Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mechi zetu 7 za kwanza hizi.
Screenshot_20220616-100333.jpg
 
So far man u ni ile ile

Nadhani mnaelewa vilivyo Brighton alichowafanya juzi kati hapo

Tuweke akiba ya maneno
 
Hili li timu kama mambo ya football yamewashinda achana nayo ,fanyeni mambo mengine ,azinsheni hata timu ya kuogelea ,au mieleka ....uwanja inakuwa hapo hapo OT
 
Back
Top Bottom