Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hehehehee, ndiye anpayetubeba mpk ss utake usitake, nitajie mchezaji aliyemzidi kwa mabao pale man u mpk ss, kama hamna basi kubali tu mkuu, awe anajiangusha au anaotea au anabahatisha lkn ukweli utabaki kwamba huna forward nyingine inayo deliver pale utd zaidi ya cr7.
Haipingwi, mura.
 
Nikweli, lakini ukumbuke baada ya yeye kuja hata bruno hafungi tena, Yaana bruno kamuachia Ronaldo options zote za kufunga, unategemea nini timu nzima inapoelekeza mipira kwako ufunge.

salah wa riverpool angekuwa anafanyiwa hivyo angekuwa na goli 50 leo.
Bruno tulikuwa naye na bado tukawa hovyo japo ni kweli alikuwa anafunga, Mana alikua anafunga goli mbili tunafungwa tatu, leo cr7 anafunga moja tunashinda mechi unajua kwnn? Kwasababu wachezaji wana ari cz wanajua ndani kuna mtu mkubwa, lkn pia wachezaji wa upinzani wanahofu na cr7 inapelekea kumkaba zaidi na kusahau kufunga.

Kuhusu Salah na goli 50, hivi kweli mkuu tumefikia kipindi Salah wa kulinganishwa na cr7 kwa uwezo?
 
"I wish we had more physicality, willingness to win one-on-one duels and we could have done better in certain parts of games." by Raff

Nategemea hizi tabia unprofessional kutoka kwa Ronaldo na Rashford zisionekane kuanzia mechi ijayo.
Ronaldo ni yule yule mkuu miaka yote hajawahi kubadilika labda ubadilike wewe mkuu, atakukera mechi moja atakufurahisha mechi 10, yuko hivyo miaka yote tangu akiwa mdogo pale Utd.
 
Nikweli, lakini ukumbuke baada ya yeye kuja hata bruno hafungi tena, Yaana bruno kamuachia Ronaldo options zote za kufunga, unategemea nini timu nzima inapoelekeza mipira kwako ufunge.

salah wa riverpool angekuwa anafanyiwa hivyo angekuwa na goli 50 leo.
Huyo Bruno kacheza nini mechi mbili zilizopita?
 
Screenshot_20211213-095709.jpg
 
"I wish we had more physicality, willingness to win one-on-one duels and we could have done better in certain parts of games." by Raff

Nategemea hizi tabia unprofessional kutoka kwa Ronaldo na Rashford zisionekane kuanzia mechi ijayo.
Daaaah Hahahaaaa yani Ronaldo umemgroup kweye unprofessional players, aaaah kwamba Ronaldo na Rashid ni kitu kimoja?? Seriously Rashid = Ronaldo? 😅😅😅

Kubalini kwamba li team ni la hovyo, na sio kumuangushia mzigo mtu mmoja, mnavyo comment ni kana kwamba sio Manchester United ambayo haina kombe kwa miaka 9 sasa.

Kana kwamba mlikuwa Champions na Sasa Ronaldo ndo amekuja kuwashusha mpaka kweye hiyo hali ya kuitafuta top four kwa torch.

Manchester united ilishakuwa team ya kawaida hâta kabla ya Ronaldo kuja.
 
Oyah, binaadam wabaya weee!!!.......wasikie tu kwenye maredio na kuwasoma kwenye magazeti,...ila hawafai.

Yani weki tatu tu watu wameshaanza kukanyaga!?.......Ashuke malaika basi.
Wacheza kamari hao, yani mechi mbili tu wanataka kocha awe ameshafuta mentality ambayo wachezaji wameizoea kwa miaka mitatu chini ya OGS,......!
 
Dah,point tatu za kubahatishaa!
Mpira hauvutiii kuangalia,ni kukimbia kimbia tu uwanjanii,mipira inapotea haizidi dk 5,Short on target chache kinouma,off target chache.Ni kukimbia kimbia tu uwanjanii buree na si lengo la kutafuta magolii,magolii yenyewe yakipatikna ya bahati nasibu


Raph alicho faulu ni kuongeza defensive rate(Ukabaji na uzuiaji) dhidi ya timu dhaifu ambacho Sosha ndicho kilicho mfelisha Kwa msimu huu.
Hatukawii kumtupia zigo la lawama Ralf kama kawaida yetu wakati ni dhahiri kabisa kikosi ni kibovu.. itachukua time, kikubwa tuendelee kushinda na kutoruhusu magoli kama hivi, kikosi chetu ni cha kawaida sana hasa hapo kiungo na fullbacks
 
Mimi pia nakubaliana na jamaa, cocha wetu anaongea sana kwa maana ya kwamba anaelezea technical details ambazo wakati mwingine ni kama anauza timu, sasa kwa sababu anafanya hivyo na sisi tunategemea kuona timu inafanya namna anaelezea, isipokuwa hivyo anakuwa ni kama mtu wa blabla tu.

well, wote tunajua it is too early kutegemea kuona consistent positive results, na yeye awe na mindset hiyo basi, kwa nini wakati mwingine anaongea kama vile it is time to deliver? ile mechi ya kwanza kawaponda fred na mactominay kwa kutoa sijui side way passes sijui hata ni pasi gani hizi? was it necessary kuwaredicule wachezaji wake hadharani? au anataka kujionyesha ni strong man?

sawa bwana?
Mnataka makocha kina Ole, boys doing well, not our lucky, it takes time blah blah blah.. Ralf ni nyeupe nyeupe nyeusi nyeusi tu. Hata kazi ya ukocha aligoma kuja hapa kuonesha kuwa anajua anachotaka, tushukuru hii consultancy role. Tumpe muda, muda huwa haudanganyi
 
Mbn huna imani mkuu, kuna cku mpira unakataa, huyo ronaldo aondoke alafu nani akae mbele pale? Mechi kibao anatubeba yeye, hii co sawa kabisa, yn mtu akifanya vzr tunamsifia, asipo perform tunasema hafai.
Goal za Ronaldo ndio zimetupeleka round of 16 Uefa, ndio top scorer kwetu, mara 100 Ronaldo ajidondoshe dk 90 nzima unakuwa una hope kuna kitu atafanya, mwangalie Rashford ndio tungekuwa tunamtegemea sasa hivi na huu utoto wake
 
Goal za Ronaldo ndio zimetupeleka round of 16 Uefa, ndio top scorer kwetu, mara 100 Ronaldo ajidondoshe dk 90 nzima unakuwa una hope kuna kitu atafanya, mwangalie Rashford ndio tungekuwa tunamtegemea sasa hivi na huu utoto wake
Kuna mbwiga zinaweza Ronaldo anazingua, ukiwauliza mbadala wa Ronaldo unaambiwa Rashford au Greenwood kana kwamba hiyo misimu mingine hatukuwa nao.

Hilo UEFA wapo kwa magoli ya CR, li team lilikuwa linacheza hovyo kisha linakboloewa na magoli ya dk za lala salama...Leo utashangaa mtu anaongea utafiriki kabla ya RR Man UTD ilikuw bonge la team.
 
Goal za Ronaldo ndio zimetupeleka round of 16 Uefa, ndio top scorer kwetu, mara 100 Ronaldo ajidondoshe dk 90 nzima unakuwa una hope kuna kitu atafanya, mwangalie Rashford ndio tungekuwa tunamtegemea sasa hivi na huu utoto wake
Kuna watu wanaudhi sn, ila nawaheshimu tu kwasababu wanamichango yao mizuri humu, cr7 hapondeki.
 
Back
Top Bottom