ETH Anamng'ang'ania Na ilhali Mchezaji Kashaonesha Kutohiitaji Timu.yani Manchester united kichwa cha mwendawazimu kweli tulimuacha herera tunataka de jong hii ni akili au matope.
timu ya kisenge sana rasford ndo mbadala wa ronaldoTumeshamkosa NUNEZ, hivi pale mbele akae Nunez na Diaz kuna mtu kupona kweli??![]()
ETH anasema hicho kikosi ni kizuri? Hayupo serious. Kikosi chetu na cha liver au man City kipi ni kizuri? Lakini wenzetu bado wanasajili.Sawa, tupo hapa.. ngoja tumuone bwana ETH na hiki kikosi anachosema kipo vizuri![]()
Sie kwenye sajili tunajivuta sana yaan matatizo ya Man U huwa yanajirudia cjui kwanini?Hao liver wapo serious na nunez
Huyu anaweza kuja Man Utd kweli??Darwin who?View attachment 2255717
Mkuu ina maana mahasimu wetu wameshambeba nunez?Tumeshamkosa NUNEZ, hivi pale mbele akae Nunez na Diaz kuna mtu kupona kweli??😄
Siyo kujivuta, tofauti ya Liverpool na United kwenye hili dili ni kwamba Liverpool tayari wame-submit bid kwa Benfica ila United wanaongea na agent kwanza.Sie kwenye sajili tunajivuta sana yaan matatizo ya Man U huwa yanajirudia cjui kwanini?
90%Huyu anaweza kuja Man Utd kweli??
Huyo dogo huwa ni playmaker mzuri sana huko Ajax, huo mto wake usipozima EPL basi atakuwa ni tishio.
Nimekupata mkuu 👍Siyo kujivuta, tofauti ya Liverpool na United kwenye hili dili ni kwamba Liverpool tayari wame-submit bid kwa Benfica ila United wanaongea na agent kwanza.
It means kama Nunez atakubali mkataba wa United kitakachobaki niku-submit official bid tu. Na tayari Benfica washataja pesa wanayotaka so issue ni kwa mchezaji tu akikataa yeye huwezi ku-force.
sasa huyu striker ?Darwin who?View attachment 2255717
Uyu dogo ni hatari sana kwenye winga ya kulia aise anatumia sana mguu wa kushoto.Darwin who?View attachment 2255717
Huu Utakuwa Usajili Mzuri, Yeye Wing Ya Kulia Sancho Wing Ya KushotoDarwin who?View attachment 2255717

Nimekupata VyemaSiyo kujivuta, tofauti ya Liverpool na United kwenye hili dili ni kwamba Liverpool tayari wame-submit bid kwa Benfica ila United wanaongea na agent kwanza.
It means kama Nunez atakubali mkataba wa United kitakachobaki niku-submit official bid tu. Na tayari Benfica washataja pesa wanayotaka so issue ni kwa mchezaji tu akikataa yeye huwezi ku-force.
laurie whitwell anasema hiyo taarifa ya jorge mendez kukutana na erik ten hag kwa dhumuni la kujadili usajili wa darwin nunez ni bogus, kwa maana ni fekiNimekupata VyemaView attachment 2256027
anaweza kuendeleza moto wake wa kufunga magoli kwa msimu mwengine au pia ikawa kinyume chake. tufahamu darwin nunez ni msimu huu tu amekuwa bora. pia unadeal na benfica. wazee wa kuuza wachezaji wanaotrend kwa bei kubwa kama walivyofanya kwa joao felix.Tumeshamkosa NUNEZ, hivi pale mbele akae Nunez na Diaz kuna mtu kupona kweli??😄