Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hata jamaa aje sijui kwanini sina tena imani na hii timu sina furaha nayo kabisa sasa hivi tushabadilisha makocha sana mambo yale yale dah Manchester nyie.
 
simon stone ameripoti taarifa za ten hag kutua klabuni, nimeona subreddit ya reddevils pia wametengeneza special thread ya ten hag.
Naona hata skysport wakeriport muda si mrefu.
Nahisi hizo habari ni zaidi ya 90% true.
Screenshot_20220406-234127_Twitter.jpg
 
Rene meulensteen, steven mcclaren, jaap stam na robin van persie wote waliwahi kufanya kazi ndani ya manchester united. Wawili walikuwa ni makocha na wawili walikuwa ni wachezaji. Ikiwa ten hag atasajiliwa manchester united atahitaji mmoja kati ya hao awe assistant.
 
Moja ya mchezaji mwenye team spirit akicheza unamuona ni DV Beek. Na nakumbuka dhambi aliyopata Ole gunner solsicher ni kumuachia yule kiungo aliyetimtia PSG(Ander Herrera
Kabisa Mkuu DVB Ni Mchezaji Mwenye Team Spirit Haswa Ni Kama Ilivyokuwa Kwa Kiungo Fundi Anayetamani Awepo Kwenye Kila Eneo La Uwanja Ambapo Mpira Utadunda Maestro Ander Herrera Na Si Huyo Tu Kuna Yule Beki Kitasa Wa Kiargentina Aliyekuwa Akitengeneza Partnership Kali Akicheza Na Eric Bailly Alikuwa Na Uwezo Wa Kucheza Namba 3 Na 4 Mtaalam Marcos Rojo... Ole Alituongopea Kutaka Kutuaminisha Scott Ni Bora Kumzidi Herrera Na Kwamba Maguire Na Lindelof Ndio Partnership Bora Kuzidi Ya Eric Na Marcos.
 
Rene meulensteen, steven mcclaren, jaap stam na robin van persie wote waliwahi kufanya kazi ndani ya manchester united. Wawili walikuwa ni makocha na wawili walikuwa ni wachezaji. Ikiwa ten hag atasajiliwa manchester united atahitaji mmoja kati ya hao awe assistant.
Rene Meulensteen would be a good pick, Juan Mata would be a good choice too.
 
Kabisa Mkuu DVB Ni Mchezaji Mwenye Team Spirit Haswa Ni Kama Ilivyokuwa Kwa Kiungo Fundi Anayetamani Awepo Kwenye Kila Eneo La Uwanja Ambapo Mpira Utadunda Maestro Ander Herrera Na Si Huyo Tu Kuna Yule Beki Kitasa Wa Kiargentina Aliyekuwa Akitengeneza Partnership Kali Akicheza Na Eric Bailly Alikuwa Na Uwezo Wa Kucheza Namba 3 Na 4 Mtaalam Marcos Rojo... Ole Alituongopea Kutaka Kutuaminisha Scott Ni Bora Kumzidi Herrera Na Kwamba Maguire Na Lindelof Ndio Partnership Bora Kuzidi Ya Eric Na Marcos.
Mkuu ulikuwa hufuatilii mpira ?

Marco's Rojo na Eric Bailly hawakuwahi kucheza mechi mbili mfululizo bila kupata injury.

Unapokuwa na wachezaji tegemeo kikosini kwako wenye rekodi hiyo unategemea kuwa na kikosi shindani ?

Ole alifanya kosa kutomuuza Bailly na kutafuta beki mwingine mzuri pengine angekuja kuziba pengo la Maguire hata kumsajili Varane it was a mistake.

Manchester msimu wetu wa 2021/2021 tumeua kwa mikono yetu wenyewe kwa kufanya usajili ambao haukuwa na tija yoyote uwanjani.
 
Mkuu ulikuwa hufuatilii mpira ?

Marco's Rojo na Eric Bailly hawakuwahi kucheza mechi mbili mfululizo bila kupata injury.

Unapokuwa na wachezaji tegemeo kikosini kwako wenye rekodi hiyo unategemea kuwa na kikosi shindani ?

Ole alifanya kosa kutomuuza Bailly na kutafuta beki mwingine mzuri pengine angekuja kuziba pengo la Maguire hata kumsajili Varane it was a mistake.

Manchester msimu wetu wa 2021/2021 tumeua kwa mikono yetu wenyewe kwa kufanya usajili ambao haukuwa na tija yoyote uwanjani.
Aaah! Mkuu Iyo Kusema Mechi Mbili Tu Tayari Mmoja Anaumia Ni Uongo Kabisa Iyo Partnership Mimi Nimeishuhudia Zaidi Ya Mechi Tisa Wakicheza Mfululizo Na Timu Iliruhusu Magoli Matatu Tu Ya Kufungwa...Labda Kama Wewe Ndo Ulikuwa Hufuatilii.
 
Aaah! Mkuu Iyo Kusema Mechi Mbili Tu Tayari Mmoja Anaumia Ni Uongo Kabisa Iyo Partnership Mimi Nimeishuhudia Zaidi Ya Mechi Tisa Wakicheza Mfululizo Na Timu Iliruhusu Magoli Matatu Tu Ya Kufungwa...Labda Kama Wewe Ndo Ulikuwa Hufuatilii.
Taja msimu ambao hao wachezaji wamewahi kucheza mfululizo hata mechi mbili tu na mimi niangalie.
 
Aaah! Mkuu Iyo Kusema Mechi Mbili Tu Tayari Mmoja Anaumia Ni Uongo Kabisa Iyo Partnership Mimi Nimeishuhudia Zaidi Ya Mechi Tisa Wakicheza Mfululizo Na Timu Iliruhusu Magoli Matatu Tu Ya Kufungwa...Labda Kama Wewe Ndo Ulikuwa Hufuatilii.
Kipimo cha mechi tisa tu kinatosha kusema hii ni best partnership mkuu?
 
Back
Top Bottom