NO04
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 1,754
- 1,246
We kila siku unasemaga kujitoa lkn tunakuona humuHii timu naacha kuifuatilia kwa muda mana hovyo kabisa, timu inashindwa kulinda ushindi kabisa na kusajili haitaki, mpk leo beki magwaya na ndio captain, tunalaumu makocha bure kumbe tatizo timu nzima hasa viongozi, najitoa kwa muda![]()

