Sisi Ndio Chelsea Bora hata team yenu ya wanawake wanaleta ushindani kuliko WanaumeWanawake nao wamekula 4![]()
Sawa mkuu. 😀😀😀Sifa ya kwanza ya kiungo ni kuwa na akili..I'm sorry to say McSouce akili hiyo hana.
Jidanganye tu hahahahahaEuropa uhakika maana Westham hawezi shinda mechi zake zote zilizobaki
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Westham hana jeuri ya kumfunga Manchester City wala Brighton.West ham wanawapumulia kisogoni qmmmk
Endelea kujifarijiWestham hana jeuri ya kumfunga Manchester City wala Brighton.
Crystal palace lazima awazamishe... .Kumbe united mmebakisha game mojaTena mnacheza may 22 na crystal palace aiseee
Mnamaliza msimu kifala Sana
Conference mshindi anaenda Uropa league...Conference haina maana yoyote, kuliko kucheza Conference bora usicheze Europe Kabisa. Angalau Europa mshindi anaingia Champions league.
Bingwa wa dunia anakuwaje mpuuzi?Hata hiyo Europa ni bahati tu, westham na spur walizubaa tu walikuwa wanatukalisha..
Lkn acha kocha wetu mpya akajipime huko Europa ndogo Kwa ajili ya Mwakani, mpuuz kama Chelsea, asernal ni wadg Sana kwenye gozi
Kabla ya hiyo match tuliwanyuka 6Sisi Ndio Chelsea Bora hata team yenu ya wanawake wanaleta ushindani kuliko Wanaume
Tatizo mna mdomo kama chuchunge.
Kundi la panya road tu hiloManureeeeee
Hiki ni kikosi Cha mdundiko wa ngoma asilia.
Juzi nilisema hapa kama United wanataka kujihakikishia Europa League basi wapate angalau point 1 kwenye mechi ya Brighton na nilijua kabisa kwa jinsi timu inavyocheza ni ngumu kupata points 3. Kwa hali ilivyo wangefanikiwa kupata point 1 matumaini yetu tungewaachia City ambao bila shaka wasingetuangusha.Kimtazamo wa form Westham hawezi kumfunga City ila anaweza kumpiga Brighton na kwa mtazamo huo huo ni ngumu kuamua kati ya United na Palace nani atashinda.
Wote wako kwenye run ya hovyo.
Na Palace ni kama wengine wa mid table low block, counter na purposive movements. United anahitaji zaidi ushindi au suluhu kwakua atajihakikishia kwenda Europa.
Nafikiri United inatakiwa kuhit rock bottom zaidi ya hapa, ili mashabiki waanze kutumia zaidi akili katika kujenga hoja. Liva fans learnt it the hard way am sure same approach will work for united.
Kuna member anatumia id ya Mc cane mtafuteni mjue kama yupo hai. Sina shaka na ARV majukumu yatakua yamembana, kuna kipindi nahisi hawa ARV na Mc cane ni Flano na allypipi in disguise. Mahaba mengi mpaka kutumia akili inakua mtihani.