Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sasa unataka Ralf asiongee kwenye press? Kwani muda anaokaa kwenye press si sawa na Ole?

Kucheza ovyo na press vinahusiana nini? Unaona Ralf anakaa sana kwenye press kwasababu anaongea facts tupu. Ole alikuwa kila saa ni 'the boys have played well, blah blah' hata quotes zake ilikuwa huzioni humu.

It's just three games, one poor game (game ya YB usiihesabu kabisa) kocha hafai kwasababu anaongea sana kwenye press (kitu ambacho ni moja ya kazi yake) kitu kinachopelekea timu kuwa na performance mbovu.

Take the positives and move on, we played like this for almost 3 f*ckin years under Ole and boom one poor game under Ralf here comes this!

6 points + clean sheet, sometimes no entertainment but you come out with the important piece of game.
Huyo jamaa nimeshangaa sana, yani game imeisha tu anawahi kuja kumlaumu kocha anajua kwenye press, Daah😅.

Hakuna aliyesema kuwa tumecheza vizito, ila nimebaki najiuliza kwamba press ndo zimefanya wachezaji waahindwe kutekeleza majukumu yao? Mechi ndo kwanza ni ya pili , ila ashaanza kilio cha licha.

Apewe yéyé team.
 
You are next

Point 3 nyingine izi

Yule phil jones alikua anafanya nini kwenye benchi

Screenshot_20211211-235322.png
 
Wewe kocha akikosea anaambiwa.....hatutakaa kimya kwasababu hata kwa Ole tulisema.....

who is he by the way.....tumecheza ovyo sana na wachezaji wamecheza ovyo

Je formation mbovu au wachezaji wamechoka au hawajatimiza majukumu yao hapo kazi yake kujibu....

Kukaa kwenye press kuzungumza sana hakutatusaidia....inabidi atuaaidie sana uwanjani maana waandishi wa habari wapo tu.....

We played very poor leo Norwich walikuwa hatari zaidi yetu
Sio kwamba anaongea out of nowhere.

Huwa anaulizwa maswali na waandishi wa habari.

Kwahiyo sijaona baya lolote analosema.
 
Sasa unataka Ralf asiongee kwenye press? Kwani muda anaokaa kwenye press si sawa na Ole?

Kucheza ovyo na press vinahusiana nini? Unaona Ralf anakaa sana kwenye press kwasababu anaongea facts tupu. Ole alikuwa kila saa ni 'the boys have played well, blah blah' hata quotes zake ilikuwa huzioni humu.

It's just three games, one poor game (game ya YB usiihesabu kabisa) kocha hafai kwasababu anaongea sana kwenye press (kitu ambacho ni moja ya kazi yake) kitu kinachopelekea timu kuwa na performance mbovu.

Take the positives and move on, we played like this for almost 3 f*ckin years under Ole and boom one poor game under Ralf here comes this!

6 points + clean sheet, sometimes no entertainment but you come out with the important piece of game.
Na hizo statements anazitoa anapoulizwa maswali na waandishi. Kwahiyo hana baya lolote.

Hata wakati wa SAF tulicheza hovyo sometimes ila experience ilituokoa.
 
Kama Norwich Tu Nafasi Ya Ishirini Sijui Walikuwa Wanakuja Vile Na Bado Kidogo Wangesawazisha Hao Brentford Sijui Itakuwaje?
 
Rashford sijui atakua lini!?, Anazidiwa utulivu wa akili na Bwana mdogo Sancho! Kocha ampumzishe kama hatobadilika, aendelee na Campaign zake za kijamii.
Tabia yake ya kutaka kuonekana.inatakiwa aache utoto. Jana alipata nafasi mbili akataka kupiga chenga anapotezA. alikuwa hana ushirikiano pale mbele na cr7
 
Unajua mapumbavu na mashenzi kama nyie mashabiki uchwara ni kwamba mnaona kwamba timu lazima icheze mechi zote mia ngapi sijui asilimia mia, kwamba washinde mechi zote ligi kuu, halafu hili linatokea kwa man u tu, timu man city zinafungwa hata na norwich au westham, au kutoa droo sio shida utasikia ni mpira, ila kwa man utd ni tofauti, kwamba man utd game ikikaa vibaya utasiikia hakuna kocha, ila man city akifungwa na leeds, utasikia aaah mpira unadunda bwana
Fools !
Man utd ni club kubwa wacha iwaumize vichwa.
Sisi kazi yetu ni kukenua tu kila tunapotia point 3 kibindoni.
 
Man utd ni club kubwa wacha iwaumize vichwa.
Sisi kazi yetu ni kukenua tu kila tunapotia point 3 kibindoni.
Dah,point tatu za kubahatishaa!
Mpira hauvutiii kuangalia,ni kukimbia kimbia tu uwanjanii,mipira inapotea haizidi dk 5,Short on target chache kinouma,off target chache.Ni kukimbia kimbia tu uwanjanii buree na si lengo la kutafuta magolii,magolii yenyewe yakipatikna ya bahati nasibu


Raph alicho faulu ni kuongeza defensive rate(Ukabaji na uzuiaji) dhidi ya timu dhaifu ambacho Sosha ndicho kilicho mfelisha Kwa msimu huu.
 
Back
Top Bottom