Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

laurie whitewill ameandika(huyu ni tier 1 kwa taarifa za man utd): klabu imepanga kusajili wachezaji wanne kupitia maeneo tofauti. (1) viungo wawili, mmoja ni eneo la ulinzi na mwengine ushambuliaji (2) winga wa kulia, teh teh teh (3) mshambuliaji na kipaombele kikuu ni harry kane bila ya kujali kocha ajaye, mazungumzo ya usajili wake yalifanywa kati ya ed woodward na daniel levy msimu uliopita. gharama za usajili wake itakuwa ni paundi million 100 au zaidi. kama dili litashindikana ndipo wataangalia mshambuliaji mwengine kama vile nunez wa benfica anayegombaniwa zaidi na arsenal.(4) jorge mendez yupo kwenye mchakato wa kutafuta mshambuliaji mbadala wa harry kane kwa timu ya ..... (5) usajili wa kane pia utategemea na mipango ya man city wanaomgombania haaland au kane. fuentte hiyo namba tatu umeisoma vizuri?
 
Mkuu Daemushin kuna kipindi tuliwahi kuulizana swali lenye uelekeo huu kama united hufanya sajili zake kwa misingi na vipaumbele vya kibiashara zaidi au la. Nadhani LvG ametupatia jibu walau kwa asilimia 70 kwamba ni NDIO.
Yaan kwa kuingiza pesa pale England United bado ni #1 na itaendelea kuwa hivyo kwa muda mrefu ujao.
Na shida ni kwamba board ya United inaongozwa na businessmen ambao kimsingi wanaangalia profit kama priority kwao, na matokeo ya uwanjani ni ziada sana.

Ndo maana niliwahi kuongelea kwenye comments za huko juu kwamba ukiangalia usajili wa United siku hizi uko kibiashara zaidi kuliko uwezo. Kuna watu wananunuliwa, yes wako vizuri kiuwezo ila sio hitaji katika timu kwa wakati huo. Mfano ulio hai, Cr7 ukiachana na mihemko, team ambayo ipo under construction kama United haiwezi kumaccomodate jamaa maana ni luxurious player, ila angeenda City sahivi angekua kwenye top charts za scorers huko.

So biashara ndo kinachoiponza hii timu kwa asilimia kubwa perhaps hata 50% ya changamoto za uwanjani zinatokana na kutopewa kipaumbele (ukiachana na sababu nyingne mbalimbali)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulishindwa kuimarisha kikosi kwenye eneo la kiungo dirisha dogo kwa sababu walitaka mwalimu ajaye ndiye aseme nani aje na nani aondoke. Lakini leo Rashford na Shaw (waingereza wasio na form misimu 2 mfululizo) wanapewa kandarasi mpya kabla hata huyo mwalimu hajafika.
Mbaya zaidi wamepoteza namba kwenye kikosi cha kwanza!
Inafikirisha sana, inakua team inapiga hatua moja mbele then tatu nyuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
laurie whitewill ameandika(huyu ni tier 1 kwa taarifa za man utd): klabu imepanga kusajili wachezaji wanne kupitia maeneo tofauti. (1) viungo wawili, mmoja ni eneo la ulinzi na mwengine ushambuliaji (2) winga wa kulia, teh teh teh (3) mshambuliaji na kipaombele kikuu ni harry kane bila ya kujali kocha ajaye, mazungumzo ya usajili wake yalifanywa kati ya ed woodward na daniel levy msimu uliopita. gharama za usajili wake itakuwa ni paundi million 100 au zaidi. kama dili litashindikana ndipo wataangalia mshambuliaji mwengine kama vile nunez wa benfica anayegombaniwa zaidi na arsenal.(4) jorge mendez yupo kwenye mchakato wa kutafuta mshambuliaji mbadala wa harry kane kwa timu ya ..... (5) usajili wa kane pia utategemea na mipango ya man city wanaomgombania haaland au kane. fuentte hiyo namba tatu umeisoma vizuri?
U-British umetawala sana United, wakiuacha huo haichukui zaidi ya misimu mitatu kubeba PL tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtizamo wangu mimi Ole alikuwa ni kilaza tu mbali na kupata nafasi hizo ndani ya misimu 2
Kwanza hata Mourinho aliwahi kushika nafasi ya 2 na kikosi cha magumashi halafu pia akabeba vikombe kabisa
Van Gaal amewahi kubeba kikombe cha FA na kikosi kibovu na kichanga zaidi akiwa pale United.

Kama sikosei Ole ndio kocha aliyetumikia united kwa kipindi kirefu zaidi ya wenzake.
Pamoja na kumaliza msimu nafasi ya 2 na ya 3 msimu huu hadi anafukuzwa alikuwa nafasi ya 7 huko hivyo kwa kutokuwa na consistency inaonyesha alikuwa anapaa kwa kutegemea misimu mibovu kwa wapinzani wetu.
Unajua hata kwenye darasa la vilaza huwa kuna #1 .... No offense kwa Ole, ila kumaliza zile nafasi za juu ni kwa sababu rivals wetu walikua wanazingua zaidi na sio kwamba United tulikua vizuri.
Good example ni msimu huu, kusua sua kwa Westham, Wolves na Leicester ndo ticket pekee ya United kuwa top 6. Ila kwa form tuliyonayo hata final table tukiwa nje ya top 6 won't be a surprise kwangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,point yangu haihusiani na Barca kumaliza top 4,point ni kuwa wamegundua matatizo yao na wameanza kuyatatua ndani ya muda mfupi progress inaonekana wana bright future tofauti na sisi ambao tuna zaidi ya miaka 10 hatujui tunafanya nini,na pia hapa kwenye ushindani mkubwa nimekupa mfano Spurs,Arsenal kuna progress kubwa imeonekana

1.Wamefanikiwa kumpata kocha ambaye anafit kwenye culture yao na wamem-support so far ameanza ku-impliment jinsi wanavyocheza tayari wamerudi kwenye identity yao hii ndio point ya msingi

2.Walikuwa wana matatizo ya kifedha tayari wamefanikiwa kuanza kuyapunguza(Kuwaondoa Griezmann na Coutinho ambaye watamuuza end of season na wamepata deal na Spotify

3.Tayari wana foundation ya young talent Pedri,Gavi,Ferran Torres,Araujo,Dembele,Eric Garcia,Fati,De Jong so walikuwa wanahitaji kocha wa kuweza kuwa-develop.Wachezaji kama De Jong,Dembele walikuwa wameshapoteza confidence lakini within short time perfomance zao zimerudi ndani ya muda mfupi hata.

Back to OGS tayari alishafika mwisho licha ya Woodward kumvumilia naye akashindwa kuendelea nae,you cant compete na Pep & Klopp wewe una OGS.Ilikuwa ngumu kuendelea na kocha aliyefungwa na Watford 4-1 then Liverpool 5-0 tena Old Trafford
Kuweza kufanikiwa (kubeba trophies) kwenye team kubwa kocha anatakiwa kuwa either ruthless/strong character au awe very technical. Japo akiwa nazo zote inakua perfect zaidi...
Kuna muda huwa nina imani, kuwa na kocha kama Mourinho hivi una chance sana when comes to knockout competitions... Yule jamaa akiingia robo final yeyote, ujue una 75% chance ya kubeba trophies.... Sababu ya character yake. Story ilikua tofauti kwa Ole, sababu ameipeleka team nusu fainal za kutosha & final kwenye UEL last season, ila anakwama, so it was a matter of time tu jamaa kuachishwa kibarua chake...

ETH technically ni kocha mzuri, nina imani anaweza kufanikiwa japo sijui kama kwa criticism za wale the so called "Legends" wa United watamuacha salama aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hauja Anza Leo. Wala usiusingizie
Sijasema umeanza leo. Ila kwa falsafa ya modern football hautaleta matunda....
Angalia vilabu vilivyofanikiwa zaidi kwa miaka 10 ilopita pale England, angalia falsafa zao kwenye recruitment, angalia squad zao, angalia miongozo & maamuzi ya viongozi wa uwanjani & locker room....
Compare na United, I hope you see the difference. Hiyo ndo point yangu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtizamo wangu mimi Ole alikuwa ni kilaza tu mbali na kupata nafasi hizo ndani ya misimu 2
Kwanza hata Mourinho aliwahi kushika nafasi ya 2 na kikosi cha magumashi halafu pia akabeba vikombe kabisa
Van Gaal amewahi kubeba kikombe cha FA na kikosi kibovu na kichanga zaidi akiwa pale United.

Kama sikosei Ole ndio kocha aliyetumikia united kwa kipindi kirefu zaidi ya wenzake.
Pamoja na kumaliza msimu nafasi ya 2 na ya 3 msimu huu hadi anafukuzwa alikuwa nafasi ya 7 huko hivyo kwa kutokuwa na consistency inaonyesha alikuwa anapaa kwa kutegemea misimu mibovu kwa wapinzani wetu.
Hauwezi kupaaa kama wapinzani wako ni Strong!

Man city angekuwa alisha tangaza kuwa ni bingwa laiti kama wapinzani wake wengekuwa weak.
 
Hayo ya 4-1 na 5-0 yametokea juzi, hujamponda OGS sababu hio, ulikuwa unamponda toka tunamaliza nafasi ya 3 na 2.

Na yote unayosema Barca wamefanya Ole ameyafanya.

Aliondoa wenye mishahara mikubwa kina lukaku na Sanchez, akaondoa Wachezaji wa kawaida kina smalling na kusajili wachezaji wengi watoto na kupandisha watoto, kulikuwa na wakati kwenye Club yetu Tuna Martial, Rashford na Greenwood kama Front 3 yetu wote walikuwa under u23, Midfield tuna Mc tominay, Beki ya Shaw, Bissaka nao walikuwa bado wadogo, sina uhakika lindelof ila nae alikuwa yank, na henderson.

Na record ya Xavi sasa hivi haifikii hata Chembe record ya Ole kama Interim.

Arsenal wana Run nzuri ila its no where near ya kwetu tuliofanya 2 season Ago na pia msimu huu Bado, na hao spurs wamefanya nini? Mwezi uliopita tu wamefungwa mechi 3 out of 4, sisi wabovu ila wametupita point 1 tu, na ilikuwa wakishinda viporo watuache point nyingi.
Mkuu hauja muelewa.

Kazungumzia form ya timu baada ya Ole kuondoka. Ndo maana ka relatisha na barca ambayo Koeman aliondoka hivi karibuni ndo akiingia Xavi.

Kumbuka ole na Koeman walifukuzwa kwenye kipindi kimoja.
 
Bila ya kusahau, walisema Rangnick ni Bonge la Kocha. Amewafundisha Klop na Tuchel ukocha.

Leo hii mwalimu wa walimu hana tena uwezo wa kufundisha Man u?
Wamesha sahau. Mpaka wakampachika cheo kuwa ni professor . Mzee wa Gengen pressing
 
Hawa nyumbu wanajisahau fasta utashangaa siku ya mechi wataanza kusema wao ni timu kubwa sana.
. Kabla ya hat trick ya Ronaldo,Ronaldo alipigwa vijembe kwamba aondoke.Amepiga hat trick,Wajuba wakaomba aongezewe mkataba.
 
Kwa suala la LvG naweza kusema ni uingizaji wa falsafa zake ndani ya timu ndio ilikuwa shida na hii ilihitaji muda zaidi pamoja na machaguo yake namba moja kama ulivyosema hapo.

Kwa mou nadhani aliangushwa na wale watu wa UNITED DNA and THE FERGIE WAY ingawa pia huwezi kuacha ukweli kwamba klabu ilianza kujiendesha kibiashara zaidi kwa kuwategemea wachezaji wenye mvuto kibiashara,hivyo locker room ikawa ngumu kwake.

Kati ya wote waliopita,nadhani mtu sahihi zaidi alikuwa LvG kama angepewa muda na vitendea kazi sahihi.
LVG wachezaji walikuwa Wana lalamika kuwa ana wapa maoezi magumu na timu ilikuwa Ina miliki Sana bila malengo ya kupata ushindi.
 
Bila kusahau alikuwa anakuja mbele ya media anasema ameridhika na kikosi chake wakati magepu ya kiungo wa kukaba yako wazi kabisa.
Huyo ni RR au Sosha?

Maana RR hata kabla haja kabidhiwa timu alikuwa anajinadi Sana kuwa timu Ina vipaji.Badae akaanza kulalamika wachezaji hawafati maelekezooo.Inafurahisha Sana.
 
Watu hawajiulizi ni kwanini wachezaji wamekuwa flop karibia timu nzima wakati wa RR?

Labile mpaka Sosha anaondoka ndiye aliye kuwa ana assist nyingi epl nzima,lakini Sasa hivi watu wanaona Bora aondoke.

Greenwood alikuwa akiimbwa midomoni mwa watu lakini kipindi hiki kabla ya kesi yake ni mbinafsi.

Magwaya makosa yameanza kuonekana kipindi Cha RR,Watu walisha sahau kuwa mechi karibia zooote kipindi Cha Sosha magwaya ameshiriki lakini Kelele hazikuwa kama kipindi hiki

Inafurahisha Sana
 
Chief huwa nakushangaa sana,why kwenye kuwaondoa wenye mishahara mikubwa (umetaja Lukaku,Sanchez) huwa unampa sana credit OGS but kwenye kuwapa mishahara mikubwa kina Martial,Shaw,Jones,Mata unamlaumu Matt Judge.OGS hakuwataka Lukaku,Herrera,Sanchez ndio maaana waliondoka hao kina Martial yeye ndio alitaka waongezewe mikataba wakapewa.
Kwa mpira wa sasa Bissaka ni liability hana impact yeyote timu inavyoshambulia na kibaya zaidi tulimnunua 50m paundi ingekuwa 30-35 sawa na how one of the best fullback hata timu ya taifa hawamuiti? ,kumsajili Maguire kwa 80m ni kosa la kwanza na kosa la pili ni kuja kumpa U-Captain.Serious unazungumzia second assist ? I thought ungezungumzia they way anavyofanya makosa mengi kwenye defence
Kipindi kile hao ulio wataja sijui kina Martial,Shaw walikuwa kwenye form nzuri kulinganisha na Sasa. Mbona Kelele kipindi Cha Sosha zilikuwa haziko Kwa wachezaji Bali zilikuwa Kwa kocha tofauti na Sasa????

Halafu kingine kutoitwa timu ya taifa siyo kwamba haujui. Kocha ndiye anae angalia mchezaji anae endana na formation yake pamoja na falsafa yake. Mara ngapi Marcos Alonso alikuwa haitwi Ingali Chelsea alikuwa anakichafua.
 
Martial ndio ole Amemtaka ila logic yangu si kwamba ole ndo ameagiza alipwe 200k kwa wiki hio si kazi yake.

Kama umewahi kufanya kazi hata ofisi ndogo utalewa Ninachoongea, supervisor wako ama mkuu wa kitengo anaweza kutoa report ukaachishwa kazi ama ukaongezewa mshahara ila hapangi yeye ni kiasi gani, Mabosi juu hio ni kazi yao, na kwa Man U ni Matt judge chini Ya Woodward.

Mkuu AWB ni Quality RB on its way, tatizo lenu nyie munapenda kuiga sababu kuna Mchezaji x mahala Fulani basi mnataka Awb awe kama Huyo X bila kuangalia Anacho add kwenye timu. Tunaweza kuwa na Attacking oriented RB na tukawa na AWB same squad. Nimeangalia Man U miaka mingi sana Nimemuangalia Mou miaka kibao na timu nyingi,

Nimemuona Fergie Akimpanga Fletcher, Owen Hargreaves, Smalling na Jones kama Beki wa Kulia na kumuweka Bench Rafaeli ama Neville, sababu ya Tactic ya mechi Kumkaba mtu fulani. Kutegemea na position Jones alipangwa hadi no 6 anatembea na Fellaini tu ama Park na Pirlo, Hargreaves na Messi etc wote hawa walifanya kazi yao kwa ufanisi mkubwa sana na hizo mechi zilikuwa muhimu (Tulibeba hadi UCL kwa hii strategy)

Nimeshamuona Mou madrid Pale anampanga Essien kama namba mbili, tena UCL arbeloa anasugua Benchi,

Kuna mechi ili kunulify mtu fulani Ama Threat fulani you need someone like AWB. Pale Paris alichomfanya Mbape chenyewe kina Worth 10M


Si jambo la Ajabu toka AWB arudi kwenye Kikosi tumeanza kupata Ushindi mzuri, angalia goli 4 vs Leeds angalia Lindelof Alivyokuwa anapanda angalia AWB alivyokuwa ana cover nafasi yake. Kuona vizuri Tactic anayoweza kuleta AWB angalia highlight goli la 2 vs leeds.

Na Maguire was Class, sababu Msimu huu ana Hit and miss doesnt mean ni mchezaji mbaya, subiria Kocha anaekuja ataamua mwenyewe.
Kweli kabisa.

Mimi NAJIULIZA,ni kwanini Hawa wachezaji wanaonekana flop kipindi hiki Ingali msimu ulio pita au msimu wa mwanzoni walikuwa vizuriiiii.???
 
Back
Top Bottom