Mkuu napingana na wewe....yani unasema hata aye mchezaji gani hawezi fan ikiwa hivi unauhakika zile chance anazokosa Ronaldo Halland na Lewandowski watakosa?
The issue kuhusu Ronaldo ni amekwisha zama zake zimeishapita, hatuwezi kumtegemea tena....tungekuwa na striker decent tungekuwa mbali ......
The fact kuwa America mzigo hakabi, hapless hata kidogo, anapoteza chances za wazi, anapoteza mipira haipaswi afumbiwe macho....the man is finished.....shida ya kwanza sahizi katika kibosh chetu ni Ronaldo kuna Anna ya mpira hatuwezi cheza sababu tunacheza 10 uwanjani