Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Nadhani hata board nayo i-resign yote isukwe upya.Mwanzo mzuri,tuanze upya kuijenga united kwa watu wanaojua mpira.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hata board nayo i-resign yote isukwe upya.Mwanzo mzuri,tuanze upya kuijenga united kwa watu wanaojua mpira.
huo ni mchakato si kwamba ni jambo la kukamilishwa ndani ya dirisha moja.Abakie huko huko. RR kaahidi wachezaji wapya si chini ya 10. Waende tu tuanze na damu mpya.. team imeoza hii
Moja ya mapungufu makubwa sana ilikuwa scouting department.View attachment 2194071![]()
Exclusive: Manchester United’s two leading scouts leave club
Manchester United’s two leading scouts have left the club. The club’s chief scout, Jim Lawlor, and Marcel Bout, the head of global scouting, have both departed the Premier League side, The Athletic can reveal. Lawlor joined United in 2005 and was promoted to chief scout in 2014. Bout came in...theathletic.com
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa usikute ktk final report yao walim-rank #1. Usajili wa baadhi ya wachezaji nahisi pia ulikuwa na msukumo wa rushwa na upigaji.
Hili ni tusi tuuVipi kumeshapoa au bado panawaka moto?
Watu wengi wanaangalia mambo kiurahisi rahisi sana. Kama bodi iko tayari kula hasara itatuchuka miaka miwili kusafisha timu nzima kinyume na hapo itatuchukua miaka 4.huo ni mchakato si kwamba ni jambo la kukamilishwa ndani ya dirisha moja.
Watu wengi wanaangalia mambo kiurahisi rahisi sana. Kama bodi iko tayari kula hasara itatuchuka miaka miwili kusafisha timu nzima kinyume na hapo itatuchukua miaka 4.
Wanaomaliza mkataba mwaka huu: Pogba, Lingard, Lee Grant, Cavani, Mata, Chong
Wanaomaliza mwakani, 2023: Fred, Shaw, Rashford, Dalot, Degea, Ronaldo, Jones, Heaton,Matic
Wanaomaliza, 2024: Martial, Bissaka, Lindelof, Bailly, Telles
Wanaomaliza, 2025 : Amad, Van De Beek, Maguire, Varane, McTominay, Henderson, Greenwood
Wanaomaliza, 2026: Bruno, Sancho, Elanga
Ila mkuu kwanza wahakikishe wanawao doa Pogba aende na pesa juu apewe, rashford auzwe haraka Sana, De gea asepe, angalau kama atabadilika sawa, naomba mumkumbuke Sana Moriinho. Martial asikanyage old Trafford.Ukiondoa hao wanaomaliza mwezi wa 6 mikataba yao, kama tunadhamira ya kweli kurudi angalau ndani misimu miwili au mitatu ijayo tunapaswa kupunguza wengine 6 wenye mikataba. Halafu mwakani tunamalizia msumari wa mwisho kusafisha wote.
Kuna petition inaendelea ya kumvua Maguire u captain huko jamaa achomoki round hii.View attachment 2194500
Watu wengi wanaangalia mambo kiurahisi rahisi sana. Kama bodi iko tayari kula hasara itatuchuka miaka miwili kusafisha timu nzima kinyume na hapo itatuchukua miaka 4.
Wanaomaliza mkataba mwaka huu: Pogba, Lingard, Lee Grant, Cavani, Mata, Chong
Wanaomaliza mwakani, 2023: Fred, Shaw, Rashford, Dalot, Degea, Ronaldo, Jones, Heaton,Matic
Wanaomaliza, 2024: Martial, Bissaka, Lindelof, Bailly, Telles
Wanaomaliza, 2025 : Amad, Van De Beek, Maguire, Varane, McTominay, Henderson, Greenwood
Wanaomaliza, 2026: Bruno, Sancho, Elanga
Kweli Mkuu Van Gaal Ndiye Aliyekuwa Kocha Sahihi Kwa Man United Kwa Makocha Wote Waliopita Baada Ya Fergie.Sijasema avumiliwe.
Nimesema angevumiliwa.