Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

De jong imeshndkana Mkuu kaangalie kwa Fabrizio jong mwenyewe amegoma mbwa yule...ndugu mashabiki tuendelee kusubiri sajili ya uhakika mpaka ssa ni moja tu yule dogo wa Ajax atasainiwa 90%
De jong hata akibaki sawa tu sisi tunaitaji DM aina ya kina casemiro, sio DM mwepesi mwepesi kama de jong nadhani ruben neves hanatufaa sana pale jamaa lipo vizuri kweli.
 
Ibadilike vp msimu uliopita tumesajili Sancho kwa pesa ndefu varane na Ronaldo....sasa ww unataka itoepesa kias gan au unataka tuwe kama PSG

Sent using Jamii Forums mobile app
Bajeti ya usajili aliopewa ETH ni £120M.

Hiyo ni hela mbuzi na mbaya zaidi hatuuzi wachezaji kuongezea.

Ingekuwa amepewa £400M sahivi ungeshaona tumeshafanya mambo makubwa hasa kwenye key areas.

Bado tunapambana na Barca kumsajili De Jong.
 
Liverpool na ubahili wao wote wamemwaga £80million + £20 mill kalibia £100 million Kwa Darwin ...!

Siku hizi hakuna mchezaji cheap ,labda ukanunue wachezaji wa mafungu kama wa arsenal,pepe,sijui ordegard ....
Kama kwa Grealish au sio?
 
20220615_143526.jpg
 
Naona watu wanawaza tu haaland na nunez tu hawajui kuna mashine ya kireno inaenda timiza miaka38 isije ikawashangaza msimu ujao ikaacha mbali hao watoto kwa magoli.View attachment 2261659
Huyo Ronaldo kashazeeka ,kwanza atachoka safari Za kwenda huko Scotland kucheza Europa na kina selitiki ,renjazi,sipatikomosiko huko urusi ....ikiwezekana wanaweza kulipukia huko maana urusi Kuna Putin mzee wa vita ...
 
Huyo Ronaldo kashazeeka ,kwanza atachoka safari Za kwenda huko Scotland kucheza Europa na kina selitiki ,renjazi,sipatikomosiko huko urusi ....ikiwezekana wanaweza kulipukia huko maana urusi Kuna Putin mzee wa vita ...
wewe tuliza kende izo ujionee unadhani mbali hapo.

Kwanza ratiba ya ligi inatoka leo kwaiyo kaa kwa kutulia.
 
ratiba ya ligi kuu England inatoka leo

Ila hawa wajinga wasije fanya ujinga wakutupangia timu 5 mfululizo zote ngumu kama msimu uliopita sema advantage kubwa tuliyonayo msimu huu atutakuwa mashindano yenye presha sana ya Uefa.

Kwaiyo naona tukifanya sajili zetu vizuri tunaweza kufanya vizuri target yetu kubwa najua sio ubingwa labda litokee zari tu.
 
ratiba ya ligi kuu England inatoka leo

Ila hawa wajinga wasije fanya ujinga wakutupangia timu 5 mfululizo zote ngumu kama msimu uliopita sema advantage kubwa tuliyonayo msimu huu atutakuwa mashindano yenye presha sana ya Uefa.

Kwaiyo naona tukifanya sajili zetu vizuri tunaweza kufanya vizuri target yetu kubwa najua sio ubingwa labda litokee zari tu.
Ratiba ilishatoka kitambo hivi wewe upo dunia gani mzee
 
Back
Top Bottom