Mmmh hizi jersey kama sale za kwayaVitenge vya madiwani.View attachment 2224146
Hivi mechi yetu saa ngapi mkuu!?Kosi la dunia limekuja kuwa Kosi la mtaa
Dah sijajua mkuu ngoja niingie liveskooHivi mechi yetu saa ngapi mkuu!?
HAHAHAH! Ile mechi ya Brighton ndiyo ilikuwa ya kutupeleka Europa. Mechi ya mwisho kwa Palace, hahaha.Juzi nilisema hapa kama United wanataka kujihakikishia Europa League basi wapate angalau point 1 kwenye mechi ya Brighton na nilijua kabisa kwa jinsi timu inavyocheza ni ngumu kupata points 3. Kwa hali ilivyo wangefanikiwa kupata point 1 matumaini yetu tungewaachia City ambao bila shaka wasingetuangusha.
Kama tungefanikiwa kupata point 1 maana yake tungesubiri tu West Ham afungwe na City na tungekuwa tumeshafuzu UEL. Sasa hali ilivyo sasa endapo tutafungwa na Palace na West Ham akamfunga Brighton ni wazi tutatolewa kwa Goal difference na kuna possibility kubwa United hataondoka na points 3 kwa Palace na kama West Ham atapata droo game ya City (which is possible) game ya mwisho pressure itakuwa juu zaidi na tumeshaona kikosi tulichonacho hakiwezi ku-handle games zenye pressure kubwa so nategemea game ngumu zaidi na Palace hawana cha kupoteza so wata-relax na watakuwa na utulivu zaidi.
The best 007 uliuliza EtH anakuja lini mwezi uliopita.May 16
Kwa nini tusiende kushiriki endapo tutafuzu? Ukiona noti ya $100 chini utaiacha kisa account yako ina $100k?Mtaenda kushiriki Europe Conference League au hamtaenda ?
upo uwezekano wa kuangalia mechi ya crystal palace, sijajua kama ataendelea kuwepo uingereza au ataiangalia akiwa netherland. nimtakie kila la kheri katika majukumu yake anayoanza leo.The best 007 uliuliza EtH anakuja lini mwezi uliopita.
Liva ana matumaini gani bro wakati hata akishinda anakua na points 89 huku city ana 90? Na game ya mwisho City anacheza na Villa.west ham amempa matumaini liverpool dhidi ya man city kwenye mbio za ubingwa, man city amempa matumaini man utd dhidi ya west ham mbio za europa.