uliona ile rashford aliyowekewa na sancho akaacha tu mpira upite na ilikuwa bonge la chance kapambana nini labda kukimbia hovyoLeo rashford kapambana sema sancho kwa dakika alizocheza nae katuzingua muda mwingi alikua anatembea tukiwa hatuna mpira. Ila Ronaldo ni kenge nae saizi
kweli tuna furaha sanaManchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Kila napo pita watu wanafurahi kweli kweli.![]()
tena kiazi mbatata😂😂😂Kanuni ni kwamba 'You do not change your winning team'
Mara nyingi Origi, jota au Minamino wamemuokoa klopp lakini first 11 yake ni ile ile.
Emile kaiokoa sana Arsenal akitokea sub ila first 11 inajulikana na namba ya Emile inajulikana nani atakaa.
Elanga kuscore kunawavutia mashabiki na kuhisi anatakiwa kuanza, sasa ni kivipi Elanga anaanza mbele ya Sancho? Rangnickelodion anayumbishwa na kelele za nje akisikia wanataka Elanga aanze anamuanzisha tu anaacha kikosi kilichompa ushindi games mbili mfululizo.
Kocha ni kiazi.
Tukishinda utajipa break ya kumpumzika maana tutawasumbua ile mbaya jiandaeni kisaikojia kwenye Hilo chelseafc hatuna jambo dogoFuraha kubwa iliyobaki msimu huu nikuona chelsea anafungwa kesho tu.
Kila kocha na mitazamo yake kwasababu Klopp anafanya hivyo siyo lazima kila kocha afanye.Kanuni ni kwamba 'You do not change your winning team'
Mara nyingi Origi, jota au Minamino wamemuokoa klopp lakini first 11 yake ni ile ile.
Emile kaiokoa sana Arsenal akitokea sub ila first 11 inajulikana na namba ya Emile inajulikana nani atakaa.
Elanga kuscore kunawavutia mashabiki na kuhisi anatakiwa kuanza, sasa ni kivipi Elanga anaanza mbele ya Sancho? Rangnickelodion anayumbishwa na kelele za nje akisikia wanataka Elanga aanze anamuanzisha tu anaacha kikosi kilichompa ushindi games mbili mfululizo.
Kocha ni kiazi.
Sisi tunaitaka nafasi ya tatu. Ya nne tumemuachia Unitedtena kiazi mbatata😂😂😂
kwani nyie arse8 munatofauti gani na manure? kwani na ninyi munaitaka top four?
Kama nimekuelewa vizuri ni unamaamisha ni sahihi kocha akiwa hana starting 11 as long as ni mtazamo wake.Kila kocha na mitazamo yake kwasababu Klopp anafanya hivyo siyo lazima kila kocha afanye.
Yani kwasababu ya draw ndiyo mnasema yote haya? Football ndiyo iko hivyo hakuna timu inaweza kushinda kila mechi kwasababu uwanjani hamchezi peke yenu.
Aliyepaki basiUnadhani nani anapaswa kupewa pongezi aliyepaki basi au aliyeshindwa kufunga magoli. View attachment 2132165
Endelea kushangaaYaani kila nikikumbuka kuwa RR alitoa viungo wote wakabaji na kuingiza wachezaji wa kushambuli na bado tukashindwa kupata goli nabaki nashangaa tuu