Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,780
Mbona magoli yanaingia taaaratibu hivi
Naona Liver kiwango kimeshuka


tunawaonea hurumaMbona magoli yanaingia taaaratibu hivi
Naona Liver kiwango kimeshuka


tunawaonea hurumaAlibaki yeye na Mane alichokifanya badala amkabe mane anakaba mpira kwa macho.Kwa hiyo hilo la 6tatu ni la Magwaya??




Binafsi nimevutiwa na uchezaji wa Mwantesa, wanacheza kwa umoja na mshikamano kitu ambacho kimewafanya wafungwe goli chache sana mpaka muda huuKipigo cha aibu kwa mantesa united ndani ya mechi mbili kwenye msimu mmoja liver kashinda goli 9 tena kwa bila
Mantesa 0 vs 5 liverpool
Liverpool 4 vs 0 mantesa united
Matusi haya sasa. Nani kasema ambatanisha ushahidi.Huyu maguire sii mlisema ni mzuri kuliko coulibally wa napoli
Hii timu kama inawezekana ivunjwe yoteeee, waanze kusajili upya na management mpya na kocha mpya.Tunahitaji wachezaji wapya wasiopungua kumi.
Tunahitaji kuondosha wachezaji wasiopungua kumi na mbili
1. Pogba
2. Rashfold
3. Jonas
4. Matic
5. Mangure
6. Dalot
7. Bisanka
8. Bailey
9. Lindgard
10. Mata
11.Cavan
12. Ronaldo
Mwalimu wa Pressing amekutwa na nini?mwalimu wa Klopp na Tuchel kaishiwa mbinu?let me nitafute nyuzi za nyuma Kuhusiana na Ragnick sifa alizopewa humu Jukwaani![]()





