Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chelsea tumewasha moto na kuchukua kombe, yn Mwantesa hakuna kupumzika.
Yani ni mwendo wa vipigo square
 
Na mpigwe hivyo hivyo. Mourinho ndo alikuwa dawa ya hii timu na aliwapa makombe mkamuona hafai, sasa kuleni jeuri yenu.
 
Adjustments.jpg
 
Kumbe united mmebakisha game moja Tena mnacheza may 22 na crystal palace aiseee

Mnamaliza msimu kifala Sana
Crystal palace lazima awazamishe... .

Imagine west ham akishinda match moja nyumbu hao mtaa wa 7 kwenye kombe la uefa la viti maalumu.
 
Hata hiyo Europa ni bahati tu, westham na spur walizubaa tu walikuwa wanatukalisha..


Lkn acha kocha wetu mpya akajipime huko Europa ndogo Kwa ajili ya Mwakani, mpuuz kama Chelsea, asernal ni wadg Sana kwenye gozi
Bingwa wa dunia anakuwaje mpuuzi?
 
Kimtazamo wa form Westham hawezi kumfunga City ila anaweza kumpiga Brighton na kwa mtazamo huo huo ni ngumu kuamua kati ya United na Palace nani atashinda.

Wote wako kwenye run ya hovyo.

Na Palace ni kama wengine wa mid table low block, counter na purposive movements. United anahitaji zaidi ushindi au suluhu kwakua atajihakikishia kwenda Europa.

Nafikiri United inatakiwa kuhit rock bottom zaidi ya hapa, ili mashabiki waanze kutumia zaidi akili katika kujenga hoja. Liva fans learnt it the hard way am sure same approach will work for united.

Kuna member anatumia id ya Mc cane mtafuteni mjue kama yupo hai. Sina shaka na ARV majukumu yatakua yamembana, kuna kipindi nahisi hawa ARV na Mc cane ni Flano na allypipi in disguise. Mahaba mengi mpaka kutumia akili inakua mtihani.
 
Kimtazamo wa form Westham hawezi kumfunga City ila anaweza kumpiga Brighton na kwa mtazamo huo huo ni ngumu kuamua kati ya United na Palace nani atashinda.

Wote wako kwenye run ya hovyo.

Na Palace ni kama wengine wa mid table low block, counter na purposive movements. United anahitaji zaidi ushindi au suluhu kwakua atajihakikishia kwenda Europa.

Nafikiri United inatakiwa kuhit rock bottom zaidi ya hapa, ili mashabiki waanze kutumia zaidi akili katika kujenga hoja. Liva fans learnt it the hard way am sure same approach will work for united.

Kuna member anatumia id ya Mc cane mtafuteni mjue kama yupo hai. Sina shaka na ARV majukumu yatakua yamembana, kuna kipindi nahisi hawa ARV na Mc cane ni Flano na allypipi in disguise. Mahaba mengi mpaka kutumia akili inakua mtihani.
Juzi nilisema hapa kama United wanataka kujihakikishia Europa League basi wapate angalau point 1 kwenye mechi ya Brighton na nilijua kabisa kwa jinsi timu inavyocheza ni ngumu kupata points 3. Kwa hali ilivyo wangefanikiwa kupata point 1 matumaini yetu tungewaachia City ambao bila shaka wasingetuangusha.

Kama tungefanikiwa kupata point 1 maana yake tungesubiri tu West Ham afungwe na City na tungekuwa tumeshafuzu UEL. Sasa hali ilivyo sasa endapo tutafungwa na Palace na West Ham akamfunga Brighton ni wazi tutatolewa kwa Goal difference na kuna possibility kubwa United hataondoka na points 3 kwa Palace na kama West Ham atapata droo game ya City (which is possible) game ya mwisho pressure itakuwa juu zaidi na tumeshaona kikosi tulichonacho hakiwezi ku-handle games zenye pressure kubwa so nategemea game ngumu zaidi na Palace hawana cha kupoteza so wata-relax na watakuwa na utulivu zaidi.
 
Back
Top Bottom