Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

NYUMBU zikiwa kwenye msiba wa GENGENI DRESSING
IMG-20200910-WA0014.jpeg
 
Poch kapigwa 3 huko......kuna mawili 1. uwezo ndogo kumanage kikosi chenye majina
2. Akili yake haipo PSG tena

Zote mbili ni ishara kuwa hatufai namba 1 amepoteza important games nyingi bila sababu hasa big matches.... Namba 2 kama anashindwa heshimu mkataba wake akafocus kuwasaidia PSG, huko mbele akitaka kuondoka hali si itakuwa hii hii.
IMG_20220320_173158.jpg
 
Poch kapigwa 3 huko......kuna mawili 1. uwezo ndogo kumanage kikosi chenye majina
2. Akili yake haipo PSG tena

Zote mbili ni ishara kuwa hatufai namba 1 amepoteza important games nyingi bila sababu hasa big matches.... Namba 2 kama anashindwa heshimu mkataba wake akafocus kuwasaidia PSG, huko mbele akitaka kuondoka hali si itakuwa hii hii.View attachment 2158186
issue ETH nae ana form mbaya hivyo hivyo, katolewa na Benfica timu ndogo na matokeo ya ligi pia si mazuri hivi mwishoni.
 
issue ETH nae ana form mbaya hivyo hivyo, katolewa na Benfica timu ndogo na matokeo ya ligi pia si mazuri hivi mwishoni.
Wameshinda big match Leo kwa comeback Ajax 3 fayernood 2.....

Poch alizidiwa Sana game na Madrid, pia tactically 4-4-2 low block aliyotumia game ya leo na game kadhaa nyuma inaonesha ni defensive coach....

Pia tetesi sijui Senior players wanamtaka Poch, na Fergie nae aliishaweka wazi anamuadmire Poch

Iwe sababu ya kuachana na Poch maana hao wachezaji wenyewe hawana cha kuonekana walichofanya Kwa mwaka wa 5 huu licha ya mishahara yao alafu Leo nakocha wajichagulie pia Fergie tulimsikuliza Kwa Moyes na probably Ole, ona kilichotukuta.

Nitaenda na Ten hag, licha ya kuwa Poch sio mbaya kama inavyoonekana
 
Wameshinda big match Leo kwa comeback Ajax 3 fayernood 2.....

Poch alizidiwa Sana game na Madrid, pia tactically 4-4-2 low block aliyotumia game ya leo na game kadhaa nyuma inaonesha ni defensive coach....

Pia tetesi sijui Senior players wanamtaka Poch, na Fergie nae aliishaweka wazi anamuadmire Poch

Iwe sababu ya kuachana na Poch maana hao wachezaji wenyewe hawana cha kuonekana walichofanya Kwa mwaka wa 5 huu licha ya mishahara yao alafu Leo nakocha wajichagulie pia Fergie tulimsikuliza Kwa Moyes na probably Ole, ona kilichotukuta.

Nitaenda na Ten hag, licha ya kuwa Poch sio mbaya kama inavyoonekana
Mimi natamani tumpate tu Enrique..hawa wengine sina imani nao kabisa..sema Enrique na hii World Cup inayokuja itakuwa ishu sana kumpata this summer.
 
Mimi natamani tumpale tu Enrique..hawa wengine sina imani nao kabisa..sama Enrique na hii World Cup inayokuja itakuwa ishu sana kumpata this summer.
Enrique ni option bora zaidi lakini aliishasema anafocus na World cup....

Kwa Enrique tutasubiri hadi mwez wa 10 alafu hapohapo tunaweza tusimpate pia (labda wakubaoiane Kwanza)

Nafikiri Ten hag au Poch wazuri tu wakipata watu wa mpira nyuma yao
 
Mimi natamani tumpale tu Enrique..hawa wengine sina imani nao kabisa..sama Enrique na hii World Cup inayokuja itakuwa ishu sana kumpata this summer.
Enrique ni perfect coach kwetu, ni mzoefu, favourite formation yake ni 4-3-3 with two tricky players pembeni ina maana watu kama Rashford, Sancho, martial etc watashine mfumo wake. Ila kumpata ni kazi, hawezi acha world cup sababu yetu.
 
Wameshinda big match Leo kwa comeback Ajax 3 fayernood 2.....

Poch alizidiwa Sana game na Madrid, pia tactically 4-4-2 low block aliyotumia game ya leo na game kadhaa nyuma inaonesha ni defensive coach....

Pia tetesi sijui Senior players wanamtaka Poch, na Fergie nae aliishaweka wazi anamuadmire Poch

Iwe sababu ya kuachana na Poch maana hao wachezaji wenyewe hawana cha kuonekana walichofanya Kwa mwaka wa 5 huu licha ya mishahara yao alafu Leo nakocha wajichagulie pia Fergie tulimsikuliza Kwa Moyes na probably Ole, ona kilichotukuta.

Nitaenda na Ten hag, licha ya kuwa Poch sio mbaya kama inavyoonekana
Panga linalokuja mwisho wa msimu sidhani kama kutakua na senior tofauti na Ronaldo. Pogba, lingard, mata, matic, Baily wanaweza wasiwepo kwa asilimia kubwa, Kina Martial, VDB, hatihati, kutakuwa na Rebuild kubwa.

Na fergie, moyes hakuwa hata choice yake ya kwanza msimsingizie Fergie hajamchagua Moyes na wala hajamchagua ole, Angekuwa Fergie anasikilizwa Tusingekua hapa tulipo. Pep, klop, Ancelloti na Mourinho wote hawa walikuwa Ahead ya Moyes,

Klop mwenyewe kwenye interview moja alisema Woodward alimu interview na akamwambia anataka kuifanya Man U kama Disneyland ya mpira, Klop hakuwa interested na hizo drama za Woodward.

Kama Tutam backup ETH ni chaguo zuri ila Kwa Man u hii ya Wachezaji wanasajiliwa kama Kachumbari hata yeye anaweza feli, Poch anamake sense kwa rebuild inayohitaji Youth, kifupi poch ni Ole v2 safe manager atatupa top 4 na kutubalance.
 
Back
Top Bottom