Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

United inaendeshwa kishkaji sana kuanzia uteuzi wa viongozi (Murtough na Fletcher) hadi recruitment ya wachezaji (Jones,Lingard,Shaw,AWB,Maguire,Rashy,etc).
Wote hao wapo United.

Nenda hapo Man City au Bayern.

Kuna walio serious na wanaosindikiza maisha.

Timu ikinunuliwa na mwarabu atafukuza wote.
 
Ngoja tuone msimu huu atavuna Nini huyu takataka man shityee
Screenshot_2022-01-17-22-06-43-96.jpg
 
Tunaweza tusiingie ndio ila haimaanishi chelsea ni Favourite.

Toka tutoke draw na Chelsea, wamecheza mechi 10, wameshinda 3 tu, draw 5 na wamepoteza 2. Inamaana Out of possible point 30 wamepata 14 wamepoteza 16

Source ligi ya uingereza

At same Time man united kacheza mechi 8 toka mechi ya chelsea. Tumeshinda mechi 4, tumefungwa 1 na kutoka draw 3. Tumepata point 15 out of possible 24.

Source ligi ya uingereza.

Hivyo mkuu na ubovu wetu huu ila bado tumepata point nyingi (15) kuliko chelsea (14) japo tumecheza mechi chache.

Kinachomsaidia chelsea ni kwamba alianza ligi vizuri ila kwa mwendo huu akiendelea nao, ataongeza point 22 tu (average point 1.4 kwa mechi) kwa point zake za sasa 43 anaweza kupata point 65 ambazo si rahisi kuingia top 4.

Na kama Man U naye ataendelea na mwendo hui huu (1.875 point) atapata point 34, hivyo kumaliza na point 66, Nazo pia Ngumu kuingia top 4,

Unless timu zote mbili zinacheza vizuri hii round ya Pili pengine Spurs na Arsenal/west ham wanaweza wakawapiku.
Mechi 12 zilizopita
Points gained from last 12 matches
  • Arsenal 27pts
  • Tottenham 24pts
  • Chelsea 18pts
  • Man United 18pts
Kwa mwendo huu, Manure msitegemee wala kuota ndoto za top 4
Kama behaviour itaendelea kuwa hivi
Favourite wa top 4 ni
  1. Man city
  2. Liverpool
  3. Arsenal
  4. Tottenham
 
Mechi 12 zilizopita
Points gained from last 12 matches
  • Arsenal 27pts
  • Tottenham 24pts
  • Chelsea 18pts
  • Man United 18pts
Kwa mwendo huu, Manure msitegemee wala kuota ndoto za top 4
Kama behaviour itaendelea kuwa hivi
Favourite wa top 4 ni
  1. Man city
  2. Liverpool
  3. Arsenal
  4. Tottenham
Hapo umehesabu hadi mechi za ole lakini still tuna points sawa Na chelsea, huoni umeprove nilichoandika? Anza kuhesabu Baada ya Ole utapata same thing.
 
Mechi 19 zilizopita, Ajax wamefungwa goli 4 tu.

Maswali ya kujiuliza;

1. Kocha mzuri?

2. Kikosi kizuri? & Beki imara?

3. Ligi nyepesi?
IMG_20220118_121416.jpg
 
Hapo umehesabu hadi mechi za ole lakini still tuna points sawa Na chelsea, huoni umeprove nilichoandika? Anza kuhesabu Baada ya Ole utapata same thing.
Kama chelsea na manure ni magari yanayotembea, Chelsea anatembea 80km/hr na Manure anatembea 80km/hr Chelsea wako 11km mbele ya Manure. Je kwa amelezo hayo Manure atamkuta Chelsea lini?.

Hii ndio shida ya watu waliokimbia hesabu darasani
 
Kama chelsea na manure ni magari yanayotembea, Chelsea anatembea 80km/hr na Manure anatembea 80km/hr Chelsea wako 11km mbele ya Manure. Je kwa amelezo hayo Manure atamkuta Chelsea lini?.

Hii ndio shida ya watu waliokimbia hesabu darasani
Tuongelee hesabu.

Gari limetembea km 120 kilomita 60 za mwanzo lilitembea kwa speed ya 100km/hr na kilomita na kilomita 60 za baadae speed ikapungua hadi 60km/hr average ni 80km/Hr

Gari jengine lilikuwa linatembea 60km/hr na sasa hivi ni 100km/hr nalo pia average ni 80km/hr

Kwa hesabu zako zenye Bias yote yanatembea sawa ila in reality gari la pili kilomita 60 za mwisho linafanya vizuri kuliko la kwanza.

Tafuta eneo lolote la matokeo toka ole aondoke Man u wana matokeo mazuri kuliko Chelsea.

Msimamo wa Ligi after matchday 12
Screenshot_20220118-124149.png

Point 12 na michezo sawa
 
Tuongelee hesabu.

Gari limetembea km 120 kilomita 60 za mwanzo lilitembea kwa speed ya 100km/hr na kilomita na kilomita 60 za baadae speed ikapungua hadi 60km/hr average ni 80km/Hr

Gari jengine lilikuwa linatembea 60km/hr na sasa hivi ni 100km/hr nalo pia average ni 80km/hr

Kwa hesabu zako zenye Bias yote yanatembea sawa ila in reality gari la pili kilomita 60 za mwisho linafanya vizuri kuliko la kwanza.

Tafuta eneo lolote la matokeo toka ole aondoke Man u wana matokeo mazuri kuliko Chelsea.

Msimamo wa Ligi after matchday 12
View attachment 2086242
Point 12 na michezo sawa
Irrelevant
Tunazungumzia mechi 12 current ili kugenerate uhalisia
mechi 12 kiwa pts 18 ina maana hizi timu mbili kwa mechi 12 zilizopita zilikuwa na behaviours zinazofanana na assuption ni kwamba hali itakuwa hivi hivi hadi mechi 16/18 zilizobaki zimalizike

Kama Manure mmeweza kubeba pts 18 ktk mechi 12 ina maana mechi 18 zilizobaki mnaweza kubeba pts 27 kama momentum itakuwa ni ile ile
Chelsea kama imeweza kubeba pts 18 kwenye mechi 12 ina maana kwenye mechi 16 zilizobaki itaweza kubeba pts 24

Manure pts 32+27 = 59
Chelsea pts 43+24 = 67
Sasa wapi na wapi manweza kuikuta Chelsea, acheni kujilisha upepo

Msimamo wa ligi baad ya mechi za mwisho ni huu hapa
Haina maana haya matokeo yatakaa hivi hivi, behaviours zikibadilika, mfano, form za wacvhezaji kuongezeka na kubadili mwenendo wa matokeo inaweza kuvuruga hii prediction table
SasaBaadaeJumla
1. Man city
56​
48​
104​
2. Liverpool
45​
34​
79​
3. Arsenal
35​
40​
75​
4. Spurs
33​
40​
73​
5. Chelsea
43​
24​
67​
6. Westham
37​
26​
63​
7. Manure
32​
27​
59​
8. Wolves
31​
18​
49​
 
Irrelevant
Tunazungumzia mechi 12 current ili kugenerate uhalisia
mechi 12 kiwa pts 18 ina maana hizi timu mbili kwa mechi 12 zilizopita zilikuwa na behaviours zinazofanana na assuption ni kwamba hali itakuwa hivi hivi hadi mechi 16/18 zilizobaki zimalizike

Kama Manure mmeweza kubeba pts 18 ktk mechi 12 ina maana mechi 18 zilizobaki mnaweza kubeba pts 27 kama momentum itakuwa ni ile ile
Chelsea kama imeweza kubeba pts 18 kwenye mechi 12 ina maana kwenye mechi 16 zilizobaki itaweza kubeba pts 24

Manure pts 32+27 = 59
Chelsea pts 43+24 = 67
Sasa wapi na wapi manweza kuikuta Chelsea, acheni kujilisha upepo
Dadavua hizo mechi 12 sasa, unachotaka wewe ni kutafuta sample rate kubwa ili kuweka bias point zako.

Mfano mimi nimetumia mechi 10 za chelsea sababu Toka Ole aondoke Chelsea amecheza mechi 10.

Wewe una sababu gani ya kutumia 12?
 
Dadavua hizo mechi 12 sasa, unachotaka wewe ni kutafuta sample rate kubwa ili kuweka bias point zako.

Mfano mimi nimetumia mechi 10 za chelsea sababu Toka Ole aondoke Chelsea amecheza mechi 10.

Wewe una sababu gani ya kutumia 12?
Sample rate kubwa ligi ina mechi 38, tayari 22 zimeshachezwa
 
Sample rate kubwa ligi ina mechi 38, tayari 22 zimeshachezwa
Sasa issue inazungumzia current form ya chelsea unapochukua sample rate kubwa huoni tayari unatoka nje ya mada?

Mfano nakuuliza elezea kwanini Tanzania haiendelei miaka ya karibuni then unaelezea maelezo ya Nyerere si utakua unakimbia swali?

Mechi 22 unapochukua sample rate ya mechi 12 hio ni zaidi ya nusu na umeshaingia period ambayo chelsea alikuwa anafanya vizuri, mechi 12 zilizopita Chelsea alikuwa yupo juu Top of the table.

Ila ukichukua sample rate ndogo kama mechi 5 ama 6 zilizopita utagundua Chelsea kashinda mechi 1 tu.
 
Sasa issue inazungumzia current form ya chelsea unapochukua sample rate kubwa huoni tayari unatoka nje ya mada?

Mfano nakuuliza elezea kwanini Tanzania haiendelei miaka ya karibuni then unaelezea maelezo ya Nyerere si utakua unakimbia swali?

Mechi 22 unapochukua sample rate ya mechi 12 hio ni zaidi ya nusu na umeshaingia period ambayo chelsea alikuwa anafanya vizuri, mechi 12 zilizopita Chelsea alikuwa yupo juu Top of the table.

Ila ukichukua sample rate ndogo kama mechi 5 ama 6 zilizopita utagundua Chelsea kashinda mechi 1 tu.
Wewe lete hiyo sample rate yako hapa acha siasa, mpira ni sayansi sio siasa
Kumbuka mechi ya 12 ndio mechi ambazo Chelsea ilianza kufanya vibaya, Mechi ya Wolves ilikuwa ni mechi ya 13, mechi na Manure ya 11, mechi ya 12 ilikuwa ni mechi na Leicester city ambayo tulishinda ila kwa ubovu wa Leicester city. Mechi ya mwisho Chelsea ikiwa kwenye form yake ilikuwa dhidi ya Norwich tulishinda 7 - 0 na ilikuwa mechi ya 14 kutoka sasa. Wewe hujui unalolitaka, Hii sample rate haikuifavor Chelsea hata kidogo. Naamini sample arte yeyote utakayokuja nayo ndio itaizamisha kabisa Manure, tena usijaribu kama unajua faida na hasra za sample rate
 
Bruno Fernandes amegoma kujadili mkataba kipindi hichi mpaka mwezi wa 5 na sababu ni anataka malipo sawa na wanaolipwa mshahara mkubwa
Na hicho kitu ndicho kinachoigharimu Manure, Huwezi kumlipa Martial paundi 250,000 kwa wiki na top goal scorer na mtoa assists ukaendelea kumlipa paundi 180,000 kwa wiki. Contribution ya Bruno anastahili kulipwa sawa na Ronaldo au ikipungua basi Degea
1642510379740.png
 
Wewe lete hiyo sample rate yako hapa acha siasa, mpira ni sayansi sio siasa
Kumbuka mechi ya 12 ndio mechi ambazo Chelsea ilianza kufanya vibaya, Mechi ya Wolves ilikuwa ni mechi ya 13, mechi na Manure ya 11, mechi ya 12 ilikuwa ni mechi na Leicester city ambayo tulishinda ila kwa ubovu wa Leicester city. Mechi ya mwisho Chelsea ikiwa kwenye form yake ilikuwa dhidi ya Norwich tulishinda 7 - 0 na ilikuwa mechi ya 14 kutoka sasa. Wewe hujui unalolitaka, Hii sample rate haikuifavor Chelsea hata kidogo. Naamini sample arte yeyote utakayokuja nayo ndio itaizamisha kabisa Manure, tena usijaribu kama unajua faida na hasra za sample rate
Sasa nilete mara ngapi? Nimeshaleta huko post ya nyuma na links nimeweka. Matokeo unayajua na ukweli unaujua.
 
Back
Top Bottom