Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sio wachezaji wote hawafai, baadhi ndo tatzo.
Wazee muwe mnaangalia game za bayern, man city na madrid utagundua wachezaji wao wako tayari kufa ili washinde match, wana commitment kubwa sn...bora tuanze kuamini vjana na uwape mindset mpya tusikariri hawa waliopo bora tuanze kujenga kikazi kingne.
NB: C.RONALDO yuko vzr sn thus why ana yellow card nne coz huwa anasaidia kukaba lkn kweny kushambulia hana wafuasi wakumsaidia kwa sababu kushambulia ni mfumo.
 
Sio wachezaji wote hawafai, baadhi ndo tatzo.
Wazee muwe mnaangalia game za bayern, man city na madrid utagundua wachezaji wao wako tayari kufa ili washinde match, wana commitment kubwa sn...bora tuanze kuamini vjana na uwape mindset mpya tusikariri hawa waliopo bora tuanze kujenga kikazi kingne.
NB: C.RONALDO yuko vzr sn thus why ana yellow card nne coz huwa anasaidia kukaba lkn kweny kushambulia hana wafuasi wakumsaidia kwa sababu kushambulia ni mfumo.
wachezaji waliopo pale man u wanatia hasira sana hata kabla mtu haujaanza ku type, yanabolonga then yanakimbilia mtandaoni kuandika maneno ya kulialia, mishahara wanayokula inawapa viburi, kwa aina na mentality iliyopo pale man u tutafukuza makocha wengi sana
 
wachezaji waliopo pale man u wanatia hasira sana hata kabla mtu haujaanza ku type, yanabolonga then yanakimbilia mtandaoni kuandika maneno ya kulialia, mishahara wanayokula inawapa viburi, kwa aina na mentality iliyopo pale man u tutafukuza makocha wengi sana
Hata James wa mambio alikuwa anajituma

BIssaka alianza vizur sana, baadae ameiga uvivu.

Magwaya ni tatizo, hafai hata kidogo, rashford anafuata, Bruno alikuwa vzr sana tangu Ronaldo aje amepunguza.

Nionavyo mie watumike watoto wa academy Wana spirit kubwa Sana ya mpira.. nakumbuka hata game za Eefa tulishiinda PSG, Na matimu flam makubwa kwa watoto.
 
– Players struggling to adjust to Rangnick’s training sessions
– Certain players moaning
– Dressing room cliques/unrest..
– Four-seater booths installed at canteen

kwahiyo sasa wachezaji wamekua wanammis solskjaer?
 
Sio wachezaji wote hawafai, baadhi ndo tatzo.
Wazee muwe mnaangalia game za bayern, man city na madrid utagundua wachezaji wao wako tayari kufa ili washinde match, wana commitment kubwa sn...bora tuanze kuamini vjana na uwape mindset mpya tusikariri hawa waliopo bora tuanze kujenga kikazi kingne.
NB: C.RONALDO yuko vzr sn thus why ana yellow card nne coz huwa anasaidia kukaba lkn kweny kushambulia hana wafuasi wakumsaidia kwa sababu kushambulia ni mfumo.
Ronaldo mbinafi sana, bora Cavan asimamage pale mbele.

Bruno alikuwa anajituma sana baada ya ujio wa Ronaldo mambo ynamembadilikia
 
Game ya leo mfanye juu chini mshinde, msipo shida mtajuta kwann hii thread ilianzishwa. Hasira zote tutamalizia hapa.
 
‼Ralf Rangnick on Burnley: "This will also be a physical one. Burnley is very direct, very physical and we need to have solutions against that, both on the ball and against the ball.

🎙"This is Premier League football, most of the teams play like that [fighting for their lives], even when I watched the games [on Boxing Day I saw that], it is physical football. We need to take that on and be able to compete on that level.”
 
Tusipo shinda leo ndapotezea kucheki game kwa kosi hili.
Screenshot_20211230-221620.jpg
 
Mzee amefanya sawa Ronaldo na Cavani kua pamoja na DM Matic na MC ila hawa wawili wote hawana speed so katikati panaweza kua pazito.

Greenwood sidhani kama ana skills na pace za kumuweka pembeni hivyo natarajia upande wake kupwaya katika kushambulia na pressing.
 
Back
Top Bottom