D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
Jina la ngolo kante linaendelea kujadiliwa klabuni, khofu juu ya usajili wake ni suala la umri wake na afya yake. Ngolo amekuwa akipata majeruhi ya mara kwa mara kwa siku za karibuni. Hii taarifa ya ngolo kante imeripotiwa na laurie whittwell(tier 1) na waandishi wengineo. Thamani yake pia inategemewa kuwa ndogo kwa sababu amebakiwa na mwaka kwenye mkataba wake. Je wewe wamuonaje ngolo kante?

mtaendelea na hao hao kina Maguire kudadekiiiiii