Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Utajua hujui ,subili weekend hii uoneMiaka ya hivi karibuni unakumbuka lini kutufunga kwenye ligi hapo emptyhad?.
Ole kila akija 3 points zilikuwa secured..
Sina pressure kabisa.




Utajua hujui ,subili weekend hii uoneMiaka ya hivi karibuni unakumbuka lini kutufunga kwenye ligi hapo emptyhad?.
Ole kila akija 3 points zilikuwa secured..
Sina pressure kabisa.




FactosView attachment 2136442semeni njie
Sasa badge ya Europa ya nini?Tutafutage hela mapema jezi zipo tayari.View attachment 2137641

Hiyo bagde ya Europa ni as if tushakuwa nje ya top four mazima sio??..Tutafutage hela mapema jezi zipo tayari.View attachment 2137641




City huwa haitusumbui sisiHii timu ni mwendo wa kupost thrown back
History FC
Ilikuwa TBT ni haki yao kupost.Hii timu ni mwendo wa kupost thrown back
History FC
Uropa ya nini? Au ndio tushatabiriwaTutafutage hela mapema jezi zipo tayari.View attachment 2137641
Nani afuate nyayo za nyumbu ,hata kama ni kuvunja ,Bora kuvunja historia kama za real Madrid sio hawa vinabo...!Ilikuwa TBT ni haki yao kupost.
Vipi unategemea kuivunja historia yao lini?
Kuvunja historia za hawa vinabo itachukua miaka mingi kuzivunja.Nani afuate nyayo za nyumbu ,hata kama ni kuvunja ,Bora kuvunja historia kama za real Madrid sio hawa vinabo...!
Jack Hana statistics nyingi lakini akiwa uwanjan ana impact kubwa tu ...!Bei haiendani na matokeo uwanjani.View attachment 2138712
Sisi tunatengeneza historia yetu na sio kuangalia nyumbuzi wanaporomoka vipi ...maana anguko la man utd limeshafika na hakuna namnaKuvunja historia za hawa vinabo itachukua miaka mingi kuzivunja.
Na kuvunja historia ya Real Madrid itachukua miaka mingi zaidi.



We tulia angekua man u si ungekua na mdomo.Jack Hana statistics nyingi lakini akiwa uwanjan ana impact kubwa tu ...!
Nyie wachambuzi uchwara ambao mnaangalia goal na assist kujua mchezaji Bora ndio mnabaki na vihoroo moyoni ....!
Hamuwezi kutengeneza historia yenu ,Sisi tunatengeneza historia yetu na sio kuangalia nyumbuzi wanaporomoka vipi ...maana anguko la man utd limeshafika na hakuna namna![]()