Wadau mwenye group la wasp la man u naomba aniunge ni muhimu sn
Namba 0625850301
Lkn pia naomba niongelee ujio wa ten hag kidogo
Najua mashabiki wenzangu wengi wa man u tumekata tamaaa sn lakn ngoja nikwambie kitu kuhusu huyu jamaa
1.Kama ameweza fanya vizur kwa kikos cha ajax licha ya kuondokewa na wachezaji mwanzon bas ni kocha sahihi pale ot
2.akipata watu sahihi wanne watakaosaidiana na wakikos kilichopo sina shaka na uwezo wake na atafanikiwa
3.anafundisha mpira wa pressing kitu ambacho ndo mpira wa kisasa,kama akileta ule mpira wa ajax pale ot na wachezaji tulionao bas sina shaka watu watatuongelea vingine msimu unaokuja
4.bodi ya utd imuachie jamaa uhuru kama mtu hatakiwi bas aondoke lkn pia jamaa ahusishwe na mchezaji yoyote anaeingia ama kutoka pale nadhan ni moja ya mkataba wake pale ot aliongia pale lkn kama mabos watafanya kama mkataba unavosema bas sina shaka kuwa tutakuwa na msim mzur
5.jamaa ni muumin wa vijana na nadhan utd pale kuna damu changa nying zina uwezo mkubwa na kama atatutumia damu changa nying zilizopo bas jamaa atatisha na uzur kasema yupo tayar kuijenga timu kupitia vijana waliopo pale utd na kasema lazima atawafanya wawe bora za ya hapo na mm nina uwakika na hilo na sina shaka na uwezo wa ten hag
6.jamaa ni mwanafunzi mzur wa pep na yy mwenyewe anadai kajifunza menfi sn toka kwa pep hasa pale alipokuwa bayern kwenye team ya reserve lkn pia ni mtu anaemkubali sn klopp hasa baada ya kugundua mbinu fulan klopp anazozitumia anadai hio ni kwasbb ya jamaa kuamin mbinu fulan zinazotumiwa na team nyingi pale ujeruman hasa kwenye suala la physic na yy anadai amefaidika sn na kukaa pale ujeruman kwan kumemuongezea kitu kikubwa sn
Naomba kuwasilisha kwa wadau wenzangu wa man utd,tuanze kutoa jez zetu tulizozificha mana msimu ujao ni wakat wa jezi zetu kuonekana tena