Siku ile ulisema mmebahatishwa mara ya kwanza na safari hii mtawaonyeshaSisi wale city tungekuwa fulu mkoko wasingechomoka. Ngoja tukutane nao UEFA tena tuwale kichwa
Sisi ndio Chelsea Bwana alaa..
Siku ile ulisema mmebahatishwa mara ya kwanza na safari hii mtawaonyeshaSisi wale city tungekuwa fulu mkoko wasingechomoka. Ngoja tukutane nao UEFA tena tuwale kichwa
Sisi ndio Chelsea Bwana alaa..
Martial haondoki kwakua hakuna timu inayoweza kumlipa? Hii ni overstatement.Wataishia kubembeleza waongezewe mikataba waendelee kula hela za bure.
Martial mpaka sasa anashindwa kuondoka kwasababu hakuna timu yenye uwezo wa kumlipa.
Rashford hana jeuri ya kuondoka bure kwasababu hakuna timu itakayoweza vumilia ujinga wake na mshahara wake.
Rashford haondoki sababu ni Man u ndani nje labda tuwe hatumtaki. Na Martial Tayari deal la sevilla limekamilika Tabu ipo tu Makubaliano baina Ya Man U na Sevilla.Wataishia kubembeleza waongezewe mikataba waendelee kula hela za bure.
Martial mpaka sasa anashindwa kuondoka kwasababu hakuna timu yenye uwezo wa kumlipa.
Rashford hana jeuri ya kuondoka bure kwasababu hakuna timu itakayoweza vumilia ujinga wake na mshahara wake.
So Minamino ni Bora kuliko Messi?
huyu ralf rangnick amekukosea nini mkuu, teh teh teh, unamsingizia kwa jambo asilokuwa na maamuzi nalo. Kwa ufahamu wangu Masharti yaliopo juu ya dili la martial hayajawekwa na rangnick. Klabu inataka pesa na vile vile gharama za mshahara zibebwe na klabu husika na tatizo lipo hapo. Hata dili la tuanzebe aliyepelekwa napoli lipo hivyo ambapo wao wamelipa paundi laki 4 itakayofikia paund million 1 ila itategemea na mchango wake.Martial haondoki kwakua hakuna timu inayoweza kumlipa? Hii ni overstatement.
Nafikiri timu ambazo anaweza kupata namba mfano Leeds au Watford ndiyo hazitaweza kumlipa.
Hata hivyo Newcastle walileta ofa Ralf akasema ni ndogo na yupo tayari Martial abaki. Leo anamsema ni mvivu shit escalated quickly
Hii ndiyo maana halisi ya "akutukanae hakuchagulii tusi"Manchester United ni kama Safari ya Chizi. Anaweza kwenda Mbali akarudi na makopo
Hajanikosea kitu 😅huyu ralf rangnick amekukosea nini mkuu, teh teh teh, unamsingizia kwa jambo asilokuwa na maamuzi nalo. Kwa ufahamu wangu Masharti yaliopo juu ya dili la martial hayajawekwa na rangnick. Klabu inataka pesa na vile vile gharama za mshahara zibebwe na klabu husika na tatizo lipo hapo. Hata dili la tuanzebe aliyepelekwa napoli lipo hivyo ambapo wao wamelipa paundi laki 4 itakayofikia paund million 1 ila itategemea na mchango wake.
Labda Jude ila Declan ni wa kawaida sanaNdugu zangu tunakwenda kuibiwa tena. Unaambiwa viongozi waandamizi wa klabu wanawahitaji zaidi declan rice na jude bellingham ambao kwa pamoja thamani zao zinaweza kufikia paundi million 150. Ralf anamuhitaji haidara lakini hakuna mchakato wowote ulioanza na sababu kubwa wenye nguvu zao wanalichukulia dirisha hili kuwa ni gumu kufanya biashara. Kuhusu denis zakaria haonekani kuwa ni sehemu ya mipango ya klabu. Habari ndio hiyo.
Wewe fata ushauri kwanzakama afanyavyo arteta?
Na nyie Kwa Mwendo wenu huo hamuwezi kuingia top 4Nyie ndo hata msiongee, sisi wabovu cha ajabu tunazidi kuwasogelea tu, nyie soon mnatoka top 4.
Bora hata chelseaTunaweza tusiingie ndio ila haimaanishi chelsea ni Favourite.Na nyie Kwa Mwendo wenu huo hamuwezi kuingia top 4Bora hata chelsea
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kuna fan alishauri badala ya Jude na Rice ambao wanapatikana kwa 150M,unaweza kuwapata viungo watatu kwa kiasi chini ya hapo.Ndugu zangu tunakwenda kuibiwa tena. Unaambiwa viongozi waandamizi wa klabu wanawahitaji zaidi declan rice na jude bellingham ambao kwa pamoja thamani zao zinaweza kufikia paundi million 150. Ralf anamuhitaji haidara lakini hakuna mchakato wowote ulioanza na sababu kubwa wenye nguvu zao wanalichukulia dirisha hili kuwa ni gumu kufanya biashara. Kuhusu denis zakaria haonekani kuwa ni sehemu ya mipango ya klabu. Habari ndio hiyo.
Hapo anakuja mmoja tu mkuu. Dm watatu wa kazi gani?Kuna fan alishauri badala ya Jude na Rice ambao wanapatikana kwa 150M,unaweza kuwapata viungo watatu kwa kiasi chini ya hapo.
Haidara,Neves na Tchouameni.
Mkuu afadhali umekuja kutuokoa,timu haijulikani uelekeo wake hadi sasa.Hapo anakuja mmoja tu mkuu. Dm watatu wa kazi gani?
Na RB pia, Dalot tukishambuliwa ni pazia.Mkuu afadhali umekuja kutuokoa,timu haijulikani uelekeo wake hadi sasa.
Mkuu kwa sasa pale united tunahitaji walau CM mmoja na DM mmoja kutokana na ujinga wa Fred na McTomminay