Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Liva ana matumaini gani bro wakati hata akishinda anakua na points 89 huku city ana 90? Na game ya mwisho City anacheza na Villa.

Kama mkashindwa kumfunga Palace na Hammers wakashinda mechi ya mwisho lazima memes zitolewe kuonyesha city ilifanya makusudi suluhu dhidi ya Hammers ili kuhakikisha united anaenda conference league.

Advantage mliyo nayo United ni kwamba mmepumzika almost wiki mbili kabla ya kukutana na Palace ambao watakua wamepumzika siku mbili kabla ya kukutana na nyinyi.
hahahahaa huwezi jua pengine msimu huu manchester city ndio watakaogeuziwa kibao kwa kufungwa goli dakika ya 94 ndani ya etihad na mfungaji ni coutinho huku msherehekeaji ni gerrard. Hata tulipocheza na everton wao walipumzika siku 2 huku man utd wakipumzika kwa takribani wiki moja na bado everton wakawa bora ndani ya uwanja. Ni rahisi kwa brighton kumsimamisha west ham kuliko man utd hii kuambulia alama 3 dhidi ya palace.
 
hahahahaa huwezi jua pengine msimu huu manchester city ndio watakaogeuziwa kibao kwa kufungwa goli dakika ya 94 ndani ya etihad na mfungaji ni coutinho huku msherehekeaji ni gerrard. Hata tulipocheza na everton wao walipumzika siku 2 huku man utd wakipumzika kwa takribani wiki moja na bado everton wakawa bora ndani ya uwanja. Ni rahisi kwa brighton kumsimamisha west ham kuliko man utd hii kuambulia alama 3 dhidi ya palace.
Ila kiukweli natamani muende conference league
 
Liva ana matumaini gani bro wakati hata akishinda anakua na points 89 huku city ana 90? Na game ya mwisho City anacheza na Villa.

Kama mkashindwa kumfunga Palace na Hammers wakashinda mechi ya mwisho lazima memes zitolewe kuonyesha city ilifanya makusudi suluhu dhidi ya Hammers ili kuhakikisha united anaenda conference league.

Advantage mliyo nayo United ni kwamba mmepumzika almost wiki mbili kabla ya kukutana na Palace ambao watakua wamepumzika siku mbili kabla ya kukutana na nyinyi.
Na Kupumzika kote huko Utashangaa ana fungwa
 
True. Hichi kikosi siyo cha kwenda nacho CL
simfuatiliaji wa mechi zenu kama mulivyo washabiki wa hiyo timu ila kwa mechi chache nilizoziangalia nafikri mechi 5 kuna maamuzi munayotaka kuyafanya siku za mbeleni yananipa wasiwasi(sina chuki na timu yenu kwani nimewaona tokea 2001 mukiwa bora), kama nitakuwa sipo sahihi naomba unisahihishe. (a) kwa nini munataka kumpa mkataba elneny, ana kitu gani special kama mchezaji wa timu kubwa. (b) kwa nini munamtaka tielemans, je wamuonaje kiwango chake na arsenal unayoitamani wewe kwenye macho yako. (c) kwa nini mkamsajili saliba, je unadhani atakuwa na impact kwenye kikosi chenu, huyu jamaa nilimuona juzi kwa dakika 45 walipocheza dhidi ya rennes. Ni mrefu na amenivutia kimwili alishinda baadhi ya aerial duels, kwa jicho langu namuona mguuni si hodari sana mfano wa van virgil. Anafaa kucheza timu inayomiliki mpira, inayosogea mbele mfano liverpool wakati mfumo wenu nauona kama ni tofauti, kwa timu zinazocheza higher line sidhana kama mupo ndani ya top 5 kitakwimu, unadhani anaweza kumuondoa ben white. (d) unamuonaje tomiyasu kwenye sura ya modern fullback, je anafaa kuwa first eleven kwa misimu mengineyo miwili. Kuna takwimu za mabeki wa pembeni wa timu 6, kuna maeneo tomiyasu amezidiwa hata na diogo dalot kama nitakuwa sahihi. Huku cancelo, james na trent wakiwa kwenye ligi ya peke yao. (e) kama wewe ndiye arteta ungeliwalenga wachezaji gani ili kuzidisha ubora wa kikosi. (f) unamuonaje tavarez kwenye ulimwengu wa jicho na si stats and tactics, kuna mwenzako hupenda kujificha kwenye ukosefu wa uzoefu wa mchezaji ndio huzalisha presha pindi anapocheza tough match, je unakubaliana na mtazamo huo kwa kesi ya tavarez na wengineo. Unadhani ni mchezaji sahihi wa kuwa kikosi cha kwanza, tierney amekuwa na majeruhi ya mara kwa mara.
 
simfuatiliaji wa mechi zenu kama mulivyo washabiki wa hiyo timu ila kwa mechi chache nilizoziangalia nafikri mechi 5 kuna maamuzi munayotaka kuyafanya siku za mbeleni yananipa wasiwasi(sina chuki na timu yenu kwani nimewaona tokea 2001 mukiwa bora), kama nitakuwa sipo sahihi naomba unisahihishe. (a) kwa nini munataka kumpa mkataba elneny, ana kitu gani special kama mchezaji wa timu kubwa. (b) kwa nini munamtaka tielemans, je wamuonaje kiwango chake na arsenal unayoitamani wewe kwenye macho yako. (c) kwa nini mkamsajili saliba, je unadhani atakuwa na impact kwenye kikosi chenu, huyu jamaa nilimuona juzi kwa dakika 45 walipocheza dhidi ya rennes. Ni mrefu na amenivutia kimwili alishinda baadhi ya aerial duels, kwa jicho langu namuona mguuni si hodari sana mfano wa van virgil. Anafaa kucheza timu inayomiliki mpira, inayosogea mbele mfano liverpool wakati mfumo wenu nauona kama ni tofauti, kwa timu zinazocheza higher line sidhana kama mupo ndani ya top 5 kitakwimu, unadhani anaweza kumuondoa ben white. (d) unamuonaje tomiyasu kwenye sura ya modern fullback, je anafaa kuwa first eleven kwa misimu mengineyo miwili. Kuna takwimu za mabeki wa pembeni wa timu 6, kuna maeneo tomiyasu amezidiwa hata na diogo dalot kama nitakuwa sahihi. Huku cancelo, james na trent wakiwa kwenye ligi ya peke yao. (e) kama wewe ndiye arteta ungeliwalenga wachezaji gani ili kuzidisha ubora wa kikosi. (f) unamuonaje tavarez kwenye ulimwengu wa jicho na si stats and tactics, kuna mwenzako hupenda kujificha kwenye ukosefu wa uzoefu wa mchezaji ndio huzalisha presha pindi anapocheza tough match, je unakubaliana na mtazamo huo kwa kesi ya tavarez na wengineo. Unadhani ni mchezaji sahihi wa kuwa kikosi cha kwanza, tierney amekuwa na majeruhi ya mara kwa mara.
Haya ni maoni yangu. Hakuna verified hata moja.

1) Elneny anagewa mkataba kwakua tunahitaji squad depth na katika timu hua kunakua na mchezaji ambaye hua anacover likitokea tundu, huyu mchezaji anajijua kama yeye siyo starter na halalamiki. But when duty calls he answers. Liva wana Origi, Oxlade na Milner, Madrid wana Fernandes, Bayern wana Choupo Moting, PsG wana Herrera, Gueye.

2) Tielemans namna anavyocheza ni sawa na Maddison ambaye Arsenal tulimtaka msimu uliopita ila price tag ilikua 80M tukakimbia. Tielemans siyo finished article anatakiwa kustep up same na Maddison, ingekua ni uwekezaji wa hovyo kutoa 80M halafu mtu akifika aanze kufundishwa tena mpira.

3) Saliba ni destroyer. White ni ball playing defender, yaani una chansi nzuri ya kumpita White kuliko Saliba. Kwakua ni destroyer hii inamaanisha timu ambayo inataka kua compact inamfaa. Arsenal kwa sasa haina wachezaji wa kufanya gegenpress tunafanya sana conservative defending so nafikiri kwa kipindi hichi Saliba anaweza kufit.

4) Originally Tomiyasu ni CB. Hii nafasi ya full back ni ameanza kuicheza hivi karibuni nafikiri ndiyo maana ni mzuri sana kukaba kuliko kushambulia. Now am not saying he ain't making important runs, he does, but when there is him and Tierney on the pitch utaona mipira mingi inaenda kwa Tierney kuliko kwake. So jamaa ana kazi ya kupandisha kiwango kwa nguvu zote katika attacking.

5) Mimi ningechukua mid kama Renato, Bissouma, ningemchukua Lindstrom, ningechukua LB mmoja mwenye uzoefu mfano Cucurella na RB mmoja. Kisha ningechukua Jesus, Jovic kwa mkopo na ningerudi kumcheki Szoboszlai.

6) Nafikiri Tavares anakua exposed na mfumo wa timu. Ana pace ya kumtosha kupanda na kushuka ila hana akili ya kujua muda gani arudi. Pia naona anapata kigugumizi wakati gani wa kustand tackle na kuslide. Binafsi ni aina ya mchezaji ambaye naweza kubaki naye kwakua nina uhakika timu ikicheza back 3 he will do fine.
 
simfuatiliaji wa mechi zenu kama mulivyo washabiki wa hiyo timu ila kwa mechi chache nilizoziangalia nafikri mechi 5 kuna maamuzi munayotaka kuyafanya siku za mbeleni yananipa wasiwasi(sina chuki na timu yenu kwani nimewaona tokea 2001 mukiwa bora), kama nitakuwa sipo sahihi naomba unisahihishe. (a) kwa nini munataka kumpa mkataba elneny, ana kitu gani special kama mchezaji wa timu kubwa. (b) kwa nini munamtaka tielemans, je wamuonaje kiwango chake na arsenal unayoitamani wewe kwenye macho yako. (c) kwa nini mkamsajili saliba, je unadhani atakuwa na impact kwenye kikosi chenu, huyu jamaa nilimuona juzi kwa dakika 45 walipocheza dhidi ya rennes. Ni mrefu na amenivutia kimwili alishinda baadhi ya aerial duels, kwa jicho langu namuona mguuni si hodari sana mfano wa van virgil. Anafaa kucheza timu inayomiliki mpira, inayosogea mbele mfano liverpool wakati mfumo wenu nauona kama ni tofauti, kwa timu zinazocheza higher line sidhana kama mupo ndani ya top 5 kitakwimu, unadhani anaweza kumuondoa ben white. (d) unamuonaje tomiyasu kwenye sura ya modern fullback, je anafaa kuwa first eleven kwa misimu mengineyo miwili. Kuna takwimu za mabeki wa pembeni wa timu 6, kuna maeneo tomiyasu amezidiwa hata na diogo dalot kama nitakuwa sahihi. Huku cancelo, james na trent wakiwa kwenye ligi ya peke yao. (e) kama wewe ndiye arteta ungeliwalenga wachezaji gani ili kuzidisha ubora wa kikosi. (f) unamuonaje tavarez kwenye ulimwengu wa jicho na si stats and tactics, kuna mwenzako hupenda kujificha kwenye ukosefu wa uzoefu wa mchezaji ndio huzalisha presha pindi anapocheza tough match, je unakubaliana na mtazamo huo kwa kesi ya tavarez na wengineo. Unadhani ni mchezaji sahihi wa kuwa kikosi cha kwanza, tierney amekuwa na majeruhi ya mara kwa mara.
Mkuu arsenal tupo kwenye right track.

Elneny sio mchezaji mbaya anapewa mkataba mpya sababu atatupa depth msimu ujao.

Tielemans ni mzuri in possession (LCM). Anacheza vizuri zaidi kwenye 2nd & 3rd phases, two footed player, mzuri pia kwenye ball striking, technical ability kuifanya Arsenal kucheza zaidi kwenye half ya mpinzani, ana matatizo yake off the ball ila paka Arteta anamhitaji ni kwamba Arsenal's strucure inaexploit matatizo aliyonayo.

Saliba, ligue 1 young Player of the year, jaribu kumuangalia tena kiufundi.

Tomiyasu ni inverted fullback, anacheza zaidi kwenye half space, moja ya kitu anachozidiwa na hao wengine ni cross, sio mzuri kwa kupiga cross from the half space ila from the touchline anafanya poa, bado ana 23 so anafundishika, ana tatizo zaidi offensive wise kuliko defensive wise. Ubora wake anatumia miguu yote sawa kama Santi Carzola.

Nuno tavarez ana mental issues, anaonekana hafundishiki kwa haraka kama wengine, that's why Arsenal wamemsajili hickey kama backup ya Tierney.

Naelewa kwanini unatilia shaka maamuzi ya Arsenal kwenye usajili, Kwa shabiki wa Man united mchezaji asiye na jina(star) sio mchezaji mzuri, ila mpira umebadilika coz game imekuwa advanced zaidi tactically, that's why maana united ina mastar ila haifanyi vizuri.
 
Mkuu arsenal tupo kwenye right track.

Elneny sio mchezaji mbaya anapewa mkataba mpya sababu atatupa depth msimu ujao.

Tielemans ni mzuri in possession (LCM). Anacheza vizuri zaidi kwenye 2nd & 3rd phases, two footed player, mzuri pia kwenye ball striking, technical ability kuifanya Arsenal kucheza zaidi kwenye half ya mpinzani, ana matatizo yake off the ball ila paka Arteta anamhitaji ni kwamba Arsenal's strucure inaexploit matatizo aliyonayo.

Saliba, ligue 1 young Player of the year, jaribu kumuangalia tena kiufundi.

Tomiyasu ni inverted fullback, anacheza zaidi kwenye half space, moja ya kitu anachozidiwa na hao wengine ni cross, sio mzuri kwa kupiga cross from the half space ila from the touchline anafanya poa, bado ana 23 so anafundishika, ana tatizo zaidi offensive wise kuliko defensive wise. Ubora wake anatumia miguu yote sawa kama Santi Carzola.

Nuno tavarez ana mental issues, anaonekana hafundishiki kwa haraka kama wengine, that's why Arsenal wamemsajili hickey kama backup ya Tierney.

Naelewa kwanini unatilia shaka maamuzi ya Arsenal kwenye usajili, Kwa shabiki wa Man united mchezaji asiye na jina(star) sio mchezaji mzuri, ila mpira umebadilika coz game imekuwa advanced zaidi tactically, that's why maana united ina mastar ila haifanyi vizuri.
hiyo paragraph ya mwisho futa. Ndani yake Ina dhihaka isiyo umiza. Jicho langu kwenye uchambuzi wa mifumo na mbinu za kiuchezaji ni dhaifu sana hivyo sina budi kukubaliana na hayo mawazo yenu kwa sasa. Hayo mambo ya inverted fullback siyaelewi kabisaa. Nimeona mmefanya usajili wa marquinhos, ngoja nikipata bando nikamchungulie youtube.
 
IMG_20220516_181255.jpg
 
Wadau mwenye group la wasp la man u naomba aniunge ni muhimu sn

Namba 0625850301

Lkn pia naomba niongelee ujio wa ten hag kidogo

Najua mashabiki wenzangu wengi wa man u tumekata tamaaa sn lakn ngoja nikwambie kitu kuhusu huyu jamaa
1.Kama ameweza fanya vizur kwa kikos cha ajax licha ya kuondokewa na wachezaji mwanzon bas ni kocha sahihi pale ot

2.akipata watu sahihi wanne watakaosaidiana na wakikos kilichopo sina shaka na uwezo wake na atafanikiwa

3.anafundisha mpira wa pressing kitu ambacho ndo mpira wa kisasa,kama akileta ule mpira wa ajax pale ot na wachezaji tulionao bas sina shaka watu watatuongelea vingine msimu unaokuja

4.bodi ya utd imuachie jamaa uhuru kama mtu hatakiwi bas aondoke lkn pia jamaa ahusishwe na mchezaji yoyote anaeingia ama kutoka pale nadhan ni moja ya mkataba wake pale ot aliongia pale lkn kama mabos watafanya kama mkataba unavosema bas sina shaka kuwa tutakuwa na msim mzur

5.jamaa ni muumin wa vijana na nadhan utd pale kuna damu changa nying zina uwezo mkubwa na kama atatutumia damu changa nying zilizopo bas jamaa atatisha na uzur kasema yupo tayar kuijenga timu kupitia vijana waliopo pale utd na kasema lazima atawafanya wawe bora za ya hapo na mm nina uwakika na hilo na sina shaka na uwezo wa ten hag

6.jamaa ni mwanafunzi mzur wa pep na yy mwenyewe anadai kajifunza menfi sn toka kwa pep hasa pale alipokuwa bayern kwenye team ya reserve lkn pia ni mtu anaemkubali sn klopp hasa baada ya kugundua mbinu fulan klopp anazozitumia anadai hio ni kwasbb ya jamaa kuamin mbinu fulan zinazotumiwa na team nyingi pale ujeruman hasa kwenye suala la physic na yy anadai amefaidika sn na kukaa pale ujeruman kwan kumemuongezea kitu kikubwa sn

Naomba kuwasilisha kwa wadau wenzangu wa man utd,tuanze kutoa jez zetu tulizozificha mana msimu ujao ni wakat wa jezi zetu kuonekana tena
 
hiyo paragraph ya mwisho futa. Ndani yake Ina dhihaka isiyo umiza. Jicho langu kwenye uchambuzi wa mifumo na mbinu za kiuchezaji ni dhaifu sana hivyo sina budi kukubaliana na hayo mawazo yenu kwa sasa. Hayo mambo ya inverted fullback siyaelewi kabisaa. Nimeona mmefanya usajili wa marquinhos, ngoja nikipata bando nikamchungulie youtube.
Marquinhos ni future prospect, nimesikia atatolewa mkopo, bado ukimuangalia vizuri anamiss out kwenye tactical education, ila ana kipaji na physique ya kucheza EPL.
 
Back
Top Bottom