Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Vitenge vya madiwani.
IMG-20220514-WA0032.jpg
 
Wakuu huyu BOUBACAR KAMARA ni DM mzr kuliko rice na Phillips... United bdo ina talent...rashford bdo anauwezo km akipata mwalimu mzr. Nunez anatufaa kwa sasa na baadae
NAAMINI ETH lzm atatufikisha nchi ya ahadi ndani ya miaka miwili tu
 
Juzi nilisema hapa kama United wanataka kujihakikishia Europa League basi wapate angalau point 1 kwenye mechi ya Brighton na nilijua kabisa kwa jinsi timu inavyocheza ni ngumu kupata points 3. Kwa hali ilivyo wangefanikiwa kupata point 1 matumaini yetu tungewaachia City ambao bila shaka wasingetuangusha.

Kama tungefanikiwa kupata point 1 maana yake tungesubiri tu West Ham afungwe na City na tungekuwa tumeshafuzu UEL. Sasa hali ilivyo sasa endapo tutafungwa na Palace na West Ham akamfunga Brighton ni wazi tutatolewa kwa Goal difference na kuna possibility kubwa United hataondoka na points 3 kwa Palace na kama West Ham atapata droo game ya City (which is possible) game ya mwisho pressure itakuwa juu zaidi na tumeshaona kikosi tulichonacho hakiwezi ku-handle games zenye pressure kubwa so nategemea game ngumu zaidi na Palace hawana cha kupoteza so wata-relax na watakuwa na utulivu zaidi.
HAHAHAH! Ile mechi ya Brighton ndiyo ilikuwa ya kutupeleka Europa. Mechi ya mwisho kwa Palace, hahaha.
 
west ham amempa matumaini liverpool dhidi ya man city kwenye mbio za ubingwa, man city amempa matumaini man utd dhidi ya west ham mbio za europa.
Liva ana matumaini gani bro wakati hata akishinda anakua na points 89 huku city ana 90? Na game ya mwisho City anacheza na Villa.

Kama mkashindwa kumfunga Palace na Hammers wakashinda mechi ya mwisho lazima memes zitolewe kuonyesha city ilifanya makusudi suluhu dhidi ya Hammers ili kuhakikisha united anaenda conference league.

Advantage mliyo nayo United ni kwamba mmepumzika almost wiki mbili kabla ya kukutana na Palace ambao watakua wamepumzika siku mbili kabla ya kukutana na nyinyi.
 
Back
Top Bottom