa anaondoka huyu maana naona haondoki na timu kesho kwenda kwenye tour huko Bangkok.

| 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄: Cristiano Ronaldo

Cristiano Ronaldo will not travel with Manchester United to Bangkok for the start of the pre-season tour

Cristiano won’t be part of the start of the tour as he’s now “still dealing with family issues”.

Manchester United accepted this situation as Cristiano has additional time off to deal with personal issues.

His agent Jorge Mendes is still working to find a proposal in order to leave Manchester United this summer.

Man Utd insist they want to keep Cristiano for next season but aware of his disappointment.

Where do you see Cristiano playing next year?
1657217206603.jpg
 
Kwa hii tarifa ya Fabrizio romano naona rasmi jamaa anaondoka huyu maana naona haondoki na timu kesho kwenda kwenye tour huko Bangkok.

| 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄: Cristiano Ronaldo

Cristiano Ronaldo will not travel with Manchester United to Bangkok for the start of the pre-season tour

Cristiano won’t be part of the start of the tour as he’s now “still dealing with family issues”.

Manchester United accepted this situation as Cristiano has additional time off to deal with personal issues.

His agent Jorge Mendes is still working to find a proposal in order to leave Manchester United this summer.

Man Utd insist they want to keep Cristiano for next season but aware of his disappointment.

Where do you see Cristiano playing next year? View attachment 2283866
Family issues??

Tusubirie tu offer yoyote huyu jamaa aondoke.
 
Kwangu naona tuna faida Cr7 akiondoka kuliko akibaki maana tupo kujenga kikosi tunaitaji wachezaji wenye hawana majina.
Hata akibaki atasugua benchi na tutamtaka akaicheki familia yake maana hatutamtumia. We need devoted players.tutamtumia alitaka Kwa option ya sio starter
 
Mambo mengi hapa hayana uhalisia kama ulivyo andika maana Ronaldo kama mchezaji hajawah kufanya press kusema vitu ulivyo andika hapo ila magazeti yanaandika ili yauze labda ungesema tulibadili namna ya kucheza kutokana na ujio wake mfano msimu wa 2020/21 tulikuwa tuna defence tukiwa nusu ya uwanja upande wetu na kushambulia kwa counter na ilitusaidia kuficha mapungufu ya wachezaji kama maguaya na full back zetu

Lakn 2021/22 tulibadili tukaanza kucheza mifumo ya kukabia juu pressing sasa hapo ndio tatizo lilipokuja tena kwenye kudefence game nyingi defence yatu ilikuwa mbovu inachoma plus hatukuwa na midfielder wazuri kucheza mfumo huo wa kukukabia juu...na tulianza kucheza hvyo toka msimu umeanza sosha alianza mwenyew nafikiri ni baada ya kupata wachezaj kama varane, Ronaldo, Sancho hawa watu nafikiri ndio waliompa matumain sosha kubadili mfumo wake na sio kusingizia matatizo ya wachezaji wengine kwa Ronaldo

TIMU NI MBOVU IN FACT

Sent using Jamii Forums mobile app
sikubaliani na description ya style ya uchezaji tuliyoanza nayo 2021/22, correct description ni kwamba tulianza kucheza kwa kumuangalia Ronaldo yuko wapi apelekewe mpira afunge.

huko nyuma mchezaji alikuwa anapelekewa mpira afunge sababu timu ilikuwa inacreate counter attach situations, 21/22 ronaldo alikuwa anapelekewa mipira hata akiwa offside.

we became very predictable, and vulnerable to loosing possession, ndio kilichopelekea kujikuta tukiwa kwenye timu ya kushambuliwa kila wakati na kupelekea ku concede magoli mengi.

sikubaliani na mambo ya kuwa na weak defense pamoja na malalamiko dhidi ya maguire, sababu the same defense line, kabla ya ujio wa Ronaldo ilivunja record ya kutokufungwa.
 
Back
Top Bottom