Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,912
- 10,262
Conte was perfect coach for Unitedhapo kwa antonio conte umenikumbusha kauli za gary neville alipoonesha wasiwasi juu ya tetesi za kuajiriwa kwa conte baada ya kufukuzwa kwa solskjaer, gary alisema antonio haendani na falsafa za kiuchezaji za man utd zinazojitanabahisha na soka la kushambulia.cha ajabu baada ya kufungwa na atletico madrid amewashauri viongozi wa man utd wamsajili diego simeone. sijui umeielewa hoja yangu?

