Make hapo kwanza nchekeNakuambia kocha mpya mikataba wameshakubaliana na masharti makali ya ten hag, lakin ten hag anataka kuisoma upya kwa mara nyingine ndio aanguke asaini, na imechukua muda sababu kuna vipengele vya kipumbavu pumbavu vilikuepo ambavyo ndivyo hivyo vimeikost sana timu juu ya maamuzi na mengineyo katika kusaini wachezaji na vitu vingine, wamepambana naye wakiwemo genge la fergie na wamiliki lakin wapi kashikilia msimamo kua mnataka niwe kocha lazima mkubaliane au tukubaliane na masharti yangu,
Sasa.akishaanguka saini hao wanaojiita captain fantastic na wale wanaobadilisha stail na rangi za nywele kila uchwao watafute timu nyingine za kufanya upuuzi huo.


Swaumu kali + hangover za PasakaTelles hafanyi vizuri mazoezi
😀😀😀70%of man u fans ni kina jafe na KUNZE





Hoja ya ukubwa wa mshahara ni ya uongo.NGOJA NIWAJUZE
usione mchezaji anazingua alafu hakai bench
why ...mshara mkubwa unamlipaje mtuu asiefanya kazi
pia mikataba yao inasemaje
pia tatizo sio kocha man u ni timu ya biashara ndo sababu inawachezaji wenye
majina makubwa duniani na wenye mishara mikubwa pia
pia kunampasuko kati ya wachezaji pamoja na bench la ufundi na managment
soon man u tutakuwa kama caddif city
Bila pesa mezani sahau kabisa Man Utd Kaka.Kocha Atakayeweza Kuifanya Man United Kuwa Miongoni Mwa Timu Bora Tena Duniani Tutamuheshimu Sana.

