Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Darwin who?
20220609_204824.jpg
 
Sie kwenye sajili tunajivuta sana yaan matatizo ya Man U huwa yanajirudia cjui kwanini?
Siyo kujivuta, tofauti ya Liverpool na United kwenye hili dili ni kwamba Liverpool tayari wame-submit bid kwa Benfica ila United wanaongea na agent kwanza.

It means kama Nunez atakubali mkataba wa United kitakachobaki niku-submit official bid tu. Na tayari Benfica washataja pesa wanayotaka so issue ni kwa mchezaji tu akikataa yeye huwezi ku-force.
 
Siyo kujivuta, tofauti ya Liverpool na United kwenye hili dili ni kwamba Liverpool tayari wame-submit bid kwa Benfica ila United wanaongea na agent kwanza.

It means kama Nunez atakubali mkataba wa United kitakachobaki niku-submit official bid tu. Na tayari Benfica washataja pesa wanayotaka so issue ni kwa mchezaji tu akikataa yeye huwezi ku-force.
Nimekupata mkuu 👍
 
Siyo kujivuta, tofauti ya Liverpool na United kwenye hili dili ni kwamba Liverpool tayari wame-submit bid kwa Benfica ila United wanaongea na agent kwanza.

It means kama Nunez atakubali mkataba wa United kitakachobaki niku-submit official bid tu. Na tayari Benfica washataja pesa wanayotaka so issue ni kwa mchezaji tu akikataa yeye huwezi ku-force.
Nimekupata Vyema
Screenshot_20220610-101300~2.jpg
 
Tumeshamkosa NUNEZ, hivi pale mbele akae Nunez na Diaz kuna mtu kupona kweli??😄
anaweza kuendeleza moto wake wa kufunga magoli kwa msimu mwengine au pia ikawa kinyume chake. tufahamu darwin nunez ni msimu huu tu amekuwa bora. pia unadeal na benfica. wazee wa kuuza wachezaji wanaotrend kwa bei kubwa kama walivyofanya kwa joao felix.
 
Huu Utakuwa Usajili Mzuri, Yeye Wing Ya Kulia Sancho Wing Ya Kushoto
hiyo taarifa ya anthony imeandikwa na waandishi wa habari wa brazil pekee, inaweza kuwa ni sahihi au ni uzushi wa mawakala kuitumia brand ya manchester united kwa lengo la kutengeneza mazingira ya kupata mikataba mikubwa kwa wateja wao
 
Klop alivyo mbahili vile, akitoa tu £40m huyo mchezaji anakua hatari, ukiona kakubal kutoa zaid kwa Nunez usitegemee kuflop
anaweza kuendeleza moto wake wa kufunga magoli kwa msimu mwengine au pia ikawa kinyume chake. tufahamu darwin nunez ni msimu huu tu amekuwa bora. pia unadeal na benfica. wazee wa kuuza wachezaji wanaotrend kwa bei kubwa kama walivyofanya kwa joao felix.
 
Klop alivyo mbahili vile, akitoa tu £40m huyo mchezaji anakua hatari, ukiona kakubal kutoa zaid kwa Nunez usitegemee kuflop
mbahili hawezi kulipa pound million 60 au zaidi kwa ajili ya goalkeeper, liverpool wanajiandaa na maisha ya baadae kutokana na sintofahamu ya mkataba wa salah unaomalizika msimu ujao pamoja na sadio mane. bila ya shaka ameona ugumu wa kupata winga mwengine aina ya salah mwenye uwezo wa kuhusika na magoli 30 au zaidi ndio ameamua kurudisha mfumo wa kutumia striker. kama liverpool wangelikuwa na nafasi ya kumsajili kylian mbappe kuziba nafasi ya salah wasingelisita kufanya hivyo.
 
mashabiki na wapenzi wa manchester united tunaandamwa na khofu, woga wa kuendelea kubaki chini, presha ya kutaka kurudi tena juu bila ya kujali njia ya kutufikisha huko. tumekuwa kama wasafiri waliovurugwa na dhoruba ya bahari. Nimeanza kuyaelewa na kupambana nayo mfano wa maumivu na frustrations waliyopitia mashabiki wa timu nyengine wakati huo sisi tunakula bata. Tumevurugwaaa!!!!
 
laurie whitwell anasema hiyo taarifa ya jorge mendez kukutana na erik ten hag kwa dhumuni la kujadili usajili wa darwin nunez ni bogus, kwa maana ni feki
Huwa Mkuu nafurahi sana Tier 1 kama hawa wakiclarify mambo.

Pia Amesema De jong yupo Open Kujiunga Man U, tofauti na Rumors za mwanzo kwamba hataki kuja kwetu.

Kwa usalama wa Afya ya akili yako vyema ukaepuka kabisa hivi ijumaa na uwazi za ulaya.
 
Back
Top Bottom