Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Braza lembua acha unafiki.

We si umesema Sarr ni sawa na Maguire mbona hapa unasema Sarr > Maguire?
 
Arsenal kashinda kaka, tena cap hahaha mpira hauendi hivi mkuu
 


Soma hapa chief, ulaya sio bongo watu washakubali hasara..

https://twitter.com/FabrizioRomano?...49186.ampproject.net/2203281422000/frame.html
Ralf Rangnick confirms plans of Man United revolution in the summer: β€œThere will be a rebuild here. Six, seven, maybe TEN new players will come”. Fabrizio Romano
 
pretty bfg I ko 4546inches 777
 
Tunahitaji wachezaji wapya wasiopungua kumi.
Tunahitaji kuondosha wachezaji wasiopungua kumi na mbili
1. Pogba
2. Rashfold
3. Jonas
4. Matic
5. Mangure
6. Dalot
7. Bisanka
8. Bailey
9. Lindgard
10. Mata
11.Cavan
12. Ronaldo
RR kashasema tutegemee usajili wa wachezaji si chini ya 10 plus kadhaa kutoka academy, kina Garnacho, Mcneill, Ennis n.k
 
huo ni mchakato si kwamba ni jambo la kukamilishwa ndani ya dirisha moja.
Hakuna mchakato, wachezaji wanasubiri kocha mpya akirudi kama anamhitaji atabaki hayupo kwenye mipango ni kuondoka.. moja kati ya mambo ambayo ETH aliomba awe na maamuzi nayo.. kwahiyo hayo mambo ya mchakato sahau tena chief
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…