Abdulwahid
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 2,766
- 1,574
.
Draw ya mchongo sio...ahahaha.PSG vs Manchester United ni mechi ya kutengenezwa, kwa walioangalia draw wanajua kabisa hii ni mechi ya mchongo.
Uhuni ulianza tulivyokuwa drawn na Villarreal, teams from the same group, how is that possible!?![]()
Michongo hadi bara ulaya..ololooo.
MKiambiwa hata ballon d'or ni mchongo mnabisha.uhuni mpaka ulaya
Kwa masaa yetu ndiyo saa 12 jioni?Official. Champions League draw will be repeated today.#UCL
“Following a technical problem, the draw has been declared void and will be entirely redone at 1500 CET”, UEFA announces. [Fabrizio Romano]
Super league process inabidi irudi hawa wapumbavu tulishapoteza imani nao.Official. Champions League draw will be repeated today.#UCL
“Following a technical problem, the draw has been declared void and will be entirely redone at 1500 CET”, UEFA announces. [Fabrizio Romano]
Nilitaka nicommemt hivi pia....hiyo mechi ni ya kibiashara zaidiPSG vs Manchester United ni mechi ya kutengenezwa, kwa walioangalia draw wanajua kabisa hii ni mechi ya mchongo.
Uhuni ulianza tulivyokuwa drawn na Villarreal, teams from the same group, how is that possible!?![]()
Saa 11 jioni. Tunapishana masaa mawili.Kwa masaa yetu ndiyo saa 12 jioni?
Wanataka kupiga pesa mwisho mwisho, hawajamaliza kuezeka nyumbaWanaiba idea ya super league sio..
Kwamba kila stage atleast basi kuwe na fixture moja ya kuvutia sana.
Uefa wamechemka sana na hii Messi vs Ronaldo.






Unaishi wapi mkuu.
Draw imefutwa naona nyinyi kunguni mmeenda kuwalilia uefa kwamba psg ni wa moto.Wanaiba idea ya super league sio..
Kwamba kila stage atleast basi kuwe na fixture moja ya kuvutia sana.
Uefa wamechemka sana na hii Messi vs Ronaldo.