Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,188
- 5,810
Umeona mfumo mpya wa Profesa PP aka mwalimu wa Klop na TT? Mfumo wa GENGENI DRESSING 





cna mkuu



cna mkuu




Wachezaji Sio tatizo,Tatizo ni kocha.Umeongea point sana kaka, RR sio tatzo tatzo ni wachezaji
Hivi hawa wachezaji mnao wasema waondokee,Si ndo hawahawa walio maliza Ligi msimu uliopita nafasi ya pili na kufika fainal euroapa league??? Tena wengine wakiwa na tuzo zao za mwezi?? Msimu uliopita??Kwa hali tuliyofikia Man united tunahitaji a pragmatic Manager than a football philosopher.
Manchester United kwa sasa ina wachezaji wengi ambao ama hawawezi tena kuchezea Man United au hawataki tena kuitumikia timu.
Kwenye rebuild ya Solkjaer kila tulipojenga kona moja kona nyingine ilibomoka.
Hii orodha inapaswa kupewa mlango wa kutokea.
1. Nemanja matic
2.Juan Mata
3. Phil Jones
4. Harry Maguire
5. Anthony Martial
6.Jesse Lingard
7. Paul Pogba
Hawa watu wanazuia timu yetu kufanya usajili wa wachezaji watakoleta ushindani.
3-5-2 na 3-4-3 ni kitu kimoja.Mbona conte alikuwa muumini wa 3-5-2 alipo kuwa Chelsea na Intermilan lakini Kwa sasa na Spurs anatumia 3-4-3 life linasonga Hana maneno mengi Wala kulalamika kwenye media??
Steven Gerrard kaonesha ana kitu Aston villa na wachezaji kawakuta lakini anaendana nao TU na mbinu zake,Iwee Kwa Ralf pekee yekee??
Kocha aache kulalamika,kama njia ya kwanza imefail atumie alternative.Lengo ni kupata matokeo.
Mbinu za Thomas TUCHELEWE sio?Leo mje mshuhudie mbinu mpya kutoka kwa Profesa wa mpira, mbinu yenyewe sasa ni Gen Gen Dressing![]()

Kwani uozo wa team lako Chelsea haujadiliki?Ngoja tuwaachie mda kidogo ili mpate kujadili uozo wa timu lenu, mkimaliza tunaendelea kuwakera kama kawa.
Hilo swali tungemuuliza Ole kwanza sio RR maana vipigo alivyokuwa anapokea ni aibuHivi hawa wachezaji mnao wasema waondokee,Si ndo hawahawa walio maliza Ligi msimu uliopita nafasi ya pili na kufika fainal euroapa league??? Tena wengine wakiwa na tuzo zao za mwezi?? Msimu uliopita??
Kwanini msijiulize mbona msimu huu TU ndo wamedrop?? Kuna Nini???
Cha kushangaza unaweza kuta hata burnely anawanyanyasa




kungekuwa na nafasi ya kugonga like hata kumi ningegonga hapo, hatuwezi kulea wachezaji wavivu na kuwalipa mishahara minono, wana ushua mwingi sana wale mafala, wanaudhikuna muandishi ameandika uvumi ufuatao anadai ndio unaoendelea ndani ya klabu (dressing room): Nitaziamini hizi habari kama zitakuja kuandikwa na waandishi mfano wa simon stone, james ducker, whitehill au luckhurst
Wachezaji wamelelewa kifala, njia pekee ya kuondoa ujinga kama huu ni kuwaondoa waongoza fitina.
- harry maguire ameziba mdomo wake tokea aliporudi cristiano ronaldo kikosini, hii ina maana ya kwamba jamaa ni kama amekosa ushawishi wa kuwa nahodha ndani ya kikosi (hajioni kama ana ushawishi mbele ya wachezaji aina ya CR 7)
- bado muamko umekuwa ni mdogo sana kwenye viwanja vya mazoezi kwa baadhi ya wachezaji, hii hali imemkuta hata Ole siku zake za mwisho (wachezaji walimlaumu mckenna na michael carrick kuwa si makocha sahihi wa kuongoza timu)
- wachezaji ni kama hawafurahii falsafa za mwalimu, mechi ya newcastle na norwich amesikika rangnick akizungumzia udhaifu wa timu hususani kwenye ishu ya intensity na physical. Ralf anahitaji kusolve hili tatizo ila inaonekana wachezaji hawapo tayari kujitoa kwa asilimia 100 kimapambano
- wachezaji hawajazoea mabadiliko ya muda wa kufanya mazoezi, inasemekana jumanne mazoezi yalimalizika jioni ya saa 11.
Binafsi uwezo wa Pep kama mwalimu wa mpira wa miguu huwa naukubali sana kwenye ujuzi wake kwenye kuwamudu hawa tunaowaitaa masupa staa.Liver man city kuna wachezaji wakubwa na mastaaa na wanapambana haswaa