Wazee wafanyeni usajili , Kuna kipute cha mechi kila baada ya siku 3 hapo mbelen ,tutatafutana ubaya
Una beki Maguire na Lisandro ambao ni pancha
Sub una heaven na Yoro ,mtapigwa had mchakae ,
Mpaka sasa midfield yenu ni dhaifu
Mnaenda kusajili Santos mkaa bench Chelsea,Tena kaja kanenepeana
Yuri Yuri naye ni passer sio DM
Wazee sajilin msije hamia mancity hapo December ,Pep wakuwasaidien kashawakimbia
Midfield yangu Nina Rice, Zubimendi, Merino,Skelly , Ø,Eze,
Halafu nashusha Bruno Guimares
Mnaona depth hiyo ?
Flano sajilini msije hamia mancity ya tapeli Paresca
Muda huu Jayz CEO wa Rock Nation kampuni inayomsimamia Vini jr anafanya mazungumzo na Kroenke kuhusu kumsajili Vini Jr
Nyie wenzetu usajili kama mmefunga tayari
Fanyeni usajili ,msimu ujao naweka Kambi humu