Magwaya na varane safi sana kwa kazi nzuriMagwaya na varane hawawezi kuniangusha, ni swala la muda tu
Hizi confidence ulizitoa wapi mkuuDefense yetu imechambuliwa kama katanga. Ila tufunga mawili au matatu. Mood ni nzuri.

Hii timu hata nikipewa pesa nishabikie nakataa
Acha bwanaLeo tunashinda nyingi nimeoteshwa na malaika.




Inashangaza sn.Captain Maguire paundi million 80![]()