Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Moja ya mashabiki wenye emotional intelligence (EQ) ndogo sana barani ulaya ni waingereza yale mazungu majinga sana.

Huwa timu zao zikipata matokeo mabovu na ikatokea mchezaji mweusi kachoma atajuta kuzaliwa ulaya. Pia IQ za baadhi ya mashabiki wa kizungu ziko chini sana (single digit).
Hakuna shabiki wa mpira mwenye emotional intelligence kubwa.
 
gabriel obertan, antonio valencia na michael owen ulikuwa ni uwekezaji dhaifu kwa timu ambayo imepoteza wachezaji wawili wenye uwezo wa kuchangia magoli 50 kwa msimu kwa pamoja. Pia tokea aliposajiliwa anderson kutoka porto klabu haikufanya uwekezaji mwengine wa kiungo kwa miaka minne ya mbeleni na ilifikia hatua ya kumrudisha scholes. Hata wale graduates kutoka academy hawakuwa na careers zenye matumaini.
Usajili wa chupli chupli wa United ndiyo uliotufikisha hapa.
 
Kosi la dunia ronaldo alituchoma sana game iliyopita acha leo asugue mkeka.
Screenshot_20220208-221531.jpg
 
Back
Top Bottom