buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
Sasa wewe unategemea kwa utopolo wa Kupanga Maguire kila mechi na kuendeleza upuuzi wa Trashford tutaheshimu kocha.He!
Mara hii mshaanza kumdharau mwalimu wa walimu?
Kunani pale?
Kama yeye ni kocha asingekua anapanga Maguire wakati maboko kila uchwao.
Hata akiwa Mshauri wa timu sioni cha maana ikiwa ukocha tu anashindwa kuwa mkali, si ushauri atakua yes man.
