Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Kila dakika 10 inakua na goli lake,Leo ndiyo tunathibitisha ubovu wetu.
Mpaka mpira unaisha dakika 90 tunakua tushagongwa goli 9.
Liverpool wanopocheza na wafiwa basi wawe japo na utu kidogo.
Yaani tupo na huzuni ya msiba halafu wanatuongezea msiba mwingine huo sio ubinaadamu kabisa.


