Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

We mbwa Koko unatafuta nini huku usiku getoni kwa masela ,, leo mmepiga bomu mochwari mnajisifia mmeua
hahahaha cheki hii takataka sasa ..kesho munapakuliwa kinamna ili mukose hata kucheza europa😂😂😂😂
 
Nyumbu leo ushindi muhimu kama bado mnaitaka top 4
Miaka ya hivi karibuni unakumbuka lini kutufunga kwenye ligi hapo emptyhad?.

Ole kila akija 3 points zilikuwa secured..

Sina pressure kabisa.
 
Yani uwezi amini jamani nachokiona huku kila napopita watu ni kutabasamu tu ukiuliza kunani neno ni moja tu kwa kila mtu.

Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furahaaa
Umeona mziki wa Chelsea mzee baba
 
Ole inabidi ampe mbinu Rangnick ya kumpiga Pep leo pale emptyhad..

Ole alikuwa anatuwekea tu kiberenge James,bishoo Martial,na kijana mjinga Rashford na City wanakaa vizuri tu..Pep kazi kukuna tu upara ule.

Big test for Rangnick today.
 
Ole inabidi ampe mbinu Rangnick ya kumpiga Pep leo pale emptyhad..

Ole alikuwa anatuwekea tu kiberenge James,bishoo Martial,na kijana mjinga Rashford na City wanakaa vizuri tu..Pep kazi kukuna tu upara ule.

Big test for Rangnick today.
Sisi United hatutaki Liverfool achukue ubingwa kupitia mgongo wetu Leo The Citizens wanashinda
 
Hapa kuna ukwel

F194F2E2-51F7-4583-B6AD-CF72ED88D878.png
 
Back
Top Bottom