Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wadau mwenye group la wasp la man u naomba aniunge ni muhimu sn

Namba 0625850301

Lkn pia naomba niongelee ujio wa ten hag kidogo

Najua mashabiki wenzangu wengi wa man u tumekata tamaaa sn lakn ngoja nikwambie kitu kuhusu huyu jamaa
1.Kama ameweza fanya vizur kwa kikos cha ajax licha ya kuondokewa na wachezaji mwanzon bas ni kocha sahihi pale ot

2.akipata watu sahihi wanne watakaosaidiana na wakikos kilichopo sina shaka na uwezo wake na atafanikiwa

3.anafundisha mpira wa pressing kitu ambacho ndo mpira wa kisasa,kama akileta ule mpira wa ajax pale ot na wachezaji tulionao bas sina shaka watu watatuongelea vingine msimu unaokuja

4.bodi ya utd imuachie jamaa uhuru kama mtu hatakiwi bas aondoke lkn pia jamaa ahusishwe na mchezaji yoyote anaeingia ama kutoka pale nadhan ni moja ya mkataba wake pale ot aliongia pale lkn kama mabos watafanya kama mkataba unavosema bas sina shaka kuwa tutakuwa na msim mzur

5.jamaa ni muumin wa vijana na nadhan utd pale kuna damu changa nying zina uwezo mkubwa na kama atatutumia damu changa nying zilizopo bas jamaa atatisha na uzur kasema yupo tayar kuijenga timu kupitia vijana waliopo pale utd na kasema lazima atawafanya wawe bora za ya hapo na mm nina uwakika na hilo na sina shaka na uwezo wa ten hag

6.jamaa ni mwanafunzi mzur wa pep na yy mwenyewe anadai kajifunza menfi sn toka kwa pep hasa pale alipokuwa bayern kwenye team ya reserve lkn pia ni mtu anaemkubali sn klopp hasa baada ya kugundua mbinu fulan klopp anazozitumia anadai hio ni kwasbb ya jamaa kuamin mbinu fulan zinazotumiwa na team nyingi pale ujeruman hasa kwenye suala la physic na yy anadai amefaidika sn na kukaa pale ujeruman kwan kumemuongezea kitu kikubwa sn

Naomba kuwasilisha kwa wadau wenzangu wa man utd,tuanze kutoa jez zetu tulizozificha mana msimu ujao ni wakat wa jezi zetu kuonekana tena
Ten hag ni top coach, elite coach, lakini swali la kumuuliza je ataweza kuhandle dressiing room ya united if things are getting worse? Mikel Arteta aliweza, kazi kwake. Ukilose dressing room kama kocha you're fired. Bahati yake ni kuwa toxic player kama Pogba wanaondoka.
 
hiyo paragraph ya mwisho futa. Ndani yake Ina dhihaka isiyo umiza. Jicho langu kwenye uchambuzi wa mifumo na mbinu za kiuchezaji ni dhaifu sana hivyo sina budi kukubaliana na hayo mawazo yenu kwa sasa. Hayo mambo ya inverted fullback siyaelewi kabisaa. Nimeona mmefanya usajili wa marquinhos, ngoja nikipata bando nikamchungulie youtube.
Youtube hakuna mchezaji mbaya.

Marquinhos ana speed ila kuna vitu vingi anatakiwa kufanyia kazi haswa finishing, ila skills na pace yuko sawa.
 
Ten hag ni top coach, elite coach, lakini swali la kumuuliza je ataweza kuhandle dressiing room ya united if things are getting worse? Mikel Arteta aliweza, kazi kwake. Ukilose dressing room kama kocha you're fired. Bahati yake ni kuwa toxic player kama Pogba wanaondoka.
Jamaaa keshaadress hilo na amegundua ndio kitu kikubwa kinachoifelisha man u,

Kujua tatizo ni hatua muhim sn katika kutatua tatizo hivo ngoja tuone itavokuwa
 
SANCHO x ANTONY

+ NÚÑEZ / NKUNKU

20220516_201443.jpg
 
Ten hag ni top coach, elite coach, lakini swali la kumuuliza je ataweza kuhandle dressiing room ya united if things are getting worse? Mikel Arteta aliweza, kazi kwake. Ukilose dressing room kama kocha you're fired. Bahati yake ni kuwa toxic player kama Pogba wanaondoka.
Katika moja ya mahojiano yake amesema dressing room ni moja ya kitu cha msingi kwa team kufanya vizuri anaonekana hilo swala analitambua na ni kocha ambaye mwenye misimamo kwa wachezaji ngoja tuone akija United
 
Wadau mwenye group la wasp la man u naomba aniunge ni muhimu sn

Namba 0625850301

Lkn pia naomba niongelee ujio wa ten hag kidogo

Najua mashabiki wenzangu wengi wa man u tumekata tamaaa sn lakn ngoja nikwambie kitu kuhusu huyu jamaa
1.Kama ameweza fanya vizur kwa kikos cha ajax licha ya kuondokewa na wachezaji mwanzon bas ni kocha sahihi pale ot

2.akipata watu sahihi wanne watakaosaidiana na wakikos kilichopo sina shaka na uwezo wake na atafanikiwa

3.anafundisha mpira wa pressing kitu ambacho ndo mpira wa kisasa,kama akileta ule mpira wa ajax pale ot na wachezaji tulionao bas sina shaka watu watatuongelea vingine msimu unaokuja

4.bodi ya utd imuachie jamaa uhuru kama mtu hatakiwi bas aondoke lkn pia jamaa ahusishwe na mchezaji yoyote anaeingia ama kutoka pale nadhan ni moja ya mkataba wake pale ot aliongia pale lkn kama mabos watafanya kama mkataba unavosema bas sina shaka kuwa tutakuwa na msim mzur

5.jamaa ni muumin wa vijana na nadhan utd pale kuna damu changa nying zina uwezo mkubwa na kama atatutumia damu changa nying zilizopo bas jamaa atatisha na uzur kasema yupo tayar kuijenga timu kupitia vijana waliopo pale utd na kasema lazima atawafanya wawe bora za ya hapo na mm nina uwakika na hilo na sina shaka na uwezo wa ten hag

6.jamaa ni mwanafunzi mzur wa pep na yy mwenyewe anadai kajifunza menfi sn toka kwa pep hasa pale alipokuwa bayern kwenye team ya reserve lkn pia ni mtu anaemkubali sn klopp hasa baada ya kugundua mbinu fulan klopp anazozitumia anadai hio ni kwasbb ya jamaa kuamin mbinu fulan zinazotumiwa na team nyingi pale ujeruman hasa kwenye suala la physic na yy anadai amefaidika sn na kukaa pale ujeruman kwan kumemuongezea kitu kikubwa sn

Naomba kuwasilisha kwa wadau wenzangu wa man utd,tuanze kutoa jez zetu tulizozificha mana msimu ujao ni wakat wa jezi zetu kuonekana tena
Mimi nasema na narudia tusinge droo na kufungwa mechi mbili tatu na timu zisizokuwa na mbele Wala nyuma tungekuwa na Afya kwenye msimamo.

Pana wachezaji walituangusha sana
 
Advantage mliyo nayo United ni kwamba mmepumzika almost wiki mbili kabla ya kukutana na Palace ambao watakua wamepumzika siku mbili kabla ya kukutana na nyinyi.
Utakuwa na unauelewa mdogo sana wa masuala ya mpira na michezo kwa ujumla. Si kwa ubaya hufahamu unachokizungumza.

Mchezo wowote ule wa ushindani kadri unavyozidi kukaa muda mrefu bila kucheza mchezo wa ushindani unakuwa ktk mazingira hatari zaidi.

Ukiwa unafanya training kila siku na wachezaji wale wale mnakuwa na maelekezo yale yale ya aina moja. Ni tofauti kabisa ukicheza na watu wenye maelekezo tofauti na wewe (timu pinzani). Kuna ssb kwa nn kila wiki unapaswa kucheza mechi na sio baada ya wiki 2.
 
Utakuwa na unauelewa mdogo sana wa masuala ya mpira na michezo kwa ujumla. Si kwa ubaya hufahamu unachokizungumza.

Mchezo wowote ule wa ushindani kadri unavyozidi kukaa muda mrefu bila kucheza mchezo wa ushindani unakuwa ktk mazingira hatari zaidi.

Ukiwa unafanya training kila siku na wachezaji wale wale mnakuwa na maelekezo yale yale ya aina moja. Ni tofauti kabisa ukicheza na watu wenye maelekezo tofauti na wewe (timu pinzani). Kuna ssb kwa nn kila wiki unapaswa kucheza mechi na sio baada ya wiki 2.
Na hii ndiyo sababu ya bench kuzoofisha kiwango cha mchezaji.
 
Daah ndo tunaenda pata furaha ya mwisho wiki hii ndo itakuwa basi mpaka msimu ujao
Usijali sana mwaka huu hatuishi kiunyonge, muda mfupi tu baada EPL kuisha unaanza mchaka mchaka wa World Cup, kama kawaida tunaendelea kuwaona kina Maguire.
Mpaka kombe la dunia linaisha ligi kuu nayo inakua imekaribia kuanza.
 
Back
Top Bottom