allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,322
- 10,887
De jong hata akibaki sawa tu sisi tunaitaji DM aina ya kina casemiro, sio DM mwepesi mwepesi kama de jong nadhani ruben neves hanatufaa sana pale jamaa lipo vizuri kweli.De jong imeshndkana Mkuu kaangalie kwa Fabrizio jong mwenyewe amegoma mbwa yule...ndugu mashabiki tuendelee kusubiri sajili ya uhakika mpaka ssa ni moja tu yule dogo wa Ajax atasainiwa 90%


