Huu mpira wa cku hizi kwakweli umeshuka sn, eti Rashford, Maguire, Wan Bissaka, wanacheza utd, Elanga anaanza kikosi cha utd tena big matches, eti Pochetino anatakiwa awe kocha utd, huu mpira wa ss pesa nyingi viwango hamna, hamna smart players wa kuuadabisha mpira, yn imekuwa tafrani kabisa.Wameshinda big match Leo kwa comeback Ajax 3 fayernood 2.....
Poch alizidiwa Sana game na Madrid, pia tactically 4-4-2 low block aliyotumia game ya leo na game kadhaa nyuma inaonesha ni defensive coach....
Pia tetesi sijui Senior players wanamtaka Poch, na Fergie nae aliishaweka wazi anamuadmire Poch
Iwe sababu ya kuachana na Poch maana hao wachezaji wenyewe hawana cha kuonekana walichofanya Kwa mwaka wa 5 huu licha ya mishahara yao alafu Leo nakocha wajichagulie pia Fergie tulimsikuliza Kwa Moyes na probably Ole, ona kilichotukuta.
Nitaenda na Ten hag, licha ya kuwa Poch sio mbaya kama inavyoonekana
Hawana hata habari wamejificha migombani hawawezi kuiona hii bado wamelala.Ila ni Fursa Hii Air Tanzania hawawezi kujitolea?
Barcelona ni wachezaji ni walewale alio waacha Koeman,Aliongeza wachezaji wachache tu anao wahitaji.Lakini Sasa anapata matokeo tofauti na aliyo kuwa akipata Koeman.Huu mpira wa cku hizi kwakweli umeshuka sn, eti Rashford, Maguire, Wan Bissaka, wanacheza utd, Elanga anaanza kikosi cha utd tena big matches, eti Pochetino anatakiwa awe kocha utd, huu mpira wa ss pesa nyingi viwango hamna, hamna smart players wa kuuadabisha mpira, yn imekuwa tafrani kabisa.
Mara cjui gengen pressing, mara cjui diamond yn uongo umekuwa mwingi, kila mtu kocha lkn kiukweli mpira umeshuka kwa ss, hakuna ladha kabisa ya soka tunaangalia kwa mazoea tu tufanyeje but science zimekuwa nyingi mpk vipaji vinapotea.
Matatizo ya Barca yalisababishwa na Raisi aliyepita Pep Batromeu kufanya usajili mbovu (Coutinho,Dembele,Griezmann) ,kusajili makocha wasiofit kwenye utamaduni wao na kuharibu wage structure ,solution ya kwanza ilikuwa ni kuondoka kwa Batromeu na kuja kwa Juan Laporta ambaye huko nyuma alikuwa Raisi na kumpa timu Guardiola na kuleta mafanikio makubwaBarcelona ni wachezaji ni walewale alio waacha Koeman,Aliongeza wachezaji wachache tu anao wahitaji.Lakini Sasa anapata matokeo tofauti na aliyo kuwa akipata Koeman.
Shida ilikuwa ni wachezaji au shida ilikuwa ni Koeman au shida ilikuwa ni management au shida ilikuwa board au shida ilikuwa ni Nini???
Vipi Kwa manchester UTD shida ni nini?? Wachezaji walewale Kocha akadai wanamtosha Hana haja ya kuongeza MTU LAKINI anae taka kuondoka mlango uko wazi,Je.Kwenye kupata matokeo shida ni nini??
United standards zimeshuka sana.Huu mpira wa cku hizi kwakweli umeshuka sn, eti Rashford, Maguire, Wan Bissaka, wanacheza utd, Elanga anaanza kikosi cha utd tena big matches, eti Pochetino anatakiwa awe kocha utd, huu mpira wa ss pesa nyingi viwango hamna, hamna smart players wa kuuadabisha mpira, yn imekuwa tafrani kabisa.
Mara cjui gengen pressing, mara cjui diamond yn uongo umekuwa mwingi, kila mtu kocha lkn kiukweli mpira umeshuka kwa ss, hakuna ladha kabisa ya soka tunaangalia kwa mazoea tu tufanyeje but science zimekuwa nyingi mpk vipaji vinapotea.
Barcelona wanajua wanataka nini na siyo timu inayoendeshwa kwa mihemko. Tayari wana mifumo yao ambayo ni muongozo kwa kila kocha anayeenda pale.In October, Man United & Barcelona were in turmoil. Barca appointed first choice coach, signed the 4 players he demanded & are transformed. Utd appointed a sporting director as interim, signed nobody & have a squad of players wanting to leave. A lesson in leadership there
wale wakina paul scholes ndio wanaoyumbisha timu kwa taarabu zao huyu hamtak konte yule anamtaka mara uwanja ujengwe timu zingine hawanaga midomo kocha anafanya kazi yakeBarcelona wanajua wanataka nini na siyo timu inayoendeshwa kwa mihemko. Tayari wana mifumo yao ambayo ni muongozo kwa kila kocha anayeenda pale.
Manchester United ni timu ambayo tangu Fergie kaondoka hawana identity wanacheza soka la aina gani. Barcelona wanajulikana ni timu ya aina gani hata wakitafuta kocha hawawezi kumchukua Mourinho maana ha-fit kwenye style yao ya uchezaji. United pamejaa wachezaji wa kila kocha na mfumo wake hakuna timu inaweza kutengenezwa pale.
Endeleeni kujitekenya na kujichekesha.hivi yule jamaa wa chelsea jeuri anayotuletea humu anaitoaga wapi View attachment 2158414
hio sio kweli aliandika io ni mtu shabiki wa mani city after droo ya uefa juzi ndo akapost io habari so sometimes i think kuna soirce za kufuatilia za uhakikaHawana hata habari wamejificha migombani hawawezi kuiona hii bado wamelala.
Barcelona wanajua wanataka nini na siyo timu inayoendeshwa kwa mihemko. Tayari wana mifumo yao ambayo ni muongozo kwa kila kocha anayeenda pale.
Manchester United ni timu ambayo tangu Fergie kaondoka hawana identity wanacheza soka la aina gani. Barcelona wanajulikana ni timu ya aina gani hata wakitafuta kocha hawawezi kumchukua Mourinho maana ha-fit kwenye style yao ya uchezaji. United pamejaa wachezaji wa kila kocha na mfumo wake hakuna timu inaweza kutengenezwa pale.
Chengine mnachokisahau Ligi ya spain haina Ushindani hasa mwaka huu, ku recover kule ni rahisi kuliko ku recover Epl.In October, Man United & Barcelona were in turmoil. Barca appointed first choice coach, signed the 4 players he demanded & are transformed. Utd appointed a sporting director as interim, signed nobody & have a squad of players wanting to leave. A lesson in leadership there
Hata ukisema ligi ina ushindani lakn ss hatuna mipango angalia wachezaji waliopo bench tu hakuna hata mmoja wa kubadiki matokeo yaan lingard, mata, Phil Jones, matic na wengine ni wachezaji ambao hawatumiki zaid ya kujaza squad tafaut na timu zingine zenye mafanikio....angalia ss msimu uliopita tulikuwa tunajua tatizo letu ni kiungo uwanjan pamoja na beki ya kulia lakin tumeishia kusajili beki ya kati foadi na winga zenye majina ki financial ni sawa lakn kimatokeo uwanjani n hola hadi sasa tunajuone utopoloChengine mnachokisahau Ligi ya spain haina Ushindani hasa mwaka huu, ku recover kule ni rahisi kuliko ku recover Epl.
Matic? Hapana aisee, hatuna midfielder kama Matic man U, the reason Spurs Kafa 3 ni sababu ya Matic, kaangalie replay Vizuri.Hata ukisema ligi ina ushindani lakn ss hatuna mipango angalia wachezaji waliopo bench tu hakuna hata mmoja wa kubadiki matokeo yaan lingard, mata, Phil Jones, matic na wengine ni wachezaji ambao hawatumiki zaid ya kujaza squad tafaut na timu zingine zenye mafanikio....angalia ss msimu uliopita tulikuwa tunajua tatizo letu ni kiungo uwanjan pamoja na beki ya kulia lakin tumeishia kusajili beki ya kati foadi na winga zenye majina ki financial ni sawa lakn kimatokeo uwanjani n hola hadi sasa tunajuone utopolo
Ebu niambie sub ambayo ina impact kubadli matokeo pale man u?Matic? Hapana aisee, hatuna midfielder kama Matic man U, the reason Spurs Kafa 3 ni sababu ya Matic, kaangalie replay Vizuri.
Na tuna kikosi kikubwa tu, hasa huko mbele, Tunaanza msimu na hawa, Ronaldo, Rashford, Sancho, Cavani, Martial, Greenwood. Hao ni wachezaji 6 quality ya Epl then Baadae akaja Elanga. Wote wanagombania nafasi 3 za mbele.
Tatizo letu toka Msimu haujaanza ilikuwa ni kiungo mkabaji Replacement ya Huyo Matic, Matic hawezi cheza mechi zote umri umemtupa, Timu ilikuwa inatafuta Kiungo mkabaji ambaye yupo Comfortable na mpira anapiga pasi vizuri na anajua counter press. Na mpaka Leo tatizo linaendelea tunabaki tu kutafuta Ng'ombe wa kafara.
Hivi mkuu unajua kama Man U ndio inaongoza Epl kwa Magoli ya Sub? So far tuna Magoli 10 toka Sub.Ebu niambie sub ambayo ina impact kubadli matokeo pale man u?
www.sportskeeda.com