Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 14,000
- 27,974
Kuna jamaa mmoja Eti anasema "Rashford na CR " ni unprofessional, yani mtu anamweka Ronaldo sawa na Rashid.Kuna watu wanaudhi sn, ila nawaheshimu tu kwasababu wanamichango yao mizuri humu, cr7 hapondeki.
