Dogo unashangaa anakuja kuwa maskini wa kutupwa..Nike spokesperson: "Mason Greenwood is no longer a Nike athlete." #mulive [@TheAthleticUK]
Sikiliza hili boya.Moja ya mashabiki wenye emotional intelligence (EQ) ndogo sana barani ulaya ni waingereza yale mazungu majinga sana.
Huwa timu zao zikipata matokeo mabovu na ikatokea mchezaji mweusi kachoma atajuta kuzaliwa ulaya. Pia IQ za baadhi ya mashabiki wa kizungu ziko chini sana (single digit).
Hilo zee linadhani United wana mti wa kuchuma pesa.
Hizi hesabu umepiga ni za wale motivational speakerBora ulivyosema hopes maana 2023/2024 ARSENAL THE GUNNERS wanachkua EPL.
This year tunaingia top four, next year tunakuwa serious contender na 2023/2024 tunalibeba
Huwa siwaelewi watu wanaoponda wachezaji kwa kukosa penati, ile ni sawa na kona, foul n.k sio kila mtu ana ufundi huo, wanarukwa kina Ronaldo na wenzie wanambagua dogo wa watuSasa kwanini umtukane Elanga wakati game ilitakiwa kumalizwa mapema?
Kwanini usingewatukana waliokosa manafasi ya wazi?
Sioni ajabu mchezaji kukosa penalt.
Usibebwe na ujinga wa racism.
RR anasafisha, kiukweli natamani sura mpya, damu changa pale OT.. Team imekaa kimazoea zoea sana ileFlamengo have verbally agreed with #mufc to buy 75% of Andreas Pereira's economic rights. A deal could reach up to €14m. The rest of the deal will be paid in individual and team add-ons #mulive
Au kuishia kula madawa tu, anahitaji counseling sana huyu chaliiDogo unashangaa anakuja kuwa maskini wa kutupwa..
Manchester Unitedinacheza leo na dunia yote ina furaha
![]()
Raha zikizidi matumbo ujaa mpaka gesiMaradhi mengine mnajitakia wenyeweTumbo langu limejaa gesi
Habari wana jamvi. Naomba msaada tumbo langu naona limejaa sana gesi nashindwa mpaka kula vizuri. Sijui shida ni nini maana nakula kidogo sana tumbo linakuwa lishajaa wakati sio kawaida naomba msaada ila choo bado na pata... Ushauli tafadhali.www.jamiiforums.com
Pogba/ McTominnay na Dalot/ Shaw wataziba nafasi zaoFred na telles wamepatwa na virus wa corona.
gabriel obertan, antonio valencia na michael owen ulikuwa ni uwekezaji dhaifu kwa timu ambayo imepoteza wachezaji wawili wenye uwezo wa kuchangia magoli 50 kwa msimu kwa pamoja. Pia tokea aliposajiliwa anderson kutoka porto klabu haikufanya uwekezaji mwengine wa kiungo kwa miaka minne ya mbeleni na ilifikia hatua ya kumrudisha scholes. Hata wale graduates kutoka academy hawakuwa na careers zenye matumaini.
Huyu specialist anahitaji kusubiri mwisho wa msimu kweli?Inabidi afukuzwe mwisho wa msimu.