Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hiyo Aya ya mwisho ni tusi mkuu, hahaaa
 
Jesus Christ..

Ralf Rangnick anafanya nini kwenye training??..

Hawa wachezaji wana akili ya mpira na control kweli??
Kumbe kuna muda unamkumbukaga Mungu eeeh!🤣
Tulia hao ni ndio wolves sasa😂😂😂😂
 
Naona nyumbu mnapoteana🤣😂😂😂😂🙌😂😂😂😂🙌🙌🙌
 
Ralf hatufikishi popote, kunasiku niliwahi sema kocha anaongea sana atulie afanye kazi.....hatufikishi namba 4 mwakani Europa.....
Mi nataka kujua hii formation yake ya 4-2-2-2 alishawahi kuitumia kwenye timu gani kabla hajaja united?
Na kama alishawahi kuitumia ilileta tija gani kwenye matokeo?
Asije kua huyu muhuni amekuja United kwa ajili ya kufanyia research hio formation yake ya Ngengemkeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…