Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii timu naacha kuifuatilia kwa muda mana hovyo kabisa, timu inashindwa kulinda ushindi kabisa na kusajili haitaki, mpk leo beki magwaya na ndio captain, tunalaumu makocha bure kumbe tatizo timu nzima hasa viongozi, najitoa kwa muda
Ulishawahi kusema hivi kabla tumeshazoea.

Nilikuambia unajipa matumaini makubwa sana acha kusumbua nyuzi za watu wengine na stori zako za kosi la dunia. Tatizo ni kocha, kama shida beki mbovu mbona mna forward nzuri na hampati magoli?
 
Hii timu naacha kuifuatilia kwa muda mana hovyo kabisa, timu inashindwa kulinda ushindi kabisa na kusajili haitaki, mpk leo beki magwaya na ndio captain, tunalaumu makocha bure kumbe tatizo timu nzima hasa viongozi, najitoa kwa muda
Heee yamekuwa hayo mzee wa kosi la dunia?
 
Maradhi mengine mnajitakia wenyewe
Ahahahahhahahaahahahah

Aisee wewe jamaa bhana
 
Hii timu naacha kuifuatilia kwa muda mana hovyo kabisa, timu inashindwa kulinda ushindi kabisa na kusajili haitaki, mpk leo beki magwaya na ndio captain, tunalaumu makocha bure kumbe tatizo timu nzima hasa viongozi, najitoa kwa muda
Mzee wa Kosi la dunia upo?
 
Hivi kama wachezaji wanaweza kucheza vizuri dk 45 za kwanza na vibaya kipindi cha pili chini ya kocha huyuhuyu unapata wapi ujasiri wa kusema kocha hafai.

United wanatengeneza nafasi nyingi za kufunga lakini hawazitumii vizuri, bado ni shida ya kocha kwenda kuwafungia magoli?

Maguire tokea kipindi cha Ole anatoa maboko tu na mpaka leo siyo beki wa kuamini. Je, bado shida ni kocha?
mnatia huruma kwa kwely
 
Amkeni amkeni pumbafu kabisa, hamna ruhusa ya kulala mpaka saa hizi.

Kuna harusi huku kwetu Uyole Mbeya, leteni kikundi chenu cha ngoma kiwaburudishe wageni waalikwa.
 
Back
Top Bottom