
Discussions are progressing now about the project, long-term plans, new signings, summer budget and club structure. Ten Hag wants full clarity on Man United plans.
Nimependa hii sentesi. Kocha mpya atarajiwae anataka mipango kama yote ya miaka inayokuja, board wamuekee na yeye aridhie mipango hio na aweke mahitaji yake kwenye mkataba
Nmependa sababu hapa itazuia wajinga wajinga akina ferguson na wenzake na DNA zao za kipuuzi, kuingilia ovyo au kua na say kwenye umanager wake na ufundishaji wake na kutaka kwake wachezaji wapya, hata kama mchezaji anapendwa vipi kama ni mzembe hana faida kwenye timu aondolewe , waje wengine watakaoipambania timu.
Labda hapa tunaweza kuanza kupambania nafasi ya nne au hata ya tatu misimu ijayo, lakin si kuchukua kombe lolote..wamiliki wale wapuuzi watakapoondoka na kuja wengine haswa waarabu wenye pesa zao na wenye uchungu na walichokipenda na kukinunua, basi labda man utd ndio tunaweza kubeba hata kombe moja la ligi kuu au FA ..ndio yatafuata uefa na mengineyo..