kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,694
- 20,648
Kocha la makochaTrashford yuko mbele.
Tuna waingereza 5 overrated uwanjani. Ambao wanafaa kuondolewa wote.
Tuna Bailly na Telles ambao wapo vizuri kwa defending kuliko vilaza Maguire na P. Jones.
RALF NISHAMDHARAU




