Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Moja ya mashabiki wenye emotional intelligence (EQ) ndogo sana barani ulaya ni waingereza yale mazungu majinga sana.

Huwa timu zao zikipata matokeo mabovu na ikatokea mchezaji mweusi kachoma atajuta kuzaliwa ulaya. Pia IQ za baadhi ya mashabiki wa kizungu ziko chini sana (single digit).
Sikiliza hili boya.

Pambafu sana.
20220204_205352.jpg
 
Sasa kwanini umtukane Elanga wakati game ilitakiwa kumalizwa mapema?

Kwanini usingewatukana waliokosa manafasi ya wazi?

Sioni ajabu mchezaji kukosa penalt.

Usibebwe na ujinga wa racism.
Huwa siwaelewi watu wanaoponda wachezaji kwa kukosa penati, ile ni sawa na kona, foul n.k sio kila mtu ana ufundi huo, wanarukwa kina Ronaldo na wenzie wanambagua dogo wa watu
 
Flamengo have verbally agreed with #mufc to buy 75% of Andreas Pereira's economic rights. A deal could reach up to €14m. The rest of the deal will be paid in individual and team add-ons #mulive
RR anasafisha, kiukweli natamani sura mpya, damu changa pale OT.. Team imekaa kimazoea zoea sana ile
 
Maradhi mengine mnajitakia wenyewe
Manchester United inacheza leo na dunia yote ina furaha
 
Maradhi mengine mnajitakia wenyewe
Raha zikizidi matumbo ujaa mpaka gesi
 
Rooney kama namuelewa hvi

View attachment 2112421
gabriel obertan, antonio valencia na michael owen ulikuwa ni uwekezaji dhaifu kwa timu ambayo imepoteza wachezaji wawili wenye uwezo wa kuchangia magoli 50 kwa msimu kwa pamoja. Pia tokea aliposajiliwa anderson kutoka porto klabu haikufanya uwekezaji mwengine wa kiungo kwa miaka minne ya mbeleni na ilifikia hatua ya kumrudisha scholes. Hata wale graduates kutoka academy hawakuwa na careers zenye matumaini.
 
Back
Top Bottom