Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,795
Nyumbu
Hiyo ratiba ulikuwa umeitangaza wewe?? Vichwa vingine bwanaRatiba ilishatoka kitambo hivi wewe upo dunia gani mzee

Achana na iyo takataka lazima ije ijiongeleshe kwenye huu uzi yani maana uzi wao kama umekufa vile.Hiyo ratiba ulikuwa umeitangaza wewe?? Vichwa vingine bwana![]()
Mkuu Msimu uliopita viben ten ndio vimewapellekea sana mototukianza vizuri huu msimu tutafanya vyema sana maana ratiba ijatubana kwa kutuorodheshea vigogo.View attachment 2262717
Piga chini bado de gea, martial, maguaya na shaw wana quality lakn hatuhitaji tena hawa watu wanaturudisha nyuma project failure hawa waje vijana wenginePogba ni kirusi na nadhan man utd waliamua kumpotezea mazima ndo maake kaenda juve kwa 160k kwa weekView attachment 2262862
Wewe nae kenge tu ratiba ndo imetangwaza saizi saa5 kamili iyo yako ya mchongo.
Pogba ni kirusi na nadhan man utd waliamua kumpotezea mazima ndo maake kaenda juve kwa 160k kwa weekView attachment 2262862
Hapa sijaelewa kwahyo Pogba alitaka man u wamwongezee salary bila ongezeko ndio akagoma?Pogba ni kirusi na nadhan man utd waliamua kumpotezea mazima ndo maake kaenda juve kwa 160k kwa weekView attachment 2262862
Poga ni li jinga sana yani hafu linasema litaonesha ni jinsi gani tumefanya makosa kutolipa mkataba mpya liende tu miaka6 yote iyo tumeona nini cha ajabu.Hapa sijaelewa kwahyo Pogba alitaka man u wamwongezee salary bila ongezeko ndio akagoma?
Wakati huko kaenda kushusha hata ile salary alikuwa anachukua man u kabla ya ongezeko.
Wewe ni jinga tu ulivyo na kimbele mbele sio tungeona una post post hapa lakini umetulia kimya unadhani bongo kule kwamba kitu kivuje vuje tu kirahisi kenge wewe.ishi na watu vzuri ratiba ya PL imetoka Toka week iliyopita na tulikuwa tunajua sisi ...!
Acha kukaza fuvu
Huyu jamaa alikuwa anaziota zile 500k/week alizoahidiwa na Ed.Pogba ni kirusi na nadhan man utd waliamua kumpotezea mazima ndo maake kaenda juve kwa 160k kwa weekView attachment 2262862