Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yametimia Wolves ni aidha uwafunge moja au wakufunge moja au msifungane.
 
Mapema sana hata Rahl nae anafukuzwa?
 
Leo mashabiki wa ASANI-ALI wanaoishabikia Wolves wanakwenda kulia mara ya pili..
Tunasubiri tuone atalia nani😁
hongera kwa ushindi mkuu
 
Kwa tunaojua mpira hatulaumu kocha
Hii timu imefanya sajili mbovu katika kipindi cha miaka mi3 ya Ole

Hatuna wachezaji wa kushindana kwenye level ya juu ndo maana hata baadhi ya makocha wanakataa kuifundisha hii timu.
mchezaji wenu yupi hafai kushindana kwenye level ya juu?
 
Kwa tunaojua mpira hatulaumu kocha
Hii timu imefanya sajili mbovu katika kipindi cha miaka mi3 ya Ole

Hatuna wachezaji wa kushindana kwenye level ya juu ndo maana hata baadhi ya makocha wanakataa kuifundisha hii timu.
Sikubaliani nawe katika hili. Bruno Fernandes ni mchezaji wa kiwango cha juu
 
Nilikuonya asubuhi mkuu kutokuangalia mechi

Nikasema hamna timu ya kuifunga wolves,,salama yenu ilikuwa mlinde goli hadi mdraw...
Wolves wakishatikisa nyavu,kugusa nyavu zao sahau kabisa.
Jamaa wana ukuta pale nyuma.
Mkosi wa dunia
Nyumbu ni nyumbu tu hawezi kua nyati(mbago) hata siku moja.
Yaani wolves bora hata wangepiga goli 5 kama zile za Liverpool ili akili ikae sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…