Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna jamaa mmoja Eti anasema "Rashford na CR " ni unprofessional, yani mtu anamweka Ronaldo sawa na Rashid.
Inachekesha sana, huyo Rashford mwenyewe angalau sasa hivi amepata roll modal wake na cku hz kdg habutui butui hovyo mipira, anampa baba yake na anamalizia vzr kabisa.
 
Kwahiyo ndo tupewe PSG??
Tushapewa tayari.
Screenshot_20211213-143922_Chrome.jpg
 
PSG vs Manchester United ni mechi ya kutengenezwa, kwa walioangalia draw wanajua kabisa hii ni mechi ya mchongo.

Uhuni ulianza tuvyokuwa drawn na Villarreal, teams from the same group, how is that possible!?
Tupeni hao PSG sisi Liverpool tuwape Salzburg ndio level yenu.
 
Hatukawii kumtupia zigo la lawama Ralf kama kawaida yetu wakati ni dhahiri kabisa kikosi ni kibovu.. itachukua time, kikubwa tuendelee kushinda na kutoruhusu magoli kama hivi, kikosi chetu ni cha kawaida sana hasa hapo kiungo na fullbacks
Lawama kwa ralf utamtupia mwenyewe
 
Back
Top Bottom