Mchezaji kashasema anataka kucheza chini ya Klopp + hampo UCL next season, punguza makasiriko utajipa ugonjwa wa moyo bure.RR alilalamika kuwa board miyeyusho, mpka Luiz Dias pia akaenda liverpool.. naona liverpool tena wameingilia hii deal hapa, Man U wao bado wali contact agent wake tu, hakuna kinachoendelea utaona huyu nae kasepa kwengine sisi tupo tuView attachment 2254529
Pia Fee yake kubwa sana, kwa Budget yetu akija Huyo na FDJ imeisha.Mchezaji kashasema anataka kucheza chini ya Klopp + hampo UCL next season, punguza makasiriko utajipa ugonjwa wa moyo bure.
Unajua tuna kulewa sana chief lakn shida ipo kwako kutaka kutuaminisha watu waliopo ni wazuri na wanatosheleza wakati kimsing hawana performance tunayoitegema kupata nafasi nzuri kwenye ligi...sipend kufananisha wachezaj wetu na timu zingine lakn ss Manchester tuna viungo wabovu sana Fred na mac...in fact wamepewa nafasi misimu zaid ya miwili lakn hawaja ongezeka kiwangoSo sababu tunataka wachezaji wapya wa zamani waondoke?
Haya Watoe Mc tominay na Fred, na pogba, Matic na Mata wameondoka tunabaki na midfield wangapi? Anabaki Bruno na VDB tu, utasajili wangapi?
In reality tunasajili maximum midfield wawili tu, Huwezi kuanza ligi na 433 ama 4231 na midfield wawili na Attacking wawili.
Tatizo mashabiki mnaishi kwenye Dream land munahisi tunaweza sajili wachezaji 11 tukaanza upya msimu ujao, then Mwezi wa kwanza hapa muje Mumtukane ETH.
Na Hatumuhitaji Nkunku, Jamaa ni Attacking midfield same Position na Bruno, na Sub ya Bruno yupo VDB, kuna magape kibao ya Kuziba kabla ya kuanza kufikiria kumreplace Bruno.
Na inavyoonekana kocha wetu atakuja kuwa kipenzi cha board maana alisema team yetu bado ina wachezaji potential sana akasisitiza wachezaji hao ndio walifanya tukamaliza nafasi ya 2 msimu uliopitaRR alilalamika kuwa board miyeyusho, mpka Luiz Dias pia akaenda liverpool.. naona liverpool tena wameingilia hii deal hapa, Man U wao bado wali contact agent wake tu, hakuna kinachoendelea utaona huyu nae kasepa kwengine sisi tupo tuView attachment 2254529
Ten Hag anaamini team yetu bado nzuri sababu tulishika nafasi ya 2 na wachezaji haohaoUnajua tuna kulewa sana chief lakn shida ipo kwako kutaka kutuaminisha watu waliopo ni wazuri na wanatosheleza wakati kimsing hawana performance tunayoitegema kupata nafasi nzuri kwenye ligi...sipend kufananisha wachezaj wetu na timu zingine lakn ss Manchester tuna viungo wabovu sana Fred na mac...in fact wamepewa nafasi misimu zaid ya miwili lakn hawaja ongezeka kiwango
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Chief-Mkwawa hebu nipe option ya upande wa striker tukimkosa Nunez kwa bei rahisi unayosemea? Yupi / wapi tunapata?Pia Fee yake kubwa sana, kwa Budget yetu akija Huyo na FDJ imeisha.
Sawa, tupo hapa.. ngoja tumuone bwana ETH na hiki kikosi anachosema kipo vizuriNa inavyoonekana kocha wetu atakuja kuwa kipenzi cha board maana alisema team yetu bado ina wachezaji potential sana akasisitiza wachezaji hao ndio walifanya tukamaliza nafasi ya 2 msimu uliopita
Tofauti na RR aliyesema tunahitaji wachezaji wapya at least 7
Ralf pia aliikosoa board kuhusu kuwakosa Diaz na Alvarez

Mkuu sisi hatuhitaji striker anayekuja kuanza, vyovyote vile Ronaldo ndio atalead timu msimu ujao, striker anayetakiwa ni Either mtoto msimu ujao akue na sisi ama sub ya Ronaldo incase anaumia.Sasa Chief-Mkwawa hebu nipe option ya upande wa striker tukimkosa Nunez kwa bei rahisi unayosemea? Yupi / wapi tunapata?
Kwa sasa Man Utd inabidi ifanye sajili zake za msingi kipindi cha dirisha dogo ambapo ushindani ni mdogo.RR alilalamika kuwa board miyeyusho, mpka Luiz Dias pia akaenda liverpool.. naona liverpool tena wameingilia hii deal hapa, Man U wao bado wali contact agent wake tu, hakuna kinachoendelea utaona huyu nae kasepa kwengine sisi tupo tuView attachment 2254529
Mkuu Issue ya Alvarez ilikuwa nje ya Uwezo wetu, Man City wanamtangaza Leo Alvarez haikuchukua Siku nyingi yule Pimbi Greenwood anafanya yake.Na inavyoonekana kocha wetu atakuja kuwa kipenzi cha board maana alisema team yetu bado ina wachezaji potential sana akasisitiza wachezaji hao ndio walifanya tukamaliza nafasi ya 2 msimu uliopita
Tofauti na RR aliyesema tunahitaji wachezaji wapya at least 7
Ralf pia aliikosoa board kuhusu kuwakosa Diaz na Alvarez
Jamaa nakuelewa sana. Shida ya mashabiki wa united wanataka ETH alete wachezaji wapya karibia kikosi kizima kama walivyo aminishwa na RR. Yani wachezaji karibia 7 wasajiliwe Kwa pamojaMkuu sisi hatuhitaji striker anayekuja kuanza, vyovyote vile Ronaldo ndio atalead timu msimu ujao, striker anayetakiwa ni Either mtoto msimu ujao akue na sisi ama sub ya Ronaldo incase anaumia.
Nunez ni mchezaji mzuri ila kwa 85M ni risk kubwa, liverpool wapo Vizuri kila idara wanaweza kurisk hata akizingua si watamuuza tu.
Sijui kama Belloti anafit Mfumo wa ETH ila jamaa anapatikana Bure, kuwa Rotational si mbaya.
Vyombo tu vya Habari vinakuza mambo na Ma Agent wanaitumia Man U kuongeza thamani ya wachezaji wao. just miaka ya Karibuni Sanchez, Fred, Maguire na Ronaldo wote walikuwa wanaenda City na Tumewapokonya.Kwa sasa Man Utd inabidi ifanye sajili zake za msingi kipindi cha dirisha dogo ambapo ushindani ni mdogo.
Tukifika dirisha kubwa wachezaji wanatukataa,sijui tumepotezaje mvuto ghafla hivi!
Kabisaa na ndo plan nzima ndo maana ETH alisema anahitaji wachezaji wasio zidi watano kuziba mapungufu yaliyopo huku rebuild ikizidi kuendelea mdogomdogoMkuu Issue ya Alvarez ilikuwa nje ya Uwezo wetu, Man City wanamtangaza Leo Alvarez haikuchukua Siku nyingi yule Pimbi Greenwood anafanya yake.
Kwa Greenwood tulikuwa Tayari tuna future Top striker tunamkuza Taratibu, ndio maana Hatukuwa na Umuhimu wa kutafuta Striker wakati una Ronaldo, Cavani na Greenwood.
Pia mimi naungana na ETH, kikosi chetu si kibaya kama watu wanavyotaka kutuaminisha, yazibwe tu Mapengo, priority iwe midfielder, Board ikinunua Midfielder 2 za kazi, beki wa pembeni, na Backup striker Tunaanza vizuri tu Msimu wetu, then kuanzia hapo ndio tutajua mbivu na mbichi, ambaye hatajituma na kumsikiliza mwalimu safari yake ndio itaishia hapo.
RR Austria Iko ina mshinda huko,Sijui kule atamlalamikia nani,theory kibao, practical zeroRR alilalamika kuwa board miyeyusho, mpka Luiz Dias pia akaenda liverpool.. naona liverpool tena wameingilia hii deal hapa, Man U wao bado wali contact agent wake tu, hakuna kinachoendelea utaona huyu nae kasepa kwengine sisi tupo tuView attachment 2254529
Hii timu kocha mpya akija anaona inahitaji marekebisho machache hata RR alisema hivyo lakini baada ya kufundisha ndio akajua kuwa kazi iliyopo ni ngumu sana na the way wachezaji walivyokuwa wancheza msimu uliopita kocha alikuwa sahihi kusema timu inahitaji kununua wachezaji wengi na kibaya zaidi ni kuwa tayari our main competitors(Liverpool & City) wako kwenye peak.Vikosi vyao vimeshakamilika na still wanaendelea kuboreshaJamaa nakuelewa sana. Shida ya mashabiki wa united wanataka ETH alete wachezaji wapya karibia kikosi kizima kama walivyo aminishwa na RR. Yani wachezaji karibia 7 wasajiliwe Kwa pamoja
Kama Klopp alivyo kuwa ana timua mmoja mmoja Kwa muda wake kina Mignolet,Cyle,Moreno,Lucas,Lallana,Sturrige,Kolo toure,Baloteli,skritel,Coutinho na wengine WengiMkuu Issue ya Alvarez ilikuwa nje ya Uwezo wetu, Man City wanamtangaza Leo Alvarez haikuchukua Siku nyingi yule Pimbi Greenwood anafanya yake.
Kwa Greenwood tulikuwa Tayari tuna future Top striker tunamkuza Taratibu, ndio maana Hatukuwa na Umuhimu wa kutafuta Striker wakati una Ronaldo, Cavani na Greenwood.
Pia mimi naungana na ETH, kikosi chetu si kibaya kama watu wanavyotaka kutuaminisha, yazibwe tu Mapengo, priority iwe midfielder, Board ikinunua Midfielder 2 za kazi, beki wa pembeni, na Backup striker Tunaanza vizuri tu Msimu wetu, then kuanzia hapo ndio tutajua mbivu na mbichi, ambaye hatajituma na kumsikiliza mwalimu safari yake ndio itaishia hapo.
ronaldo asipocheza rashford anaanza mbele dahMkuu sisi hatuhitaji striker anayekuja kuanza, vyovyote vile Ronaldo ndio atalead timu msimu ujao, striker anayetakiwa ni Either mtoto msimu ujao akue na sisi ama sub ya Ronaldo incase anaumia.
Nunez ni mchezaji mzuri ila kwa 85M ni risk kubwa, liverpool wapo Vizuri kila idara wanaweza kurisk hata akizingua si watamuuza tu.
Sijui kama Belloti anafit Mfumo wa ETH ila jamaa anapatikana Bure, kuwa Rotational si mbaya.
Chief NUNEZ ni zaidi ya hatari kufeli pale hilo sahauMkuu sisi hatuhitaji striker anayekuja kuanza, vyovyote vile Ronaldo ndio atalead timu msimu ujao, striker anayetakiwa ni Either mtoto msimu ujao akue na sisi ama sub ya Ronaldo incase anaumia.
Nunez ni mchezaji mzuri ila kwa 85M ni risk kubwa, liverpool wapo Vizuri kila idara wanaweza kurisk hata akizingua si watamuuza tu.
Sijui kama Belloti anafit Mfumo wa ETH ila jamaa anapatikana Bure, kuwa Rotational si mbaya.