One player Rangnick recommended that should be looked at closely is Wolves defender Max Kilman
1642597911719.png
 
hii timu inawatu wanamaamuzi ya kishamba sana newcastle wanamtaka lingard wao wanakomaa na lingard wala hachezi ss sijui wanambakisha wa nini
Shida inakuja kwamba cku hz kumekuwa na upumbavu flani hivii yn man u akitaka mchezaji anapigwa bei kali hata kama ni mchezaji wa kawaida, lkn man u anapotaka kuuza wanataka wapewe kwa mkopo na mshahara tulipe cc, na hata huyo mchezaji aki perform vzr huko alipo kwa mkopo tukitaka kuwauzia wanataka kutoa pesa wanayotaka wao, huu ni umama wa kiwango cha chupa ya pepsi, wacha wabaki au waondoke bure kuliko huu ufalamanga tunaofanyiwa.
 
Back
Top Bottom