Mkuu arsenal tupo kwenye right track.
Elneny sio mchezaji mbaya anapewa mkataba mpya sababu atatupa depth msimu ujao.
Tielemans ni mzuri in possession (LCM). Anacheza vizuri zaidi kwenye 2nd & 3rd phases, two footed player, mzuri pia kwenye ball striking, technical ability kuifanya Arsenal kucheza zaidi kwenye half ya mpinzani, ana matatizo yake off the ball ila paka Arteta anamhitaji ni kwamba Arsenal's strucure inaexploit matatizo aliyonayo.
Saliba, ligue 1 young Player of the year, jaribu kumuangalia tena kiufundi.
Tomiyasu ni inverted fullback, anacheza zaidi kwenye half space, moja ya kitu anachozidiwa na hao wengine ni cross, sio mzuri kwa kupiga cross from the half space ila from the touchline anafanya poa, bado ana 23 so anafundishika, ana tatizo zaidi offensive wise kuliko defensive wise. Ubora wake anatumia miguu yote sawa kama Santi Carzola.
Nuno tavarez ana mental issues, anaonekana hafundishiki kwa haraka kama wengine, that's why Arsenal wamemsajili hickey kama backup ya Tierney.
Naelewa kwanini unatilia shaka maamuzi ya Arsenal kwenye usajili, Kwa shabiki wa Man united mchezaji asiye na jina(star) sio mchezaji mzuri, ila mpira umebadilika coz game imekuwa advanced zaidi tactically, that's why maana united ina mastar ila haifanyi vizuri.