Imaniyanguitaniponyatu
Member
- Aug 23, 2021
- 54
- 87
Ronaldo anataka kusepa, na kusajili hamtaki sijui mmerogwa, kwa hiyo mmeridhika na matokeo ya msimu uliopita na aliewapa matokeo anataka kusepa.
Huyo Mzee atachukuliwa na team ganiRonaldo anataka kusepa, na kusajili hamtaki sijui mmerogwa, kwa hiyo mmeridhika na matokeo ya msimu uliopita na aliewapa matokeo anataka kusepa.



Kwa Twitter yake anaonesha Hana kituAmeshachukua wc anacheza mpira kwa kujisikia tu ujinga aliokua anaufanya man u aupeleke italy aone kama hawajamtupia ndizi
Ataenda kupata deal la sahani ya ubwabwaHuyu jamaa alikuwa anaziota zile 500k/week alizoahidiwa na Ed.
Tatizo la pogba alijua yeye ndiye anaifanya united kuwa juu kumbe ni kinyume chake.Ataenda kupata ya sahani ya ubwabwa
Atakuwa kama mwanamke aliyeachwa bila talaka. Maana atakuwa anamtamani C7Tatizo la pogba alijua yeye ndiye anaifanya united kuwa juu kumbe ni kinyume chake.
Tulipoteza pesa na muda kwa huyu mmakonde mwenzetu kwa kweli
Woodward alimlea sana,angemsikiliza Jose United ingeweza ku-generate hata £130+ kama wangewauza Martial,Lingard & Pogba walivyokuwa wanatakiwa na timu nyingine,now wanaondoka free na wanaeleza jinsi upuuzi tulioufanya kuwaleaTatizo la pogba alijua yeye ndiye anaifanya united kuwa juu kumbe ni kinyume chake.
Tulipoteza pesa na muda kwa huyu mmakonde mwenzetu kwa kweli
Sosha aliniudh Sana kuwa nae kama timu around hem. Akawaharibu watoto.Tatizo la pogba alijua yeye ndiye anaifanya united kuwa juu kumbe ni kinyume chake.
Tulipoteza pesa na muda kwa huyu mmakonde mwenzetu kwa kweli
Wangepiga hela ndefu aisee , jamaa ni manager mzoefu , anajua huyu mchezaji ana future na huyu ni hovyo , alijua hawa madogo chenga sema ndo hvyo yaan , mshikaji wakamfukuza , Ila mda huwa ni mwalimu mzurWoodward alimlea sana,angemsikiliza Jose United ingeweza ku-generate hata £130+ kama wangewauza Martial,Lingard & Pogba walivyokuwa wanatakiwa na timu nyingine,now wanaondoka free na wanaeleza jinsi upuuzi tulioufanya kuwalea
Nawaza kama wewe na kufikiria kama shabiki. Why what is happening. Sio kihiiivyoKwani ETH anasemaje kuhusu usajiri? Mimi sidhani kama United imeshuka kiwango sana mpaka kuiita ni timu dhaifu,tena unaongezea dhaifu sana.
Nakubali kwamba bado Moriinho alikuwa sahihi Kwa man utdWangepiga hela ndefu aisee , jamaa ni manager mzoefu , anajua huyu mchezaji ana future na huyu ni hovyo , alijua hawa madogo chenga sema ndo hvyo yaan , mshikaji wakamfukuza , Ila mda huwa ni mwalimu mzur
Pamoja na budget kuwa ndogo lakini hii club huwa mara nyingi tu inafail sana kwenye suala la usajili. Wachezaji wengi wanaosajiliwa huwa hawapo kabisa kwenye mipango ya team, ni vile huwa wanapatikana kirahisi tu. Man U hatuna msuli wa kugombania mchezaji mzuri na tukapambana hadi kumpata. Sijui City huwa wanafanyaje aisee hawateseki kabisa wakimtaka mchezaji.hivi shida nini kwenye usajili au bajet ndogo so inabdi waliewalie sana mana naona wengine wakigusa tu wanabeba kama vitinha huyoo psg
Sina shaka wewe ni TAGA!amna mchezaji anaye taka kuja kwa manyumbu fc