halafu hajasaiji hata mmoja wakati man ndo inaumuhumi wakusajili kuliko timu nyengine hata spurs tayari wameanza perisic sijui shida nini au wachejazi hawataki kwa sababu ya UCLYani Manchester United inahusishwa na kila mchezaji.
nkunku pia kuna hofu ?Thamani ya darwin nunez na khofu ya kushindwa kuendeleza makali yake ya msimu huu yanawaweka katika hali ya khofu timu ya usajili, je waingie au wamsubirie tena kwa mwaka mmoja?
miaka 6 na bado haimprove takataka hiyo ishaishaKwanin unahisi hivo mkuu?
leipzig bado wanamuhitaji, pia nkunku si mshambuliaji wa asili.nkunku pia kuna hofu ?






mtaendelea na hao hao kina Maguire kudadekiiiiii




hata de jong hawezi acha team yake inayoenda kucheza uefa eti aje kuteseka Europa 
Ni nadra sana mchezaji akisaini mkataba mpya akanunulika hapo hapo.. nadra sanaHata kama kaongeza mkataba ananunulika kirahisi kuliko, Kane na Lautaro Martinez
Mkuu mie naona EtH anapenda technically gifted players wenye work rate kubwa lakini ukiangalia Rashford zaidi ya mbio sioni kingine hapo.Aina ya football anayopendelea Ten Hag inamfavour sana Rashford na Sancho.
Imagine a lazy player kama Ziyech alikuwa wa moto sembuse Rashford ?
Matendo na maneno ni tofauti.Mkuu mie naona EtH anapenda technically gifted players wenye work rate kubwa lakini ukiangalia Rashford zaidi ya mbio sioni kingine hapo.
Nahisi atamtema jumla au asiwe starter.
Kwamba Tadic ni More Technical Kuliko Rashford?Mkuu mie naona EtH anapenda technically gifted players wenye work rate kubwa lakini ukiangalia Rashford zaidi ya mbio sioni kingine hapo.
Nahisi atamtema jumla au asiwe starter.
Kuna hii pia.kwa takribani miaka 40 sir alex ferguson anabaki kuwa kocha pekee kuwahi kuifunga real madrid katika mchezo wa fainali inayohusu mashindano yoyote ya UEFA. Alifanya hivyo akiwa kocha wa ABERDEEN.