So kweliPost yangu uliyoquote nilimaanisha hiki kitu, nashangaa hukunielewa.
Uwepo wa Ronaldo upfront unamruhusu kocha kuimprove squad kwenye other positions. Kuondoka kwa Ronaldo either united waspend big money kubuy CF wa Kumreplace Ronaldo kitu kitachozuia kuimprove other positions (financially wise) OR waimprove other positions huku wakitafuta cheap CF kitu kinachowarudisha nyuma quality wise.
Ten hag hili suala analiangalia kiufundi zaidi wakati management wanaliangalia kiufundi & kiuchumi.
Elewa sentence ya mwishon kabisa aliyoandikaTupe na data za defence kwa kipindi hicho achana na magoli ya kufunga
Simba wana tatizo la mshambuliaji,fanyeni swap na kagere maana ana sifa zote ambazo mou kazitajaJose Mourinho felt three Man United players were 'too soft'.
According to The Times, Mourinho believed that three Man United players he inherited were "too soft" - Marcus Rashford, Luke Shaw and Anthony Martial. The Portuguese manager gave the trio "the tough love treatment."
Mourinho is said to have wanted to work with players who were "powerful, strong, arrogant and preferably experienced." He publically criticised Shaw, while Rashford said he found it "tough" to play under the former United manager. Mourinho also reportedly wanted to sell Martial.
However, in 2018, the former Real Madrid manager read reports that Man United were "determined to renew Martial’s contract." This reportedly prompted Mourinho to act and attempt to move the forward on.
"Mourinho was not a fan of the Frenchman," it reads in The Times.
"So he started spreading the word on United’s 2018 pre-season tour to America that he would not object to his departure, provided he went to 'the right club', which presumably meant one outside of the Premier League."
Jose Mourinho Man United players
Mourinho v Martial.
Yet, Mourinho's efforts to sell Martial were thwarted by Ed Woodward, the club's executive vice-chairman, in an episode that sums up the dysfunctional nature of Man United over the last decade.
"Woodward dug his heels in," it reads. "Martial, reportedly one of Joel Glazer’s favourite players, would stay.
"There was a fear among the United hierarchy that if Martial left, he could go on to embarrass them by becoming one of the best players in Europe."
Mourinho's doubts about Martial have arguably been proven correct.
The French forward netted 23 goals in 48 games under Ole Gunnar Solskjaer during the 2019/20 season, but his form then sharply declined.
Martial fell out of favour and was allowed to join Sevilla on loan in January.
The 26-year-old only scored once in 12 games for the La Liga side and is due to return to Man United ahead of next season. He has two years left on his contract with the club.
Ni kwasababu timu haina ambition zozote sokoni hiyo ndo sababu. Ronaldo ana ambition kali kuliko timu nzima na management yake.Ni sawa kuendelea na mshambuliaji mzee ambaye moyo wake ushahama kwenye timu yetu?.
Ten Hag hana timu ya ku-implement tactics zake.Post yangu uliyoquote nilimaanisha hiki kitu, nashangaa hukunielewa.
Uwepo wa Ronaldo upfront unamruhusu kocha kuimprove squad kwenye other positions. Kuondoka kwa Ronaldo either united waspend big money kubuy CF wa Kumreplace Ronaldo kitu kitachozuia kuimprove other positions (financially wise) OR waimprove other positions huku wakitafuta cheap CF kitu kinachowarudisha nyuma quality wise.
Ten hag hili suala analiangalia kiufundi zaidi wakati management wanaliangalia kiufundi & kiuchumi.
Hata ishu ya FDJ Ni mchezaji kwa MUJIBU was Laporta .FDJ inasemekana anapenda kubaki Barca ,Ishu ya Raphina mkuu haihusiani na klabu hizo ni mchezaji binafsi, ndoto zake ni Barca, ila Chelsea washakubaliana kila kitu na leeds imebaki player side kuamua la sivyo deal ingeshaisha muda tu
Kwa nini tumng'ang'anie mchezaji aliyeomba kuondoka? (genuine desire cannot be negotiated)Kuna replacement plan ya Ronaldo?
Mpaka sasa ku-sign midfield tunasua sua, replacement tutaipata msimu huu?
Huyo anafaa Arsenal wacha kujitoa ufahamuSimba wana tatizo la mshambuliaji,fanyeni swap na kagere maana ana sifa zote ambazo mou kazitaja
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Huyo Juan Larpota ana akili sana. Kamuweka mtegoni Frenkie De Jong ili apunguze mshahara kama kweli anataka kubaki Barca. Mshahara wake wa sasa ni $354k. Wao wanataka ushuke mpaka $200k. Josep Bartameu na bodi yake ndio waliompa huu mkataba De Jong, Laporta anasafisha makosa ya nyuma ndiye aliyemuondoa Messi pia.hiyo paragraph ya mwisho umeielewa vipi, ok barca wanaweza kukataa pesa ya kumuuza de jong ila hawatakubali de jong aendelee kuramba euro laki 4 hadi 5 kwa wiki.
Matter of fact 80% ya utd fans hawamtaki so achukue time tuRonaldo anasemaje eti?..
Aondoke zake..pumbav zake
We jamaa em acha .kipi huelewi apo?? KhaaaBado hauna points za msingi kivipi Ronaldo ni tatizo United. Kila mtu anajua kwanini Solskjaer alifukuzwa kama Ronaldo ndiyo alimuajiri Solskjaer sawa!
Sijasema tumzuie Ronaldo kuondoka.Kwa nini tumng'ang'anie mchezaji aliyeomba kuondoka? (genuine desire cannot be negotiated)
Tuheshimu maamuzi yake aruhusiwe kuondoka. Tena mimi ningeshauri waende mbali zaidi watoe notice mapema kwa timu nzima anayetaka kuondoka aseme mapema kabla dirisha halijafungwa.
Hii sensa imefanyika lini?Matter of fact 80% ya utd fans hawamtaki so achukue time tu
So alikuja kufanya nini kama hakuna timu ya kuimplement tactics?Ten Hag hana timu ya ku-implement tactics zake.
Timu iliyoshindwa ku-implement tactics za Ralf Rangnick leo waweze za Ten Hag?
Guys, let's be realistic now. Man Utd haina wachezaji wa kuimplement any serious tactics.
Individual efforts zilitubeba atleast last season.
Mashabiki inatakiwa wawe wavumilivu kwa EtH mpaka pale atakapopata team kamili.Kiufupi hii season tunayoingia ni transition nyingine mpya.Ten Hag hana timu ya ku-implement tactics zake.
Timu iliyoshindwa ku-implement tactics za Ralf Rangnick leo waweze za Ten Hag?
Guys, let's be realistic now. Man Utd haina wachezaji wa kuimplement any serious tactics.
Individual efforts zilitubeba atleast last season.
Sure Jombaa. Issue kubwa iliyopo huko ndani inaaminika EtH yeye mwenyewe kwa moyo mmoja kaamua dirisha hili tusiingie sokoni mazima. Budget aliyopewa na bodi ni pound 150M without sales.Sijasema tumzuie Ronaldo kuondoka.
Nipo concerned na sababu ya yeye kuondoka.
Hatuko na ambition yeyote as of now.
Kwa misery tulionayo hatujaimaliza, bado inaongezeka nyingine.
Yeah ni kweli kabisaHata ishu ya FDJ Ni mchezaji kwa MUJIBU was Laporta .FDJ inasemekana anapenda kubaki Barca ,
Ni ukata wa pesa tu ndio utamfanya aondoke Barca kinyonge .
Toka yupo Ajax ,FDJ aliwahi kusema hivi
He told Voetbal International that he was planning on taking a different route to his dream club via a club like Arsenal.
He said, “In my mind I have had the following list for a long time: Ajax-Arsenal-Barcelona, call it the Marc Overmars route but then again, if you can go directly to Barcelona, then you are right where you want to be. Faster than you ever dared to dream.”
Kwahiyo yupo hapo Barca klabu ya ndoto yake , Dili lake kwenda man u Ni Kama Anafosiwa TU sababu ya njaa za Barcelona .
| The only thing that is holding up Frenkie de Jong to Man Utd is the player himself. He is reluctant to leave Barcelona and is not that convinced by Erik Ten Hag's project. [@MarkOgden_] #fcblive