hii ni kosi la dunia lazima watu wafurahie.Hii team yangu pamoja nakuwa vibaya uwanjani lakini thamani yake bado ipo juu tu...
1. CDM . Kwangu mimi naona hawa wanafaa kutuokoa.1. Kondogbia 2. Emile Hojberg au Norgad japo Norgad tunaweza kumleta kama Squad player.Maeneo gani ni yakuboresha kwenye 1st XI?
Kazi nzur snuchambuz mzur1. CDM . Kwangu mimi naona hawa wanafaa kutuokoa.1. Kondogbia 2. Emile Hojberg au Norgad japo Norgad tunaweza kumleta kama Squad player.
2. CM replacement ya Pogba na Jese Lingard kwangu mimi namuona Sergej Millinkovic Savic, Philip Kostic.
3. Right back, Ashraf Hakimi, Robin Gossen, au Alex Maehle. Maehle anaweza kucheza nafasi tatu fullbacks zote na center back.
4. Left back bado naendelea kuwapa benefit of doubt Luke Shaw na Alex Telles. Lakini kama tunataka left back full package ni Theo Hernandez wa Ac Milan.
5. Central striker hapa kwangu mimi pendekezo langu ni Patrick Shick kama hatutaweza kumsajili Harry Kane, wengi wa mashabiki wa United wanamtaka Nunez nikiri wazi simfahamu.
Kwenye wings bado nina imani na Sancho na Rashford watarudisha makali yao.
Are you confidently going next season with these CBs we have?..Maguire,Varane (Pancha),Bailly(Maji kujaa na kupwaa) na Lindelof??1. CDM . Kwangu mimi naona hawa wanafaa kutuokoa.1. Kondogbia 2. Emile Hojberg au Norgad japo Norgad tunaweza kumleta kama Squad player.
2. CM replacement ya Pogba na Jese Lingard kwangu mimi namuona Sergej Millinkovic Savic, Philip Kostic.
3. Right back, Ashraf Hakimi, Robin Gossen, au Alex Maehle. Maehle anaweza kucheza nafasi tatu fullbacks zote na center back.
4. Left back bado naendelea kuwapa benefit of doubt Luke Shaw na Alex Telles. Lakini kama tunataka left back full package ni Theo Hernandez wa Ac Milan.
5. Central striker hapa kwangu mimi pendekezo langu ni Patrick Shick kama hatutaweza kumsajili Harry Kane, wengi wa mashabiki wa United wanamtaka Nunez nikiri wazi simfahamu.
Kwenye wings bado nina imani na Sancho na Rashford watarudisha makali yao.
Nafikiri Rashord hawezi kuimprove kabisa!!1. CDM . Kwangu mimi naona hawa wanafaa kutuokoa.1. Kondogbia 2. Emile Hojberg au Norgad japo Norgad tunaweza kumleta kama Squad player.
2. CM replacement ya Pogba na Jese Lingard kwangu mimi namuona Sergej Millinkovic Savic, Philip Kostic.
3. Right back, Ashraf Hakimi, Robin Gossen, au Alex Maehle. Maehle anaweza kucheza nafasi tatu fullbacks zote na center back.
4. Left back bado naendelea kuwapa benefit of doubt Luke Shaw na Alex Telles. Lakini kama tunataka left back full package ni Theo Hernandez wa Ac Milan.
5. Central striker hapa kwangu mimi pendekezo langu ni Patrick Shick kama hatutaweza kumsajili Harry Kane, wengi wa mashabiki wa United wanamtaka Nunez nikiri wazi simfahamu.
Kwenye wings bado nina imani na Sancho na Rashford watarudisha makali yao.
Shida ni Uingereza wake ndo unaompa kichwa. Afadhali hata alivyoachwa timu ya Taifa ili ajitafakari.Nafikiri Rashord hawezi kuimprove kabisa!!
Na hakuachwa kwa bahati mbaya kwenye kikosi cha kwanza cha England. Pamoja na kuwa mchezaji wetu aliyefanya vizuri kwenye msimu uliokuwa umemalizika lakini alionekana hana namba kwenye ile timu ya waingereza tupu.Shida ni Uingereza wake ndo unaompa kichwa. Afadhali hata alivyoachwa timu ya Taifa ili ajitafakari.
Safi! Ila kwa dirisha hili sidhani kama tutasajili full back za maana. Theo na Hakimi ni options nzuri sana, top quality players ila kuwatoa vilabu walivyopo unahitaji nguvu zaidi ya pesa.1. CDM . Kwangu mimi naona hawa wanafaa kutuokoa.1. Kondogbia 2. Emile Hojberg au Norgad japo Norgad tunaweza kumleta kama Squad player.
2. CM replacement ya Pogba na Jese Lingard kwangu mimi namuona Sergej Millinkovic Savic, Philip Kostic.
3. Right back, Ashraf Hakimi, Robin Gossen, au Alex Maehle. Maehle anaweza kucheza nafasi tatu fullbacks zote na center back.
4. Left back bado naendelea kuwapa benefit of doubt Luke Shaw na Alex Telles. Lakini kama tunataka left back full package ni Theo Hernandez wa Ac Milan.
5. Central striker hapa kwangu mimi pendekezo langu ni Patrick Shick kama hatutaweza kumsajili Harry Kane, wengi wa mashabiki wa United wanamtaka Nunez nikiri wazi simfahamu.
Kwenye wings bado nina imani na Sancho na Rashford watarudisha makali yao.
Naamini kocha akiwa hana mentality za kusajili waingereza kuna vipaji vingi outside the like of Bruno or Diaz.Safi! Ila kwa dirisha hili sidhani kama tutasajili full back za maana. Theo na Hakimi ni options nzuri sana, top quality players ila kuwatoa vilabu walivyopo unahitaji nguvu zaidi ya pesa.
Kwa Patrik Schick nakumbuka niliona kuwa ana mkataba au offer ya mkataba mpya mezani niliona tu Twitter ila sikufatilia hiyo habari. Kwa Kane sidhani kama inawezekana ukizingatia kuna serious project chini ya Conte, pia Spurs watahitaji pesa nyingi na tunahitaji pesa nyingi pia kuboresha maeneo mengi. Too bad sokoni hakuna options za maana kwenye eneo la striker.
Center backs wetu siyo wabaya sana ila tatizo kubwa timu yetu haikuwa na DM na ilikuwa inacheza vibaya sana as a team. Kiasi cha kuifanya iwe exposed sana kwenye defence.Are you confidently going next season with these CBs we have?..Maguire,Varane (Pancha),Bailly(Maji kujaa na kupwaa) na Lindelof??
Hainingii akilini hawa centre backs wetu wote ni first choice kwenye national teams zao halafu sisi wanakuwa hoya hoya.Are you confidently going next season with these CBs we have?..Maguire,Varane (Pancha),Bailly(Maji kujaa na kupwaa) na Lindelof??
Rashford ataimprove sana chini ya Ten HagNafikiri Rashord hawezi kuimprove kabisa!!
Easy target ni Patrick Schick na NunezSafi! Ila kwa dirisha hili sidhani kama tutasajili full back za maana. Theo na Hakimi ni options nzuri sana, top quality players ila kuwatoa vilabu walivyopo unahitaji nguvu zaidi ya pesa.
Kwa Patrik Schick nakumbuka niliona kuwa ana mkataba au offer ya mkataba mpya mezani niliona tu Twitter ila sikufatilia hiyo habari. Kwa Kane sidhani kama inawezekana ukizingatia kuna serious project chini ya Conte, pia Spurs watahitaji pesa nyingi na tunahitaji pesa nyingi pia kuboresha maeneo mengi. Too bad sokoni hakuna options za maana kwenye eneo la striker.
Kwanin unahisi hivo mkuu?Rashford ataimprove sana chini ya Ten Hag
Aina ya football anayopendelea Ten Hag inamfavour sana Rashford na Sancho.Kwanin unahisi hivo mkuu?
Vipi Lautaro Martinez ?Safi! Ila kwa dirisha hili sidhani kama tutasajili full back za maana. Theo na Hakimi ni options nzuri sana, top quality players ila kuwatoa vilabu walivyopo unahitaji nguvu zaidi ya pesa.
Kwa Patrik Schick nakumbuka niliona kuwa ana mkataba au offer ya mkataba mpya mezani niliona tu Twitter ila sikufatilia hiyo habari. Kwa Kane sidhani kama inawezekana ukizingatia kuna serious project chini ya Conte, pia Spurs watahitaji pesa nyingi na tunahitaji pesa nyingi pia kuboresha maeneo mengi. Too bad sokoni hakuna options za maana kwenye eneo la striker.
Mkuu Schick kaongeza mkataba, same na Theo Hernandez anasaini soon contract extension1. CDM . Kwangu mimi naona hawa wanafaa kutuokoa.1. Kondogbia 2. Emile Hojberg au Norgad japo Norgad tunaweza kumleta kama Squad player.
2. CM replacement ya Pogba na Jese Lingard kwangu mimi namuona Sergej Millinkovic Savic, Philip Kostic.
3. Right back, Ashraf Hakimi, Robin Gossen, au Alex Maehle. Maehle anaweza kucheza nafasi tatu fullbacks zote na center back.
4. Left back bado naendelea kuwapa benefit of doubt Luke Shaw na Alex Telles. Lakini kama tunataka left back full package ni Theo Hernandez wa Ac Milan.
5. Central striker hapa kwangu mimi pendekezo langu ni Patrick Shick kama hatutaweza kumsajili Harry Kane, wengi wa mashabiki wa United wanamtaka Nunez nikiri wazi simfahamu.
Kwenye wings bado nina imani na Sancho na Rashford watarudisha makali yao.
Hata kama kaongeza mkataba ananunulika kirahisi kuliko, Kane na Lautaro MartinezMkuu Schick kaongeza mkataba, same na Theo Hernandez anasaini soon contract extension