fuentte
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 3,210
- 9,204
Ni kweli mkuu,fikiria siku hizi Varane anasubir benchi huku maguire akiendelea kutoa boko daily.Sometimes natamani timu kama Man U ingekua inaendeshwa kama timu za Simba na yanga kwenye suala la output.
Tusingekua na Maguire wala wajinga wengine. Hata sosha angetimuliwa zamani.
Hata Chelsea hapo hawacheki na mtu.
Nikiona Maguire anachezea timu kubwa ile na mabeki waliopita upande wake napata hasira.
Plus eti ana ukaptain.
Ralf nae napoteza imani hapa.
Mechi serious, waingereza wawe wawili au mmoja first eleven.
Eti unamsub lindelof unaacha kubwa jinga Maguire.