United inaendeshwa kishkaji sana kuanzia uteuzi wa viongozi (Murtough na Fletcher) hadi recruitment ya wachezaji (Jones,Lingard,Shaw,AWB,Maguire,Rashy,etc).
View Chelsea scores, fixtures and results for matches played in all competitions, on the official website of the Premier League.
www.premierleague.com
At same Time man united kacheza mechi 8 toka mechi ya chelsea. Tumeshinda mechi 4, tumefungwa 1 na kutoka draw 3. Tumepata point 15 out of possible 24.
View Manchester United scores, fixtures and results for matches played in all competitions, on the official website of the Premier League.
www.premierleague.com
Hivyo mkuu na ubovu wetu huu ila bado tumepata point nyingi (15) kuliko chelsea (14) japo tumecheza mechi chache.
Kinachomsaidia chelsea ni kwamba alianza ligi vizuri ila kwa mwendo huu akiendelea nao, ataongeza point 22 tu (average point 1.4 kwa mechi) kwa point zake za sasa 43 anaweza kupata point 65 ambazo si rahisi kuingia top 4.
Na kama Man U naye ataendelea na mwendo hui huu (1.875 point) atapata point 34, hivyo kumaliza na point 66, Nazo pia Ngumu kuingia top 4,
Unless timu zote mbili zinacheza vizuri hii round ya Pili pengine Spurs na Arsenal/west ham wanaweza wakawapiku.
Hapo umehesabu hadi mechi za ole lakini still tuna points sawa Na chelsea, huoni umeprove nilichoandika? Anza kuhesabu Baada ya Ole utapata same thing.
Hapo umehesabu hadi mechi za ole lakini still tuna points sawa Na chelsea, huoni umeprove nilichoandika? Anza kuhesabu Baada ya Ole utapata same thing.
Kama chelsea na manure ni magari yanayotembea, Chelsea anatembea 80km/hr na Manure anatembea 80km/hr Chelsea wako 11km mbele ya Manure. Je kwa amelezo hayo Manure atamkuta Chelsea lini?.
Hii ndio shida ya watu waliokimbia hesabu darasani
Kama chelsea na manure ni magari yanayotembea, Chelsea anatembea 80km/hr na Manure anatembea 80km/hr Chelsea wako 11km mbele ya Manure. Je kwa amelezo hayo Manure atamkuta Chelsea lini?.
Hii ndio shida ya watu waliokimbia hesabu darasani
Gari limetembea km 120 kilomita 60 za mwanzo lilitembea kwa speed ya 100km/hr na kilomita na kilomita 60 za baadae speed ikapungua hadi 60km/hr average ni 80km/Hr
Gari jengine lilikuwa linatembea 60km/hr na sasa hivi ni 100km/hr nalo pia average ni 80km/hr
Kwa hesabu zako zenye Bias yote yanatembea sawa ila in reality gari la pili kilomita 60 za mwisho linafanya vizuri kuliko la kwanza.
Tafuta eneo lolote la matokeo toka ole aondoke Man u wana matokeo mazuri kuliko Chelsea.
Gari limetembea km 120 kilomita 60 za mwanzo lilitembea kwa speed ya 100km/hr na kilomita na kilomita 60 za baadae speed ikapungua hadi 60km/hr average ni 80km/Hr
Gari jengine lilikuwa linatembea 60km/hr na sasa hivi ni 100km/hr nalo pia average ni 80km/hr
Kwa hesabu zako zenye Bias yote yanatembea sawa ila in reality gari la pili kilomita 60 za mwisho linafanya vizuri kuliko la kwanza.
Tafuta eneo lolote la matokeo toka ole aondoke Man u wana matokeo mazuri kuliko Chelsea.
Irrelevant
Tunazungumzia mechi 12 current ili kugenerate uhalisia
mechi 12 kiwa pts 18 ina maana hizi timu mbili kwa mechi 12 zilizopita zilikuwa na behaviours zinazofanana na assuption ni kwamba hali itakuwa hivi hivi hadi mechi 16/18 zilizobaki zimalizike
Kama Manure mmeweza kubeba pts 18 ktk mechi 12 ina maana mechi 18 zilizobaki mnaweza kubeba pts 27 kama momentum itakuwa ni ile ile
Chelsea kama imeweza kubeba pts 18 kwenye mechi 12 ina maana kwenye mechi 16 zilizobaki itaweza kubeba pts 24
Manure pts 32+27 = 59
Chelsea pts 43+24 = 67
Sasa wapi na wapi manweza kuikuta Chelsea, acheni kujilisha upepo
Msimamo wa ligi baad ya mechi za mwisho ni huu hapa
Haina maana haya matokeo yatakaa hivi hivi, behaviours zikibadilika, mfano, form za wacvhezaji kuongezeka na kubadili mwenendo wa matokeo inaweza kuvuruga hii prediction table
Irrelevant
Tunazungumzia mechi 12 current ili kugenerate uhalisia
mechi 12 kiwa pts 18 ina maana hizi timu mbili kwa mechi 12 zilizopita zilikuwa na behaviours zinazofanana na assuption ni kwamba hali itakuwa hivi hivi hadi mechi 16/18 zilizobaki zimalizike
Kama Manure mmeweza kubeba pts 18 ktk mechi 12 ina maana mechi 18 zilizobaki mnaweza kubeba pts 27 kama momentum itakuwa ni ile ile
Chelsea kama imeweza kubeba pts 18 kwenye mechi 12 ina maana kwenye mechi 16 zilizobaki itaweza kubeba pts 24
Manure pts 32+27 = 59
Chelsea pts 43+24 = 67
Sasa wapi na wapi manweza kuikuta Chelsea, acheni kujilisha upepo
Sasa issue inazungumzia current form ya chelsea unapochukua sample rate kubwa huoni tayari unatoka nje ya mada?
Mfano nakuuliza elezea kwanini Tanzania haiendelei miaka ya karibuni then unaelezea maelezo ya Nyerere si utakua unakimbia swali?
Mechi 22 unapochukua sample rate ya mechi 12 hio ni zaidi ya nusu na umeshaingia period ambayo chelsea alikuwa anafanya vizuri, mechi 12 zilizopita Chelsea alikuwa yupo juu Top of the table.
Ila ukichukua sample rate ndogo kama mechi 5 ama 6 zilizopita utagundua Chelsea kashinda mechi 1 tu.
Sasa issue inazungumzia current form ya chelsea unapochukua sample rate kubwa huoni tayari unatoka nje ya mada?
Mfano nakuuliza elezea kwanini Tanzania haiendelei miaka ya karibuni then unaelezea maelezo ya Nyerere si utakua unakimbia swali?
Mechi 22 unapochukua sample rate ya mechi 12 hio ni zaidi ya nusu na umeshaingia period ambayo chelsea alikuwa anafanya vizuri, mechi 12 zilizopita Chelsea alikuwa yupo juu Top of the table.
Ila ukichukua sample rate ndogo kama mechi 5 ama 6 zilizopita utagundua Chelsea kashinda mechi 1 tu.
Wewe lete hiyo sample rate yako hapa acha siasa, mpira ni sayansi sio siasa
Kumbuka mechi ya 12 ndio mechi ambazo Chelsea ilianza kufanya vibaya, Mechi ya Wolves ilikuwa ni mechi ya 13, mechi na Manure ya 11, mechi ya 12 ilikuwa ni mechi na Leicester city ambayo tulishinda ila kwa ubovu wa Leicester city. Mechi ya mwisho Chelsea ikiwa kwenye form yake ilikuwa dhidi ya Norwich tulishinda 7 - 0 na ilikuwa mechi ya 14 kutoka sasa. Wewe hujui unalolitaka, Hii sample rate haikuifavor Chelsea hata kidogo. Naamini sample arte yeyote utakayokuja nayo ndio itaizamisha kabisa Manure, tena usijaribu kama unajua faida na hasra za sample rate
Na hicho kitu ndicho kinachoigharimu Manure, Huwezi kumlipa Martial paundi 250,000 kwa wiki na top goal scorer na mtoa assists ukaendelea kumlipa paundi 180,000 kwa wiki. Contribution ya Bruno anastahili kulipwa sawa na Ronaldo au ikipungua basi Degea
Wewe lete hiyo sample rate yako hapa acha siasa, mpira ni sayansi sio siasa
Kumbuka mechi ya 12 ndio mechi ambazo Chelsea ilianza kufanya vibaya, Mechi ya Wolves ilikuwa ni mechi ya 13, mechi na Manure ya 11, mechi ya 12 ilikuwa ni mechi na Leicester city ambayo tulishinda ila kwa ubovu wa Leicester city. Mechi ya mwisho Chelsea ikiwa kwenye form yake ilikuwa dhidi ya Norwich tulishinda 7 - 0 na ilikuwa mechi ya 14 kutoka sasa. Wewe hujui unalolitaka, Hii sample rate haikuifavor Chelsea hata kidogo. Naamini sample arte yeyote utakayokuja nayo ndio itaizamisha kabisa Manure, tena usijaribu kama unajua faida na hasra za sample rate
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.