Scholes aache uquma, Vinginevyo tutamchukia, kajijengea heshima anaanza kuibomoa.
Kasema ukweliii....Scholes aache uquma, Vinginevyo tutamchukia, kajijengea heshima anaanza kuibomoa.
Hao hamna kitu, mbona kwa Ole walikua silent?Kasema ukweliii....
Sio ole tu,hata Moyes,Van gaal,morinhoHao hamna kitu, mbona kwa Ole walikua silent?
zNi kweli mkuu,fikiria siku hizi Varane anasubir benchi huku maguire akiendelea kutoa boko daily.
Utakua hukua unafatilia hao malegend kipindi cha Ole na tushaongelea humu.Sio ole tu,hata Moyes,Van gaal,morinho
Nimesema Sio ole tu hata hao nilio wataja.Utakua hukua unafatilia hao malegend kipindi cha Ole na tushaongelea humu.
#MUFCJuve walimnunua kwa mbwembwe Ronaldo ili awawezeshe kushinda UEFA. Wakaishia kuaibishwa na vitimu vidogo kama Ajax na PortoPaul Pogba tells Téléfoot on his future: “I want to win titles, to play for something and this year and the last few years we haven't won a title. It's sad”.#MUFC
“The season is not over yet, but almost because we don't have any more titles to play for”. https://t.co/Ws4R5DEtMZ
Pogba mnyamwezi sana, huwa anachana live
Mkuu Daemushin kuna kipindi tuliwahi kuulizana swali lenye uelekeo huu kama united hufanya sajili zake kwa misingi na vipaumbele vya kibiashara zaidi au la. Nadhani LvG ametupatia jibu walau kwa asilimia 70 kwamba ni NDIO.Akiongea Pogba anatukanwa, hili li timu linatupotezea sana muda mashabiki na kuna habari kuwa wanataka kuwaongezea mikataba Rashford na Shaw.
Msimu huu ukiisha tutajua muelekeo wa hii timu.View attachment 2167056
Tulishindwa kuimarisha kikosi kwenye eneo la kiungo dirisha dogo kwa sababu walitaka mwalimu ajaye ndiye aseme nani aje na nani aondoke. Lakini leo Rashford na Shaw (waingereza wasio na form misimu 2 mfululizo) wanapewa kandarasi mpya kabla hata huyo mwalimu hajafika.Akiongea Pogba anatukanwa, hili li timu linatupotezea sana muda mashabiki na kuna habari kuwa wanataka kuwaongezea mikataba Rashford na Shaw.