Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG-20220227-WA0003.jpg
 
Kama nimekuelewa vizuri ni unamaamisha ni sahihi kocha akiwa hana starting 11 as long as ni mtazamo wake.
Sasa kocha kapewa timu kwa muda na wachezaji waliopo wala siyo sajili zake unategemea atakuwa na first 11 yake?

Hizo mada unazotaka kuleta ni za kishabiki tu, angeweza kuanza Sancho na mechi ingeisha 0 - 0 vilevile.
 
Rangnickelodion anayumbishwa na kelele za nje akisikia wanataka Elanga aanze anamuanzisha tu anaacha kikosi kilichompa ushindi games mbili mfululizo.

Kocha ni kiazi.[/QUOTE]
 
Sasa kocha kapewa timu kwa muda na wachezaji waliopo wala siyo sajili zake unategemea atakuwa na first 11 yake?

Hizo mada unazotaka kuleta ni za kishabiki tu, angeweza kuanza Sancho na mechi ingeisha 0 - 0 vilevile.
Pamoja bro
 
Rangnickelodion anayumbishwa na kelele za nje akisikia wanataka Elanga aanze anamuanzisha tu anaacha kikosi kilichompa ushindi games mbili mfululizo.

Kocha ni kiazi.
[/QUOTE]Anafanya rotation ana mechi ngumu sana wiki 2 hizi mnataka wacheze hao kila siku?? Na timu haijacheza vibaya wamepoteza tu nafasi nyingi.
 
tokea ralf rangnick awe kocha wa manchester united hakuna timu iliyoizidi manchester united kwa kutengeneza nafasi za magoli, lakini timu nne zimeizidi manchester united kwa kufunga magoli
Yani toka ralf aje kuna utofauti mkubwa Sana sema uyum mzee anaangushwa sana na strike yetu ila mbinu anazo tusiwe wanafiki.
 
tokea ralf rangnick awe kocha wa manchester united hakuna timu iliyoizidi manchester united kwa kutengeneza nafasi za magoli, lakini timu nne zimeizidi manchester united kwa kufunga magoli
Ina maanisha nini?

Hatuna Straiker complete..Ronaldo atupishe msimu ujao..we can't afford building a team around him..tutakuwa mapunguani wa kupindukia.
 
Back
Top Bottom