allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,322
- 10,887
Poga ni li jinga sana yani hafu linasema litaonesha ni jinsi gani tumefanya makosa kutolipa mkataba mpya liende tu miaka6 yote iyo tumeona nini cha ajabu.Hapa sijaelewa kwahyo Pogba alitaka man u wamwongezee salary bila ongezeko ndio akagoma?
Wakati huko kaenda kushusha hata ile salary alikuwa anachukua man u kabla ya ongezeko.

